Waziri Mkuu Majaliwa, pokea makadirio yangu kibanda cha VETA Tabora

Waziri Mkuu Majaliwa, pokea makadirio yangu kibanda cha VETA Tabora

Haujaweka gharama za tiles, za vitasa na bawaba, ulinzi wakati kinajengwa .

Amandla...
Ni kweli mkuu, hii estimate niliifanya kwa haraka haraka.
Na kwa kweli nashangazwa kwa Waziri Mkuu kushangazwa na bei ya hili jengo.
Gharama ambayo kiuhalisia na kwa viwango vyake gharma iko chini.
 
Ni kweli unaweza kujenga kibanda kama hicho hata kwa milion 100, ila kwanini ujenge kwa gharama kubwa wakati inawezekana kujenga kwa gharama ndogo na kwa ubora mzuri tu
Ubora unaendana na mkataba sio matakwa ya mjenzi. Hapo hajaweka gharama za kupima matofali, zege na nondo. Na kila hatua ikaguliwe na kupitishwa. Ndivyo inavyotakiwa katika miradi ya serikali. Weww ulifanya lini vyote hivi kwenye kibanda ulichojenga?

Amandla...
 
Naomba maelezo ya gharama za hapo juu, hicho kibanda ndio kinatumia 650,000 kwenye electrical wiring na kikatumia 445,000 kwenye rangi?
Inategemea waya za aina gani, hivyo vifaa vya umeme vimetoka wapi na kama fundi aliyefunga anatambulika na mamlaka husika. Rangi vile vile.

Amandla...
 

Kwa kawaida nakerwa sana viongzi kuongelea mambo ya kitaalam bila kutafuta ushauri.
Hivi karibuni Mh. Waziri Mkuu alishangazwa kibanda cha Mlinzi katika mradi wa VETA huko Tabora kugharimu Ths 11 million.
Mimi sikushangzwa na gharama lakini nilishangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Majaliwa kusema hadharani kuwa pale kuna upigaji!

Nikiwa mhandisi, niliamua kutafuta picha za kazi hiyo na kutenngeneza Rough Estimates za mradi huo kama ungekuwa Dar es salaam kwa sasa hivi.
Gharama nilizo pata Kwa MKOANI DAER ES SALAAM ni Tsha 11,371,650.0

Kwa vile tabora ni mbali na supplier vifaa vingi , niliamua kuweka factor ya 1.2, hivyo GHARAMA ZA JENGO TABORA KUWA 13,645,980.
Naomba washauri wa Mh Waziri Mkuu wawe wanamtonya kama anakosea.
Gharama za kibanda ni sawa, tena ni pungufu kidogo.

KIBANDA CHA MLINZI VETA , TABORA
S.NoITEMUNITSQUANTITYUNIT COSTCOSTREMARKS
1​
Kuset kibanda na ngazi zotesum20,000
2​
Kuchimba misingim3
3.8​
12,00045,600
3​
Kuweka zege la msingi, nyumba na ngazi
0.2m thickm3
0.45​
180,00081,000
4​
Tofali za kulaza misingim2
21​
37,000777,000
5​
Tofali ngazi za kupandia kibandam2
3.6​
37,000133,200
6​
kuujaza udongo wa murramm3
27.5​
15,000412,500
na kushindilia
7​
kuweka mawe ndani ya msingi na ngazim3
4.5​
35,000157,500
8​
Kumwaga zege la jamvi 150mmm3
4.5​
180,000810,000
9​
Kuset kuta za nyumba, tofali zam2
13.5​
25,000337,500
kusimama 150mm mpaka
beam soffit
10​
Shuttering ya ring beamm2
4.6​
26,000119,600
11​
Kukunja na kuweka nondokg
98​
4,000392,000
12​
Kumwaga zege la beamm3
1.25​
180,000225,000
13​
Tofali za level mtambaa panyam2
13.45​
25,000336,250
na gable
14​
Kufunga wall plate na truss, nanos
5​
1,5007,500
15​
Kufunga fascia board nyumba nzimam
15​
1,50022,500
16​
Kufunga purlins 50x50mmm
120​
8,000960,000
17​
Kupiga bati za IT4 na kofia, kila bati 3.4mnos
38​
65,0002,470,000
18​
Kupiga brandering ya ceilingm2
25​
4,000100,000
19​
Kufix gypsum board ya ceilingm2
25​
6,800170,000
20​
Kujaza uwazi kati ya bati na ukutasum45,000
21​
Fufunga bomba za kupitishasum50,000
Umeme na box za switches
22​
Kufunga frame za madirishanos
2​
150,000300,000
23​
Kufunga frame za milangonos
3​
150,000450,000
24​
Kupiga render za kuta nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
25​
Kupiga plaster nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
26​
Kufunga madirisha ya aluminiumnos
2​
240,000480,000
27​
Kufunga milango mbao ya mkongonos
3​
260,000780,000
28​
Electrical wiring na kufunga switchsum650,000
29​
Kupiga rangi nje na ndanim2
148.5​
3,000445,500
TOTAL11,371,650
NB
1​
Gharama hizi ni za DAR ES SALAAM
2​
Kibanda hiki kiko TABORA, hivyo kwa kusafirisha vifa hivyo kwend TABORA, factor gharama kwa 1.2 ,
3​
Hivyo Gharama ya jengo la VETA , TABORA =13,645,980.00

