Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Sawa mkandarasi wa mkoa tetea kibarua chako ila hapo upigaji ni 45%
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama hamna kwanini ujenge hoja ya vifaa vitafikaje site ?Serikali ipi hiyo unayoifanyia kazi? Hamna mahali katika mkataba panaposema vifaa viletwe kwa njia gani. Kinachotakiwa ni kifaa kifike salama, kwa wakati na katika hali ya kutumika. Hapa unashupalia armoured cable ambazo hata hazipo katika hesabu ambayo mtaalam mwenzako ameiweka.
Amandla...
Vigezo vya kiserikali vinatakaje ? Na kwa kipi hizo gharama zikubalike wakati zinaenda kinyume na uhalisia.Kwa vigezo vya kiserikali vinakubalika. Hoja hapa ingekuwa jee vigezo vimezingatiwa kwa kufuata masharti ya ujenzi wa majengo ya Serikali?
Unaongea kama fundi na sio msimamizi. Mbaya zaidi fundi umeme. Hauna picha ya mradi mzima. Fundi umeme siku zote wanakuwa sehemu ndogo ya mradi na kamwe hawasimamii mradi mzima unaohusu jengo.Hapa najadaliana na mtu ambaye hajui haya mambo. Mimi nimefanya kazi na Serikali na nafanya kazi za Watu binafsi na siyo nyumba binafsi.
Nipe Gharama ya kutoa Armoured Cable kutoka Kiwandani mpaka Uyui, Armoured Cable ya 100m ujue si mzigo mkubwa ? Sasa utaniambia sharti ni usafirishe kwa ndege au ?
Sijawahi kufanya kazi kama fundi umeme.Unaongea kama fundi na sio msimamizi. Mbaya zaidi fundi umeme. Hauna picha ya mradi mzima. Fundi umeme siku zote wanakuwa sehemu ndogo ya mradi na kamwe hawasimamii mradi mzima unaohusu jengo.
Amandla...
Ndio mwenzako aliziweka. Wewe ukaja kushupalia kitu ambacho hata katika hesabu zake hakikuwepo.Sasa hizo gharama nyingine waache watalaamu wa hayo mambo waongelee sababu nao wameonyesha upingaji wa hizo gharama.
Hili nimeshakujibu.Ndio mwenzako aliziweka. Wewe ukaja kushupalia kitu ambacho hata katika hesabu zake hakikuwepo.
Amandla ..
Kwa sababu umezungumzia upigaji na ukazungumzia gharama za kifaa bila kuweka gharama za kukifikisha kwenye eneo. Na ulileta hii hoja yako kutaka kutuaminisha kuwa kuna upigaji katika mradi mzima kutokana na gharama ya armoured cable kuwa tofauti na unavyojua.Sasa kama hamna kwanini ujenge hoja ya vifaa vitafikaje site ?
Mimi nilimjibu mtu Alie leta suala la Armoured Cable akasema mita 100. Kwahiyo hapa naongelea jambo ninalo lijua ndiyo maana sijaongea kubusu matofali Wala Cement sababu sina ujuzi navyo.
Kwa hiyo unakubali kuwa hauna utaalam wa kuuzungumzia mradi katika ujumla wake?Hili
Sawa. Basi tuseme fundi mwenye diploma ya electrical installation ambae anasimamia miradi ya ufungaji umeme.Sijawahi kufanya kazi kama fundi umeme.
Standard zipi hizo? Taasisi gani ya kimataifa inaweka standards hizo ambazo zinalenga dunia nzima? Na hua tunazungumzia specifications na sio selections. Kwenye majengo ya serikali viwango katika masuala ya umeme vinawekwa na Temesa.Kiuhalisia nimekuonyesha na number nimekuwekea mfano tu kwenye umeme, hapo kibanda hicho kitategemea umeme kutokana na miundo mbinu iliyo wekwa kwenye hayo majengo makubwa.
Standard za kimataifa katika selection wa vifaa, kumbuka naongelea mambo ya umeme. Siongelei siasa za uchumia tumbo.
Sasa unawezaje kufanya selections pasi na Specifications, maana take Specifications ipo ndani ya Selections.Standard zipi hizo? Taasisi gani ya kimataifa inaweka standards hizo ambazo zinalenga dunia nzima? Na hua tunazungumzia specifications na sio selections. Kwenye majengo ya serikali viwango katika masuala ya umeme vinawekwa na Temesa.
Amandla...
Huko nimepita.Sawa. Basi tuseme fundi mwenye diploma ya electrical installation ambae anasimamia miradi ya ufungaji umeme.
Amandla.
Nimeandika kiswahili kirahisi sana.Kwa hiyo unakubali kuwa hauna utaalam wa kuuzungumzia mradi katika ujumla wake?
Amandla....
Nimekuuliza Armoured Cable inafika Uyui kwa Bei gani ?Kwa sababu umezungumzia upigaji na ukazungumzia gharama za kifaa bila kuweka gharama za kukifikisha kwenye eneo. Na ulileta hii hoja yako kutaka kutuaminisha kuwa kuna upigaji katika mradi mzima kutokana na gharama ya armoured cable kuwa tofauti na unavyojua.
Amandla...
Sijibu maswali ya kipuuzi.Nimekuuliza Armoured Cable inafika Uyui kwa Bei gani ?
Upigaji upo pale pale. Huwezi kujenga hicho kibanda kwa milioni 11. Mimi nikagusia tu ishu ya umeme.
Sasa ulikuwa una Pinga Nini huko nyuma ?Sijibu maswali ya kipuuzi.
Unazungumzia ishu ambayo wala haikuhusishwa kwenye gharama za mradi. Utasemaji mradi hauwezi kugharimu milioni 11 kwa kutolea mfano kitu ambacho hata kwenye mradi hakipo?
Amandla...