Waziri Mkuu Majaliwa, pokea makadirio yangu kibanda cha VETA Tabora

Waziri Mkuu Majaliwa, pokea makadirio yangu kibanda cha VETA Tabora

Wakuu

Waziri mkuu alikuwa anaangalia value for money!
Hata mpige hesabu kiasi gani kile kibanda hakiendani na thamani ya milion 11!

Sio kwamba aina ya kibanda kilichotakiwa kujengwa ndio kinaendana na kiwango cha Fedha hiyo bali kibanda kilichojengwa hakiendani na milion 11.

Hilo lipo wazi KWA mwenye akili timamu!
 
View attachment 2352668
Kwa kawaida nakerwa sana viongzi kuongelea mambo ya kitaalam bila kutafuta ushauri.
Hivi karibuni Mh. Waziri Mkuu alishangazwa kibanda cha Mlinzi katika mradi wa VETA huko Tabora kugharimu Ths 11 million.
Mimi sikushangzwa na gharama lakini nilishangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Majaliwa kusema hadharani kuwa pale kuna upigaji!

Nikiwa mhandisi, niliamua kutafuta picha za kazi hiyo na kutenngeneza Rough Estimates za mradi huo kama ungekuwa Dar es salaam kwa sasa hivi.
Gharama nilizo pata Kwa MKOANI DAER ES SALAAM ni Tsha 11,371,650.0

Kwa vile tabora ni mbali na supplier vifaa vingi , niliamua kuweka factor ya 1.2, hivyo GHARAMA ZA JENGO TABORA KUWA 13,645,980.
Naomba washauri wa Mh Waziri Mkuu wawe wanamtonya kama anakosea.
Gharama za kibanda ni sawa, tena ni pungufu kidogo.

KIBANDA CHA MLINZI VETA , TABORA
S.NoITEMUNITSQUANTITYUNIT COSTCOSTREMARKS
1​
Kuset kibanda na ngazi zotesum20,000
2​
Kuchimba misingim3
3.8​
12,00045,600
3​
Kuweka zege la msingi, nyumba na ngazi
0.2m thickm3
0.45​
180,00081,000
4​
Tofali za kulaza misingim2
21​
37,000777,000
5​
Tofali ngazi za kupandia kibandam2
3.6​
37,000133,200
6​
kuujaza udongo wa murramm3
27.5​
15,000412,500
na kushindilia
7​
kuweka mawe ndani ya msingi na ngazim3
4.5​
35,000157,500
8​
Kumwaga zege la jamvi 150mmm3
4.5​
180,000810,000
9​
Kuset kuta za nyumba, tofali zam2
13.5​
25,000337,500
kusimama 150mm mpaka
beam soffit
10​
Shuttering ya ring beamm2
4.6​
26,000119,600
11​
Kukunja na kuweka nondokg
98​
4,000392,000
12​
Kumwaga zege la beamm3
1.25​
180,000225,000
13​
Tofali za level mtambaa panyam2
13.45​
25,000336,250
na gable
14​
Kufunga wall plate na truss, nanos
5​
1,5007,500
15​
Kufunga fascia board nyumba nzimam
15​
1,50022,500
16​
Kufunga purlins 50x50mmm
120​
8,000960,000
17​
Kupiga bati za IT4 na kofia, kila bati 3.4mnos
38​
65,0002,470,000
18​
Kupiga brandering ya ceilingm2
25​
4,000100,000
19​
Kufix gypsum board ya ceilingm2
25​
6,800170,000
20​
Kujaza uwazi kati ya bati na ukutasum45,000
21​
Fufunga bomba za kupitishasum50,000
Umeme na box za switches
22​
Kufunga frame za madirishanos
2​
150,000300,000
23​
Kufunga frame za milangonos
3​
150,000450,000
24​
Kupiga render za kuta nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
25​
Kupiga plaster nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
26​
Kufunga madirisha ya aluminiumnos
2​
240,000480,000
27​
Kufunga milango mbao ya mkongonos
3​
260,000780,000
28​
Electrical wiring na kufunga switchsum650,000
29​
Kupiga rangi nje na ndanim2
148.5​
3,000445,500
TOTAL11,371,650
NB
1​
Gharama hizi ni za DAR ES SALAAM
2​
Kibanda hiki kiko TABORA, hivyo kwa kusafirisha vifa hivyo kwend TABORA, factor gharama kwa 1.2 ,
3​
Hivyo Gharama ya jengo la VETA , TABORA =13,645,980.00
Wewe msomi.
 