Mamamake, nani alikwambia hivyo vyote waliviweka? Halafu hako kakibanda kawe na mabati 38? Utakuwa pumbavu wewe!
 
Naomba maelezo ya gharama za hapo juu, hicho kibanda ndio kinatumia 650,000 kwenye electrical wiring na kikatumia 445,000 kwenye rangi?
Jidu La Mabambasi hoja yake ni kwamba Waziri Mkuu angelalamikia ubora kwa vigezo vya kitaalam na siyo gharama. Dukani unanunua Soda shilingi 600 lakini baa inauzwa shilingi 1,000 na kwenye zile Hoteli kubwa inaweza kufika hadi shilingi 2,000.

Kwa ivo ukiona mtu kaandika kanunua soda shilingi 2,000 usiseme haiwezekani. Uliza kainunua wapi?
 
Hapo bado ujaweka Armoured cable ya kueleta umeme kwenye hicho kibanda...chukulia ni mita 100 kutoka eneo ambayo main panel hipo.

Tukiona vitu vizuri ulaya tunadhani vinajengwa bure...tuwe serious wadau.
Kwanini uchukulie ni mita 100m wakati Kuna majengo makubwa yapo karibu na hicho kibanda.

Hicho kibanda hakiwezi kuchukua Armoured cable ya size ya ya zaidi ya 2.5sqmm aidha 3C au 4C. Chukulia hiyo Armoured cable per metre ni 5000 pamoja na VAT. Sawa tuchukulie ni mita 100, ukizidisha hapo hiyo Armoured Cable ya mita 100 gharama yake ni TSh 500,000/-. Au tufanye kabisa ni TSh 1,000,000/-.

Sasa ifikie hatua tuheshimiane hakuna kibanda kama hicho kina chojengwa Kwa gharama hizo.
 
Ni kweli mkuu, hii estimate niliifanya kwa haraka haraka.
Na kwa kweli nashangazwa kwa Waziri Mkuu kushangazwa na bei ya hili jengo.
Gharama ambayo kiuhalisia na kwa viwango vyake gharma iko chini.
Nimesikia choo cha Asian cha shilingi 40000. Hiyo bei ni ya choo cha kihindi. Kwenye miradi ya serikali vyoo ni Armitage Shank na hupati cha chini ya 300,000. Dar. Haujakisafirisha. Haujakifunga.

Amandla...
 
Kwanini uchukulie ni mita 100m wakati Kuna majengo makubwa yapo karibu na hicho kibanda.

