Waziri Mkuu Majaliwa, pokea makadirio yangu kibanda cha VETA Tabora

Waziri Mkuu Majaliwa, pokea makadirio yangu kibanda cha VETA Tabora

Mkuu hapa Waziri Mkuu Majaliwa anataka cheap popularism at the expense of fani ya ujenzi, ambayo kiuhalisia haijui.

Haijui wapi? na vipi? kwaiyo unataka aweke mkaguzi na alipwe kwajili ya kukagua miradi ya serikali kati wizara zote ziko chini yake!!! Nayeye anakili pia na macho ndo maana kapongeza mirad mingine ilofanya vizuri na kaona upupu kwenye huo na kaponda.

Ndomaana ata MWENDAZAKE alikua anajua izo mbinu yani watu wanafuja ela et kujifanya UPROFENISM kwenye kila kitu kama kunakipindi watu wa Shilika la anga walitaka kuchukua ndege ya kubeba viongozi kwenda kuichora south africa et kuchora Twiga wanajifanya kuweka UPROFENISM mwiingi kufanya jambo lionekane zito na gumu wakataka kutumia tsh160 kuchora TWIGA kwenye ile ndege na Raisi wa kipindi kile alikataa na badala yake ilitumika tsh mil7 tu.

Pesa ya serikali inatumika ovyo kwakigezo cha usomi na hesabu za vitabu ila waziri katumia akili za kawaida kuchambua wala hakukuitaji mkandalasi apo kutambua huo upupu

Binafsi nishawai kutaka kujenga moja ya nyumba zangu kwakupitia mkandarasi alinipa bei ya msingi sikuamini masikio yangu mara hoo kuna maji marahoo soil thickness end etc ila nimejenga kwa mafundi wakaida wenye uzoefu wa kazi nyumba ikasimama saivi mwaka wa16 mvua na masika vinapita mpaka matetemeko yaliwahi kupita ila mambo poa ila izo zao za wakandarasi(gholofa) zikaporomoka ila yangu ikasimama ndo nikajua usomi mwiingi mwisho huzalisha ujinga kuna muda tumia akili za mzungu af changanya na zako vitu vinawezekana.
 
Haijui wapi? na vipi? kwaiyo unataka aweke mkaguzi na alipwe kwajili ya kukagua miradi ya serikali kati wizara zote ziko chini yake!!! Nayeye anakili pia na macho ndo maana kapongeza mirad mingine ilofanya vizuri na kaona upupu kwenye huo na kaponda.

Ndomaana ata MWENDAZAKE alikua anajua izo mbinu yani watu wanafuja ela et kujifanya UPROFENISM kwenye kila kitu kama kunakipindi watu wa Shilika la anga walitaka kuchukua ndege ya kubeba viongozi kwenda kuichora south africa et kuchora Twiga wanajifanya kuweka UPROFENISM mwiingi kufanya jambo lionekane zito na gumu wakataka kutumia tsh160 kuchora TWIGA kwenye ile ndege na Raisi wa kipindi kile alikataa na badala yake ilitumika tsh mil7 tu.

Pesa ya serikali inatumika ovyo kwakigezo cha usomi na hesabu za vitabu ila waziri katumia akili za kawaida kuchambua wala hakukuitaji mkandalasi apo kutambua huo upupu

Binafsi nishawai kutaka kujenga moja ya nyumba zangu kwakupitia mkandarasi alinipa bei ya msingi sikuamini masikio yangu mara hoo kuna maji marahoo soil thickness end etc ila nimejenga kwa mafundi wakaida wenye uzoefu wa kazi nyumba ikasimama saivi mwaka wa16 mvua na masika vinapita mpaka matetemeko yaliwahi kupita ila mambo poa ila izo zao za wakandarasi(gholofa) zikaporomoka ila yangu ikasimama ndo nikajua usomi mwiingi mwisho huzalisha ujinga kuna muda tumia akili za mzungu af changanya na zako vitu vinawezekana.
Majaliwa kachemsha!
 