Acha uongo ww, hapo kwenye bati utumie bati 38.. Kibanda cha bati 10 utumie bati 38.. Acha uongo, nilijua nitakunasa hapo kwenye bati..

Kibanda cha Tabora bati 10 tu, kila upande bati 5... Na bati bei yake ya mita 3.4 ni 47,600 yaani 14,000 kwa mita kwa bei ya serikali kutoka ALAF..!! So bati 10 za mita 3.4 = 476,000 tu

Kile kibanda kwa mil 11 nyingi mno, wizi uko wazi pale.
Kumbuka hiyo bati ni IT4, na bei yake si chini ya 17,000 kwa mita Jijini DSM.
Kuifikisha Tabora utajiju.
 
Wakuu

Waziri mkuu alikuwa anaangalia value for money!
Hata mpige hesabu kiasi gani kile kibanda hakiendani na thamani ya milion 11!

Sio kwamba aina ya kibanda kilichotakiwa kujengwa ndio kinaendana na kiwango cha Fedha hiyo bali kibanda kilichojengwa hakiendani na milion 11.

Hilo lipo wazi KWA mwenye akili timamu!
Vaue for money ni tamko la wanasiasa wengi.
Watupe value for money kwa miradi ya mabilioni, SGR , Stiglaz Hydropower plant n.k.
 
Wakuu

Waziri mkuu alikuwa anaangalia value for money!
Hata mpige hesabu kiasi gani kile kibanda hakiendani na thamani ya milion 11!
Inawezekana kibanda kimejengwa kwa shilingi milioni 4. Lakini taratibu za kukijenga ndiyo zimegharimu shilingi milioni 7.

Hivi unadhani ujenzi wa maghorofa ni gharama sana, HAPANA. Ila taratibu za kufuata ili ghorofa lijengwe ndiyo huongeza gharama za ujenzi. Magufuli alipokuwa Rais alijenga majengo mengi kwa kutumia TBA na JKT na gharama zikawa chini sana kwa kuwa alielekeza taratibu za ujenzi zilizopo zisifuatwe.
 
Si swali la msingi katika hii mada. Jua kwamba haya mambo Nina ujuzi nayo na hicho kibanda hakiwezi kujengwa kwa hiyo gharama huu ndiyo uhalisia.
Kwa nini unaandikia mate?
Weka mahesabu yako hapa, kama nilivyoweka, tuyachambue.
Wanasiasa wanaua fani ya ujenzi.
 
Mafundi si walewale waliosoma vyuo vyetu na wana certificate au diploma in electrical installation. Si ndio haohao wanatumika na raia.

Ulicholenga hapa ni kwamba serikali ina watu na vifaa vyake special ambavyo ni classified ama nini

Wapi nimeongelea mambo ya Diploma ? Kweli wewe fundi Mchundo.

Kingine Jenga hoja, maana huna hoja mpaka muda huu, unaulizia elimu za wat au kosoa nilichokiandika.
Nilikuonea kuhusu elimu. Lakini bado ulichoandika hakina maana katika mada hii.

Amandla...
 
Kwa nini unaandikia mate?
Weka mahesabu yako hapa, kama nilivyoweka, tuyachambue.
Wanasiasa wanaua fani ya ujenzi.
Niweke mara ngapi ?

Kibanda Cha mlinzi kinachukua bati 38 ?

Kingine hoja si kuiweka hesabu hoja hizo hesabu Zina uhalisia ?!
 