Hicho kibanda hakiwezi kuchukua Armoured cable ya size ya ya zaidi ya 2.5sqmm aidha 3C au 4C. Chukulia hiyo Armoured cable per metre ni 5000 pamoja na VAT. Sawa tuchukulie ni mita 100, ukizidisha hapo hiyo Armoured Cable ya mita 100 gharama take ni TSh 500,000/-. Au tufanye kabisa ni TSh 1,000,000/-.

Sasa ifikie hatua tuheshimiane hakuna kibanda kama hicho kina chojengwa Kwa gharama hizo.
Na hiyo armoured cable inajileta yenyewe na inajifukia yenyewe?

Amandla...
 
Inategemea waya za aina gani, hivyo vifaa vya umeme vimetoka wapi na kama fundi aliyefunga anatambulika na mamlaka husika. Rangi vile vile.

Amandla...
Vifaa vya umeme huwa vinatoka wapi kwani hizi Tronic na wenzake si zipo maduka ya vifaa vya ujenzi. Na si zinatambulika na mamlaka za viwango. Kuna waya aina gani zinazotumika tofauti na majumbani, au serikali inanunua nyaya maalum kwa ajili yake.

Mafundi si walewale waliosoma vyuo vyetu na wana certificate au diploma in electrical installation. Si ndio haohao wanatumika na raia.

Ulicholenga hapa ni kwamba serikali ina watu na vifaa vyake special ambavyo ni classified ama nini
 

Kwa kawaida nakerwa sana viongzi kuongelea mambo ya kitaalam bila kutafuta ushauri.
Hivi karibuni Mh. Waziri Mkuu alishangazwa kibanda cha Mlinzi katika mradi wa VETA huko Tabora kugharimu Ths 11 million.
Mimi sikushangzwa na gharama lakini nilishangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Majaliwa kusema hadharani kuwa pale kuna upigaji!

Nikiwa mhandisi, niliamua kutafuta picha za kazi hiyo na kutenngeneza Rough Estimates za mradi huo kama ungekuwa Dar es salaam kwa sasa hivi.
Gharama nilizo pata Kwa MKOANI DAER ES SALAAM ni Tsha 11,371,650.0

Kwa vile tabora ni mbali na supplier vifaa vingi , niliamua kuweka factor ya 1.2, hivyo GHARAMA ZA JENGO TABORA KUWA 13,645,980.
Naomba washauri wa Mh Waziri Mkuu wawe wanamtonya kama anakosea.
Gharama za kibanda ni sawa, tena ni pungufu kidogo.

KIBANDA CHA MLINZI VETA , TABORA
S.NoITEMUNITSQUANTITYUNIT COSTCOSTREMARKS
1​
Kuset kibanda na ngazi zotesum20,000
2​
Kuchimba misingim3
3.8​
12,00045,600
3​
Kuweka zege la msingi, nyumba na ngazi
0.2m thickm3
0.45​
180,00081,000
4​
Tofali za kulaza misingim2
21​
37,000777,000
5​
Tofali ngazi za kupandia kibandam2
3.6​
37,000133,200
6​
kuujaza udongo wa murramm3
27.5​
15,000412,500
na kushindilia
7​
kuweka mawe ndani ya msingi na ngazim3
4.5​
35,000157,500
8​
Kumwaga zege la jamvi 150mmm3
4.5​
180,000810,000
9​
Kuset kuta za nyumba, tofali zam2
13.5​
25,000337,500
kusimama 150mm mpaka
beam soffit
10​
Shuttering ya ring beamm2
4.6​
26,000119,600
11​
Kukunja na kuweka nondokg
98​
4,000392,000
12​
Kumwaga zege la beamm3
1.25​
180,000225,000
13​
Tofali za level mtambaa panyam2
13.45​
25,000336,250
na gable
14​
Kufunga wall plate na truss, nanos
5​
1,5007,500
15​
Kufunga fascia board nyumba nzimam
15​
1,50022,500
16​
Kufunga purlins 50x50mmm
120​
8,000960,000
17​
Kupiga bati za IT4 na kofia, kila bati 3.4mnos
38​
65,0002,470,000
18​
Kupiga brandering ya ceilingm2
25​
4,000100,000
19​
Kufix gypsum board ya ceilingm2
25​
6,800170,000
20​
Kujaza uwazi kati ya bati na ukutasum45,000
21​
Fufunga bomba za kupitishasum50,000
Umeme na box za switches
22​
Kufunga frame za madirishanos
2​
150,000300,000
23​
Kufunga frame za milangonos
3​
150,000450,000
24​
Kupiga render za kuta nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
25​
Kupiga plaster nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
26​
Kufunga madirisha ya aluminiumnos
2​
240,000480,000
27​
Kufunga milango mbao ya mkongonos
3​
260,000780,000
28​
Electrical wiring na kufunga switchsum650,000
29​
Kupiga rangi nje na ndanim2
148.5​
3,000445,500
TOTAL11,371,650
NB
1​
Gharama hizi ni za DAR ES SALAAM
2​
Kibanda hiki kiko TABORA, hivyo kwa kusafirisha vifa hivyo kwend TABORA, factor gharama kwa 1.2 ,
3​
Hivyo Gharama ya jengo la VETA , TABORA =13,645,980.00