Kwamba utembeze 2.5sqmm umbali wa mita 100 na ukaipeleka kwenye kibanda Kama supply cable kisa unataka kubana bajeti Kama nyumbani kwako...alafu baada ya miezi mitano mnataka kuweka geti yenye motor na vitu vingine Tena muanze kulaumu kuwa hamkushauriwa vizuri umeme uliopo kwenye kibanda hakitoshi kuendesha motor.
Kwanza thibitisha ya kuwa hapo kutahitajika wire wa mita 100. Wakati Kuna Kuna Existing Buildings. Kingine nani alisema hicho kibanda kitahitaji wire wa 2.5sqmm kama Supply Cable wakati niliandika ya kuwa kulingana na uwepo wa hayo manengo makubwa hicho kibanda kitahitaji "Tapping" ya Power to na Route Length take haizidi hizi mita 100.

Ndiyo maana nikakwambia kuwa makini acha kukurupuka.
 
View attachment 2352668
Kwa kawaida nakerwa sana viongzi kuongelea mambo ya kitaalam bila kutafuta ushauri.

Hivi karibuni Mh. Waziri Mkuu alishangazwa kibanda cha Mlinzi katika mradi wa VETA huko Tabora kugharimu Ths 11 million.

Mimi sikushangzwa na gharama lakini nilishangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Majaliwa kusema hadharani kuwa pale kuna upigaji!

Nikiwa mhandisi, niliamua kutafuta picha za kazi hiyo na kutenngeneza Rough Estimates za mradi huo kama ungekuwa Dar es Salaam kwa sasa hivi.

Gharama nilizo pata Kwa MKOANI DAER ES SALAAM ni Tsha 11,371,650.0

Kwa vile tabora ni mbali na supplier vifaa vingi , niliamua kuweka factor ya 1.2, hivyo GHARAMA ZA JENGO TABORA KUWA 13,645,980.

Naomba washauri wa Mh Waziri Mkuu wawe wanamtonya kama anakosea.
Gharama za kibanda ni sawa, tena ni pungufu kidogo.

KIBANDA CHA MLINZI VETA , TABORA
S.NoITEMUNITSQUANTITYUNIT COSTCOSTREMARKS
1​
Kuset kibanda na ngazi zotesum20,000
2​
Kuchimba misingim3
3.8​
12,00045,600
3​
Kuweka zege la msingi, nyumba na ngazi
0.2m thickm3
0.45​
180,00081,000
4​
Tofali za kulaza misingim2
21​
37,000777,000
5​
Tofali ngazi za kupandia kibandam2
3.6​
37,000133,200
6​
kuujaza udongo wa murramm3
27.5​
15,000412,500
na kushindilia
7​
kuweka mawe ndani ya msingi na ngazim3
4.5​
35,000157,500
8​
Kumwaga zege la jamvi 150mmm3
4.5​
180,000810,000
9​
Kuset kuta za nyumba, tofali zam2
13.5​
25,000337,500
kusimama 150mm mpaka
beam soffit
10​
Shuttering ya ring beamm2
4.6​
26,000119,600
11​
Kukunja na kuweka nondokg
98​
4,000392,000
12​
Kumwaga zege la beamm3
1.25​
180,000225,000
13​
Tofali za level mtambaa panyam2
13.45​
25,000336,250
na gable
14​
Kufunga wall plate na truss, nanos
5​
1,5007,500
15​
Kufunga fascia board nyumba nzimam
15​
1,50022,500
16​
Kufunga purlins 50x50mmm
120​
8,000960,000
17​
Kupiga bati za IT4 na kofia, kila bati 3.4mnos
38​
65,0002,470,000
18​
Kupiga brandering ya ceilingm2
25​
4,000100,000
19​
Kufix gypsum board ya ceilingm2
25​
6,800170,000
20​
Kujaza uwazi kati ya bati na ukutasum45,000
21​
Fufunga bomba za kupitishasum50,000
Umeme na box za switches
22​
Kufunga frame za madirishanos
2​
150,000300,000
23​
Kufunga frame za milangonos
3​
150,000450,000
24​
Kupiga render za kuta nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
25​
Kupiga plaster nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
26​
Kufunga madirisha ya aluminiumnos
2​
240,000480,000
27​
Kufunga milango mbao ya mkongonos
3​
260,000780,000
28​
Electrical wiring na kufunga switchsum650,000
29​
Kupiga rangi nje na ndanim2
148.5​
3,000445,500
TOTAL11,371,650
NB
1​
Gharama hizi ni za DAR ES SALAAM
2​
Kibanda hiki kiko TABORA, hivyo kwa kusafirisha vifa hivyo kwend TABORA, factor gharama kwa 1.2 ,
3​
Hivyo Gharama ya jengo la VETA , TABORA =13,645,980.00
Installation ya umeme imegahrimu 650000,??? Hapo ni main switch moja, socket moja , taa mbili at most na switch 1 ya two gang,
 