View attachment 2352668
Kwa kawaida nakerwa sana viongzi kuongelea mambo ya kitaalam bila kutafuta ushauri.
Hivi karibuni Mh. Waziri Mkuu alishangazwa kibanda cha Mlinzi katika mradi wa VETA huko Tabora kugharimu Ths 11 million.
Mimi sikushangzwa na gharama lakini nilishangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Majaliwa kusema hadharani kuwa pale kuna upigaji!

Nikiwa mhandisi, niliamua kutafuta picha za kazi hiyo na kutenngeneza Rough Estimates za mradi huo kama ungekuwa Dar es salaam kwa sasa hivi.
Gharama nilizo pata Kwa MKOANI DAER ES SALAAM ni Tsha 11,371,650.0

Kwa vile tabora ni mbali na supplier vifaa vingi , niliamua kuweka factor ya 1.2, hivyo GHARAMA ZA JENGO TABORA KUWA 13,645,980.
Naomba washauri wa Mh Waziri Mkuu wawe wanamtonya kama anakosea.
Gharama za kibanda ni sawa, tena ni pungufu kidogo.

KIBANDA CHA MLINZI VETA , TABORA
S.NoITEMUNITSQUANTITYUNIT COSTCOSTREMARKS
1​
Kuset kibanda na ngazi zotesum20,000
2​
Kuchimba misingim3
3.8​
12,00045,600
3​
Kuweka zege la msingi, nyumba na ngazi
0.2m thickm3
0.45​
180,00081,000
4​
Tofali za kulaza misingim2
21​
37,000777,000
5​
Tofali ngazi za kupandia kibandam2
3.6​
37,000133,200
6​
kuujaza udongo wa murramm3
27.5​
15,000412,500
na kushindilia
7​
kuweka mawe ndani ya msingi na ngazim3
4.5​
35,000157,500
8​
Kumwaga zege la jamvi 150mmm3
4.5​
180,000810,000
9​
Kuset kuta za nyumba, tofali zam2
13.5​
25,000337,500
kusimama 150mm mpaka
beam soffit
10​
Shuttering ya ring beamm2
4.6​
26,000119,600
11​
Kukunja na kuweka nondokg
98​
4,000392,000
12​
Kumwaga zege la beamm3
1.25​
180,000225,000
13​
Tofali za level mtambaa panyam2
13.45​
25,000336,250
na gable
14​
Kufunga wall plate na truss, nanos
5​
1,5007,500
15​
Kufunga fascia board nyumba nzimam
15​
1,50022,500
16​
Kufunga purlins 50x50mmm
120​
8,000960,000
17​
Kupiga bati za IT4 na kofia, kila bati 3.4mnos
38​
65,0002,470,000
18​
Kupiga brandering ya ceilingm2
25​
4,000100,000
19​
Kufix gypsum board ya ceilingm2
25​
6,800170,000
20​
Kujaza uwazi kati ya bati na ukutasum45,000
21​
Fufunga bomba za kupitishasum50,000
Umeme na box za switches
22​
Kufunga frame za madirishanos
2​
150,000300,000
23​
Kufunga frame za milangonos
3​
150,000450,000
24​
Kupiga render za kuta nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
25​
Kupiga plaster nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
26​
Kufunga madirisha ya aluminiumnos
2​
240,000480,000
27​
Kufunga milango mbao ya mkongonos
3​
260,000780,000
28​
Electrical wiring na kufunga switchsum650,000
29​
Kupiga rangi nje na ndanim2
148.5​
3,000445,500
TOTAL11,371,650
NB
1​
Gharama hizi ni za DAR ES SALAAM
2​
Kibanda hiki kiko TABORA, hivyo kwa kusafirisha vifa hivyo kwend TABORA, factor gharama kwa 1.2 ,
3​
Hivyo Gharama ya jengo la VETA , TABORA =13,645,980.00
Bati 38 kibanda Cha mlinzi?
 
Iko siku Tucta wakiitisha mandamano nchi mzima kitaeleka.Mtu unakatwa PAYE,Tozo lukuki halafu anakuja mpuuzi anajengea kibanda Cha kuku kwa 11 million .try to be serious aiseee.
 
View attachment 2352668
Kwa kawaida nakerwa sana viongzi kuongelea mambo ya kitaalam bila kutafuta ushauri.