Ushatoka kwa zamana? Si aliagiza uwekwe ndani?
 
Na hiyo armoured cable inajileta yenyewe na inajifukia yenyewe?

Amandla...
Kijana vyovyote itakavyokuwa huwezi kutumia zaidi ya Milioni 2. Hapo kwanza hicho kibanda huwezi kutumia Cable ikafika 100m. Hilo kwanza weka akilini sababu umeme utafika hapo kwanza kwa ajili ya uwepo wa majengo hayo makubwa, kwenye kibanda kidogo cha mlinzi itakuwa tapping tu ya power kwenda hapo.

Chukulia Armoured Cable imetoka kiwandani Moja Kwa Moja sababu hizi Armoured Cable za 1.5sqmm mpaka 2.5 mara nyingi ni kwa Order ujue bei itapungua, huwezi kukodi semi au Fuso kubebea Armoured Cable ya mita 100 sababu ni mzigo mdogo huo. Usafiri wa hiyo Cable mpaka sehemu husika hauzidi laki 2. Mafundi wa mtaro na kufukia haizidi laki Moja, haya ni makadirio ya juu.
 
Vifaa vya umeme huwa vinatoka wapi kwani hizi Tronic na wenzake si zipo maduka ya vifaa vya ujenzi. Na si zinatambulika na mamlaka za viwango. Kuna waya aina gani zinazotumika tofauti na majumbani, au serikali inanunua nyaya maalum kwa ajili yake.

Mafundi si walewale waliosoma vyuo vyetu na wana certificate au diploma in electrical installation. Si ndio haohao wanatumika na raia.

Ulicholenga hapa ni kwamba serikali ina watu na vifaa vyake special ambavyo ni classified ama nini
Tronic zimepitishwa na nani? Tangu lini umemtumia fundi mwenye diploma kukufungia umeme? Na hiyo diploma in electrical installation inatolewa na chuo gani?

Amandla...
 
Kijana vyovyote itakavyokuwa huwezi kutumia zaidi ya Milioni 2. Hapo kwanza hicho kibanda huwezi kutumia Cable ikafika 100m. Hilo kwanza weka akilini sababu umeme utafika hapo kwanza kwa ajili ya uwepo wa majengo hayo makubwa, kwenye kibanda kidogo cha mlinzi itakuwa tapping tu ya power kwenea hapo.

Chukulia Armoured Cable imetoka kiwandani Moja Kwa Moja sababu hizi Armoured Cable za 1.5sqmm mpaka 2.5 mara nyingi ni kwa Order ujue bei itapungua, huwezi kukodi semi au Fuso kubebea Armoured Cable ya mita 100 sababu ni mzigo mdogo huo. Usafikiri wa hiyo Cable mpaka sehemu husika hauzidi laki 2. Mafundi wa mtaro na kufukia haizidi laki Moja, haya ni makadirio ya juu.
Unapajua Uyui?

Amandla...
 
Back
Top Bottom