Wengi hamjui namna gharama za ujenzi unavyojengwa ili kupata gharama halisi, yeye ameweka data mezani wengine wanaleta porojo.

Mtoa mada bado hujaweka system ya maji taka. Iwapo majitaka ya kutoka kwenye kibanda hadi eneo ambalo ni centralized wa ajili ya majengo yote, hivyo kibanda kinaweza kufikia gharama ya TZS 16,000,000.

Wengi mnapenda kuweka vitu kienyeji bila kufuata plan halafu baadae mnawalaumu tena wataalam. Waulize timu ya wanasema gharama ni juu Kama wanajua Bei ya PVC Pipe class C ya plasco ya nchi 4 ni kiasi gani.
Mkuu ingekuwa ujenzi unaenda kwa gaharama kama hiz wengi tusingejenga
Hicho kibanda ni kama banda la kuku lililochangamka , hata mil 5 haiishi.
 
Hapo bado ujaweka Armoured cable ya kueleta umeme kwenye hicho kibanda. Chukulia ni mita 100 kutoka eneo ambayo main panel hipo.

Tukiona vitu vizuri ulaya tunadhani vinajengwa bure. Tuwe serious wadau.
Armoured cable kwenye kibanda cha mlinzi kuna item gani za maana zitatumika huko?
Mita 100 ni uwanja wa mpira , kwa nini ujenge kibanda umbali wote huo kutoka main panel?
 
Mkuu mahesabu ya BOQ yapo hapo.
Wewe yapitie uone cha kupunguza.
Ni kweli wasiojua ujenzi wanafikiri mkandarasi ndiye mwenye gharama, hawajui kuwa specifications ndio zinaelekeza kitasa , mbso na madirisha ya aina gani kufunga kwenye jengo.

Ni kweli kabisa. Kitasa cha HAFELLE made in German bei yake siyo chini ya 250,000. Kwa hiyo ili kujua bei lazima kujua nyumba imejengwa kwa kutumia vifaa vya standard gani kwanza. Kuna mtu alisema million2 unamaliza hicho kibanda lakini ukweli ni kwamba huwezi hata kwa million 4 jinsi vifaa vilivyopanda bei. Watafutwe QS Neutral wakafanye Measurements/ Taking off kwa ueledi ili kupata ukweli.
 
Bwana tusijifanye wataalamu sana.hapo hela imeliwa .hakuna quality ya milion 11 hapo.
Full stop.
 
Tatizo mnafikiri PM alijua bei ya kibanda akiwa pale, alishapitia kila kitu kabla ya kwenda site.
 
Ubora unaendana na mkataba sio matakwa ya mjenzi. Hapo hajaweka gharama za kupima matofali, zege na nondo. Na kila hatua ikaguliwe na kupitishwa. Ndivyo inavyotakiwa katika miradi ya serikali. Weww ulifanya lini vyote hivi kwenye kibanda ulichojenga?

Amandla...
Hayo yoyote nichaka la kupiga fedha za walipa Kodi.
 
Jidu La Mabambasi hoja yake ni kwamba Waziri Mkuu angelalamikia ubora kwa vigezo vya kitaalam na siyo gharama. Dukani unanunua Soda shilingi 600 lakini baa inauzwa shilingi 1,000 na kwenye zile Hoteli kubwa inaweza kufika hadi shilingi 2,000.