Hivi karibuni Mh. Waziri Mkuu alishangazwa kibanda cha Mlinzi katika mradi wa VETA huko Tabora kugharimu Ths 11 million.

Mimi sikushangzwa na gharama lakini nilishangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Majaliwa kusema hadharani kuwa pale kuna upigaji!

Nikiwa mhandisi, niliamua kutafuta picha za kazi hiyo na kutenngeneza Rough Estimates za mradi huo kama ungekuwa Dar es Salaam kwa sasa hivi.

Gharama nilizo pata Kwa MKOANI DAER ES SALAAM ni Tsha 11,371,650.0

Kwa vile tabora ni mbali na supplier vifaa vingi , niliamua kuweka factor ya 1.2, hivyo GHARAMA ZA JENGO TABORA KUWA 13,645,980.

Naomba washauri wa Mh Waziri Mkuu wawe wanamtonya kama anakosea.
Gharama za kibanda ni sawa, tena ni pungufu kidogo.

KIBANDA CHA MLINZI VETA , TABORA
S.NoITEMUNITSQUANTITYUNIT COSTCOSTREMARKS
1​
Kuset kibanda na ngazi zotesum20,000
2​
Kuchimba misingim3
3.8​
12,00045,600
3​
Kuweka zege la msingi, nyumba na ngazi
0.2m thickm3
0.45​
180,00081,000
4​
Tofali za kulaza misingim2
21​
37,000777,000
5​
Tofali ngazi za kupandia kibandam2
3.6​
37,000133,200
6​
kuujaza udongo wa murramm3
27.5​
15,000412,500
na kushindilia
7​
kuweka mawe ndani ya msingi na ngazim3
4.5​
35,000157,500
8​
Kumwaga zege la jamvi 150mmm3
4.5​
180,000810,000
9​
Kuset kuta za nyumba, tofali zam2
13.5​
25,000337,500
kusimama 150mm mpaka
beam soffit
10​
Shuttering ya ring beamm2
4.6​
26,000119,600
11​
Kukunja na kuweka nondokg
98​
4,000392,000
12​
Kumwaga zege la beamm3
1.25​
180,000225,000
13​
Tofali za level mtambaa panyam2
13.45​
25,000336,250
na gable
14​
Kufunga wall plate na truss, nanos
5​
1,5007,500
15​
Kufunga fascia board nyumba nzimam
15​
1,50022,500
16​
Kufunga purlins 50x50mmm
120​
8,000960,000
17​
Kupiga bati za IT4 na kofia, kila bati 3.4mnos
38​
65,0002,470,000
18​
Kupiga brandering ya ceilingm2
25​
4,000100,000
19​
Kufix gypsum board ya ceilingm2
25​
6,800170,000
20​
Kujaza uwazi kati ya bati na ukutasum45,000
21​
Fufunga bomba za kupitishasum50,000
Umeme na box za switches
22​
Kufunga frame za madirishanos
2​
150,000300,000
23​
Kufunga frame za milangonos
3​
150,000450,000
24​
Kupiga render za kuta nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
25​
Kupiga plaster nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
26​
Kufunga madirisha ya aluminiumnos
2​
240,000480,000
27​
Kufunga milango mbao ya mkongonos
3​
260,000780,000
28​
Electrical wiring na kufunga switchsum650,000
29​
Kupiga rangi nje na ndanim2
148.5​
3,000445,500
TOTAL11,371,650
NB
1​
Gharama hizi ni za DAR ES SALAAM
2​
Kibanda hiki kiko TABORA, hivyo kwa kusafirisha vifa hivyo kwend TABORA, factor gharama kwa 1.2 ,
3​
Hivyo Gharama ya jengo la VETA , TABORA =13,645,980.00
Kwamba sie hatujeng wee ndo unajenga na ndo unajua sana au.. kile kibanda kwa haraka haraka ni kama 6m tena hapo nmefanya maximum nna kibanda kizur kulikk kile kipo hapo shamban kiwangwa maanina.. anakaa shamba boy. Sema sjaweka aluminium na bat ile kama ya hicho cha majaliwa ila hata ningeweka kama hko cha majaliwa hakizid 6m... Kawadanganyen wajinga wajinga huko
 
View attachment 2352668
Kwa kawaida nakerwa sana viongzi kuongelea mambo ya kitaalam bila kutafuta ushauri.

