Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Msimamizi wa huo mradi ni mwalimu wala sio fundi. Ndio ujue namna Fosi Akaunti ilivyokuwa na shida.Basi acheni kufanya kazi na wanasiasa maana wanavua nguo taaluma zenu.
Hapa mafundi naona mnajaribu kuteteana ili kulinda uozo wenu. Nyie ni wezi hadi mifuko ya simenti leo mshindwe kwenye hela.
Tenda wakiwapa watu wa nje mnalialia kumbe mkipewa ni kufanya upuuzi tu. Ndo nyie mliotimliwa zanzibar na dr. Mwinyi kwa ukandaras wenu wa ovyoMuda wote huu umepewa muda wa kuchambua BOQ iliyopo-umeshindwa.
Kibabda chako cha milioni 7- umeshindwa kuleta mchanganuo wa vifaa.
Ndio maana naomba kamjengee Waziri Mkuu kibanda cha nyasi, atakupa wilaya.
Wote ni kusweka ndan tu hadi watakapopata akili namna ya kupresent vitu unaposikia kiongozi wa nchi anakuja kukagua mradi. Tunachezeana sana likija lakukupata ndo haya eti oooh angekaa nao private kuwasikiliza.Msimamizi wa huo mradi ni mwalimu wala sio fundi. Ndio ujue namna Fosi Akaunti ilivyokuwa na shida.
Amandla...
Unamsweka ndani kwa sheria ipi?Wote ni kusweka ndan tu hadi watakapopata akili namna ya kupresent vitu unaposikia kiongozi wa nchi anakuja kukagua mradi. Tunachezeana sana likija lakukupata ndo haya eti oooh angekaa nao private kuwasikiliza.
Mkandarasi wa mkoa ndio mtu gani? Hii ndio naisikia kwako.Sawa mkandarasi wa mkoa tetea kibarua chako ila hapo upigaji ni 45%
Hizo ni gharama za hapo lumumba kwa mafisadi.Mimi gharama zangu ni 110 milion.
Sorry halmashauriMkandarasi wa mkoa ndio mtu gani? Hii ndio naisikia kwako.
Mtu wa hovyo, mwanasiasa we, huna akili, ujenzi utaujuaje?Tenda wakiwapa watu wa nje mnalialia kumbe mkipewa ni kufanya upuuzi tu. Ndo nyie mliotimliwa zanzibar na dr. Mwinyi kwa ukandaras wenu wa ovyo
Unaongea kama unavyo jamba.Wote ni kusweka ndan tu hadi watakapopata akili namna ya kupresent vitu unaposikia kiongozi wa nchi anakuja kukagua mradi. Tunachezeana sana likija lakukupata ndo haya eti oooh angekaa nao private kuwasikiliza.
Bado facility za chooni hujaziinclude mhandisiView attachment 2352668
Kwa kawaida nakerwa sana viongzi kuongelea mambo ya kitaalam bila kutafuta ushauri.
Hivi karibuni Mh. Waziri Mkuu alishangazwa kibanda cha Mlinzi katika mradi wa VETA huko Tabora kugharimu Ths 11 million.
Mimi sikushangzwa na gharama lakini nilishangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Majaliwa kusema hadharani kuwa pale kuna upigaji!
Nikiwa mhandisi, niliamua kutafuta picha za kazi hiyo na kutenngeneza Rough Estimates za mradi huo kama ungekuwa Dar es Salaam kwa sasa hivi.
Gharama nilizo pata Kwa MKOANI DAER ES SALAAM ni Tsha 11,371,650.0
Kwa vile tabora ni mbali na supplier vifaa vingi , niliamua kuweka factor ya 1.2, hivyo GHARAMA ZA JENGO TABORA KUWA 13,645,980.
Naomba washauri wa Mh Waziri Mkuu wawe wanamtonya kama anakosea.
Gharama za kibanda ni sawa, tena ni pungufu kidogo.