Kwa ivo ukiona mtu kaandika kanunua soda shilingi 2,000 usiseme haiwezekani. Uliza kainunua wapi?
Muongozo umetoa nafasi ya Kununua soda ya 600, na si ya 1000.
Force account ,hautaki mbwembwe.
 
Nimesikia choo cha Asian cha shilingi 40000. Hiyo bei ni ya choo cha kihindi. Kwenye miradi ya serikali vyoo ni Armitage Shank na hupati cha chini ya 300,000. Dar. Haujakisafirisha. Haujakifunga.

Amandla...
Mjenzi amekili kuweka hicho Cha 40,000.

Cha 300,000 umekiweka wapi?
 
Haijui wapi? na vipi? kwaiyo unataka aweke mkaguzi na alipwe kwajili ya kukagua miradi ya serikali kati wizara zote ziko chini yake!!! Nayeye anakili pia na macho ndo maana kapongeza mirad mingine ilofanya vizuri na kaona upupu kwenye huo na kaponda.

Ndomaana ata MWENDAZAKE alikua anajua izo mbinu yani watu wanafuja ela et kujifanya UPROFENISM kwenye kila kitu kama kunakipindi watu wa Shilika la anga walitaka kuchukua ndege ya kubeba viongozi kwenda kuichora south africa et kuchora Twiga wanajifanya kuweka UPROFENISM mwiingi kufanya jambo lionekane zito na gumu wakataka kutumia tsh160 kuchora TWIGA kwenye ile ndege na Raisi wa kipindi kile alikataa na badala yake ilitumika tsh mil7 tu.

Pesa ya serikali inatumika ovyo kwakigezo cha usomi na hesabu za vitabu ila waziri katumia akili za kawaida kuchambua wala hakukuitaji mkandalasi apo kutambua huo upupu

Binafsi nishawai kutaka kujenga moja ya nyumba zangu kwakupitia mkandarasi alinipa bei ya msingi sikuamini masikio yangu mara hoo kuna maji marahoo soil thickness end etc ila nimejenga kwa mafundi wakaida wenye uzoefu wa kazi nyumba ikasimama saivi mwaka wa16 mvua na masika vinapita mpaka matetemeko yaliwahi kupita ila mambo poa ila izo zao za wakandarasi(gholofa) zikaporomoka ila yangu ikasimama ndo nikajua usomi mwiingi mwisho huzalisha ujinga kuna muda tumia akili za mzungu af changanya na zako vitu vinawezekana.
Ndio maana tunasema watu wenye vichwa vya panzi mna comment vitu ambavyi hamjui.
Mbaya zaidi Waziri Mkuu ambaye hajui uwa kuna ma Cinsultant na ma QS wengi tu wa kumpigia mahesabu.
Yeye anaijua takukuru tu!
Muwage na akili basi kwa vitu msivyovijua, intellectual caoacity sifuri kabisa.
 
Tungebishaniana ubora na siyo gharama... Maana gharama zinakokotolewa toka kwenye ubora.
Ni maamzi tu. unaweza kufanya kitu Bora kwa gharama nafuu.

Ukiangalia nakusikliza maezo ya hao wataalam , un
utagundua kua hawana utashi wa kupunguza gharama.

Kulikua na sababu gani ya kulaza tofari wakati juu amepiga bati?

Mwalim wa Veta na ma engeneer wanaambiwa 1500×160 bila aibu wanasema iwe 1500×200 , Ili iwe lahisi.

Ulahisi wa kukokotoa hesabu za × ni kuongeza 25%? Kweli huu ndio usomi?
Wasomi wa sample hii watazidi kutuongezea Tozo hadi kwenye pumzi.
 
Bwana tusijifanye wataalamu sana.hapo hela imeliwa .hakuna quality ya milion 11 hapo.
Full stop.
Tumia akili yako ya ziada, fuatilia hayo mahesabu na tupe mrejesho.
Tatizo watanzania hamupendi kutumia akili, utafikiri hiyo akili inakwisha kama unga wa dona mnalokula.
 
Back
Top Bottom