Hivi karibuni Mh. Waziri Mkuu alishangazwa kibanda cha Mlinzi katika mradi wa VETA huko Tabora kugharimu Ths 11 million.

Mimi sikushangzwa na gharama lakini nilishangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Majaliwa kusema hadharani kuwa pale kuna upigaji!

Nikiwa mhandisi, niliamua kutafuta picha za kazi hiyo na kutenngeneza Rough Estimates za mradi huo kama ungekuwa Dar es Salaam kwa sasa hivi.

Gharama nilizo pata Kwa MKOANI DAER ES SALAAM ni Tsha 11,371,650.0

Kwa vile tabora ni mbali na supplier vifaa vingi , niliamua kuweka factor ya 1.2, hivyo GHARAMA ZA JENGO TABORA KUWA 13,645,980.

Naomba washauri wa Mh Waziri Mkuu wawe wanamtonya kama anakosea.
Gharama za kibanda ni sawa, tena ni pungufu kidogo.

KIBANDA CHA MLINZI VETA , TABORA
S.NoITEMUNITSQUANTITYUNIT COSTCOSTREMARKS
1​
Kuset kibanda na ngazi zotesum20,000
2​
Kuchimba misingim3
3.8​
12,00045,600
3​
Kuweka zege la msingi, nyumba na ngazi
0.2m thickm3
0.45​
180,00081,000
4​
Tofali za kulaza misingim2
21​
37,000777,000
5​
Tofali ngazi za kupandia kibandam2
3.6​
37,000133,200
6​
kuujaza udongo wa murramm3
27.5​
15,000412,500
na kushindilia
7​
kuweka mawe ndani ya msingi na ngazim3
4.5​
35,000157,500
8​
Kumwaga zege la jamvi 150mmm3
4.5​
180,000810,000
9​
Kuset kuta za nyumba, tofali zam2
13.5​
25,000337,500
kusimama 150mm mpaka
beam soffit
10​
Shuttering ya ring beamm2
4.6​
26,000119,600
11​
Kukunja na kuweka nondokg
98​
4,000392,000
12​
Kumwaga zege la beamm3
1.25​
180,000225,000
13​
Tofali za level mtambaa panyam2
13.45​
25,000336,250
na gable
14​
Kufunga wall plate na truss, nanos
5​
1,5007,500
15​
Kufunga fascia board nyumba nzimam
15​
1,50022,500
16​
Kufunga purlins 50x50mmm
120​
8,000960,000
17​
Kupiga bati za IT4 na kofia, kila bati 3.4mnos
38​
65,0002,470,000
18​
Kupiga brandering ya ceilingm2
25​
4,000100,000
19​
Kufix gypsum board ya ceilingm2
25​
6,800170,000
20​
Kujaza uwazi kati ya bati na ukutasum45,000
21​
Fufunga bomba za kupitishasum50,000
Umeme na box za switches
22​
Kufunga frame za madirishanos
2​
150,000300,000
23​
Kufunga frame za milangonos
3​
150,000450,000
24​
Kupiga render za kuta nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
25​
Kupiga plaster nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
26​
Kufunga madirisha ya aluminiumnos
2​
240,000480,000
27​
Kufunga milango mbao ya mkongonos
3​
260,000780,000
28​
Electrical wiring na kufunga switchsum650,000
29​
Kupiga rangi nje na ndanim2
148.5​
3,000445,500
TOTAL11,371,650
NB
1​
Gharama hizi ni za DAR ES SALAAM
2​
Kibanda hiki kiko TABORA, hivyo kwa kusafirisha vifa hivyo kwend TABORA, factor gharama kwa 1.2 ,
3​
Hivyo Gharama ya jengo la VETA , TABORA =13,645,980.00
Ni sawa kabisa.
 
Back
Top Bottom