KIBANDA CHA MLINZI VETA , TABORA S.No ITEM UNITS QUANTITY UNIT COST COST REMARKS 1Kuset kibanda na ngazi zote sum 20,000 2Kuchimba misingi m3 3.812,000 45,600 3Kuweka zege la msingi, nyumba na ngazi 0.2m thick m3 0.45180,000 81,000 4Tofali za kulaza misingi m2 2137,000 777,000 5Tofali ngazi za kupandia kibanda m2 3.637,000 133,200 6kuujaza udongo wa murram m3 27.515,000 412,500 na kushindilia 7kuweka mawe ndani ya msingi na ngazi m3 4.535,000 157,500 8Kumwaga zege la jamvi 150mm m3 4.5180,000 810,000 9Kuset kuta za nyumba, tofali za m2 13.525,000 337,500 kusimama 150mm mpaka beam soffit 10Shuttering ya ring beam m2 4.626,000 119,600 11Kukunja na kuweka nondo kg 984,000 392,000 12Kumwaga zege la beam m3 1.25180,000 225,000 13Tofali za level mtambaa panya m2 13.4525,000 336,250 na gable 14Kufunga wall plate na truss, na nos 51,500 7,500 15Kufunga fascia board nyumba nzima m 151,500 22,500 16Kufunga purlins 50x50mm m 1208,000 960,000 17Kupiga bati za IT4 na kofia, kila bati 3.4m nos 3865,000 2,470,000 18Kupiga brandering ya ceiling m2 254,000 100,000 19Kufix gypsum board ya ceiling m2 256,800 170,000 20Kujaza uwazi kati ya bati na ukuta sum 45,000 21Fufunga bomba za kupitisha sum 50,000 Umeme na box za switches 22Kufunga frame za madirisha nos 2150,000 300,000 23Kufunga frame za milango nos 3150,000 450,000 24Kupiga render za kuta nje na ndani m2 148.52,000 297,000 25Kupiga plaster nje na ndani m2 148.52,000 297,000 26Kufunga madirisha ya aluminium nos 2240,000 480,000 27Kufunga milango mbao ya mkongo nos 3260,000 780,000 28Electrical wiring na kufunga switch sum 650,000 29Kupiga rangi nje na ndani m2 148.53,000 445,500 TOTAL 11,371,650 NB 1Gharama hizi ni za DAR ES SALAAM 2Kibanda hiki kiko TABORA, hivyo kwa kusafirisha vifa hivyo kwend TABORA, factor gharama kwa 1.2 , 3Hivyo Gharama ya jengo la VETA , TABORA =13,645,980.00
UPDATE:
Katika makadirio wadau wamenitonya yafautayo
1. Hapo pembeni kuna kichumba ambacho waafikiri ni choo, gharama za kuvuta maji, choo chenyewe na wall tiles inaweza kuongeza gharama kwa arond 1.0 million
2.Kuna floor tiles amnazo sijazigsa kabisa, gharama ambayo tiles kwa nyuma nzima na ngazi inaweza kufikia 1.2million
Hivyo kazi hii ya nyongeza ni Tshs 2,2 million n jumla kuu kwa kazi ya kibanda=Tshs 15,845,980.00
OMBI
Ofisi ya Waziri Mkuu wakimaliza uchunguzi wao wa kitaalam , watuwekee hadharani makadirio yao kwa viwango vya kazi husika ya kibanda cha VETA Tabora(kwa kulinganisha tu)
Namini una akili timamu kwa maana unaelewa kitu unachoandika.Wote ni kusweka ndan tu hadi watakapopata akili namna ya kupresent vitu unaposikia kiongozi wa nchi anakuja kukagua mradi. Tunachezeana ◇`sana likija lakukupata ndo haya eti oooh angekaa nao private °♧♧kuwasikiliza.
Ni kweli mkuu, addendum kwenye post yangu ya kwanza nimejaribu kuingiza hilo.Bado facility za chooni hujaziinclude mhandisi
Elewa hivyo hivyo ilivyoandikwa!Ungefafanua ni kitu gani katika hiyo BoQ kinachokufanya uamini ni kwa ajili ya jengo la ghorofa?
Amandla...
Hizo tofali ni inchi ngapi?Armoury inajengwa kwa ukuta wa nchi sita? Unajua kweli unachoongea?
Amandla...
Darasa linajengwa wa milioni 20, kwa wizi wako ungejenga kwa milioni 200!Somana ufuatilie hiyo BOQ na uisahihishe,mburula wewe.
Mnafikiri hapa ni somo la historia.
Huwezi kujenga kibanda bora kwa gharama ndogo.Ni kweli unaweza kujenga kibanda kama hicho hata kwa milion 100, ila kwanini ujenge kwa gharama kubwa wakati inawezekana kujenga kwa gharama ndogo na kwa ubora mzuri tu
Huna hoja , huna facts, na hujui unachoongea.Darasa linajengwa wa milioni 20, kwa wizi wako ungejenga kwa milioni 200!
Hakika wewe ni tapeli!
Wajinga ndio waliwao, SGR nasikia imechelewa zaidi ya miaka mitatu, mbona hawekwi ndani?Unamsweka ndani kwa sheria ipi?
Amandla ..
Ukiona mwanasiasa anakimbilia kufanya kazi na takukuru wakati vyombo vya kitaalam vipo, ujue ana matatizo ya kimsingi katika uelewa na good governace.Wote ni kusweka ndan tu hadi watakapopata akili namna ya kupresent vitu unaposikia kiongozi wa nchi anakuja kukagua mradi. Tunachezeana sana likija lakukupata ndo haya eti oooh angekaa nao private kuwasikiliza.