Waziri Mkuu Majaliwa, pokea makadirio yangu kibanda cha VETA Tabora

Waziri Mkuu Majaliwa, pokea makadirio yangu kibanda cha VETA Tabora

Ukiskia wale mafundi au injinia akikujengea nyumba yako ikiisha na yake inaisha huko kwa gharama ileile ya nyumba 1 aliyokutoza ndio hawa sasa
 
Lakini hadi Mradi ukabidhiwe kwa serikali unakuwa ushakaguliwa na Mkaguzi aliyetuliwa na serikali na wa kutoka Serikalini. Hao ndiyo waulizwe walikubalije hizo gharama? Maana wao ni wataalam wa kukagua hiyo miradi, mkandarasi hausiki hapo.[/QUOTE]

Jamani!!! kwani hamko Tanzania? Hili "dude force account" Haliitaji wakandarasi
Hawa tulio wazoweya ,walio sajiliwa na CRB.
Hata yule fundi wako
anae kujengea mabanda ya sungura, anaweza kupewa hiyo kazi.
 
Kwenye huu mjadala angekua magu ndio kamaindi hicho kibanda ungekuta ni post za kusifia na kumwabudu tu, wanasahau tulipigiwa mikwara na kelele za hakuna kusafirisha makinikia nje lkn ilikua kiini macho bado ulienda na unaenda ulaya
 
Ingekua hela yako mkonon ungejenga yote hio kibanda? Maana ya kutumia force account ni nni? Lengo ni kubana matumiz.mbona katika hela hio umesahau kuweka supervision cost? Contingency cost nayo bei gan? Majenz ya hela za uviko zimetolewa na mh mama ziende zikaguse maisha ya watanzania
 
Ingekua hela yako mkonon ungejenga yote hio kibanda? Maana ya kutumia force account ni nni? Lengo ni kubana matumiz.mbona katika hela hio umesahau kuweka supervision cost? Contingency cost nayo bei gan? Majenz ya hela za uviko zimetolewa na mh mama ziende zikaguse maisha ya watanzania
Miradi ya serikali si ya kwako binafsi.
Miradi ya serikali ina specifications za kuzifuata na ni kwa Tender-yaani kumkopa mzabuni na kulipa naadaye.
Kwa mtindi kama huo ndio maana kina Mwigulu wananunua V8 kwa Shs 500 milioni wakati yeye mwenyewe hawezi kunua kwa hela hiyo.
 
Tutoeni namba tena siyo porojo jamani, tunahitaji namba nyingi zaidi ilk tufanye comparison.
 
Ni kweli unaweza kujenga kibanda kama hicho hata kwa milion 100, ila kwanini ujenge kwa gharama kubwa wakati inawezekana kujenga kwa gharama ndogo na kwa ubora mzuri tu
Ubora unakuwa determined na specifications mlizojiwekea. BBQ inasemaje? Kama ilifuatwa na gharama ikawa 11m, then it is OK
 
Armoured cable kwenye kibanda cha mlinzi kuna item gani za maana zitatumika huko?
Mita 100 ni uwanja wa mpira , kwa nini ujenge kibanda umbali wote huo kutoka main panel?
Mkuu mbona vitu rahisi tunacgukulia kana kwamba hatujui maana ya kuandaa site plan kwa ujenzi wa taasisi Kama Chuo? Yaani unataka kibanda Cha mlinzi kijengwe katikati ya majengo kisa unapunguza gharama?

Lingine unatakiwa kuelewa ni kuwa, ujenzi wa Chuo Kama VETA hakijegwi kwa phase I na kumaliza majengo yote...Kuna sehemu lazima iachwe wazi kwa ajili ya future plan, hivyo Kuna sehemu zinabaki bila machengo kwa ajili majengo ya madarasa pamoja na workshops zingine kadri Chuo inavyozidi kukua.

Hizo sehemu zinazobaki wazi uwezi kupitisha miundombinu kama ya umeme au maji Safi au taka ni lazima ufuate site plan inavyoelekeza, hapo ndo utanikuta unatumia 10milioni kupeleka majisafi na maji taka kwenye kibanda kidogo sana Cha kukaa mlinzi.

Chukulia hicho kibanda kinatakiwa kiwepo simu ya mezani kwa ajili taarifa na Administration ambayo ipo umbali mrefu.

Pia chukulia kuwa Kuna plan ya kuweka umeme kwenye fence kupitia kwenye kibanda Cha mlinzi. Tukubali tu tunapenda sana kusema gharama kubwa kwa kuangalia kilichosimama Kama jengo bila kuangalia sababu ya gharama kuwa kubwa au ndogo.
 
View attachment 2352668
Kwa kawaida nakerwa sana viongzi kuongelea mambo ya kitaalam bila kutafuta ushauri.

Hivi karibuni Mh. Waziri Mkuu alishangazwa kibanda cha Mlinzi katika mradi wa VETA huko Tabora kugharimu Ths 11 million.

Mimi sikushangzwa na gharama lakini nilishangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Majaliwa kusema hadharani kuwa pale kuna upigaji!

Nikiwa mhandisi, niliamua kutafuta picha za kazi hiyo na kutenngeneza Rough Estimates za mradi huo kama ungekuwa Dar es Salaam kwa sasa hivi.

Gharama nilizo pata Kwa MKOANI DAER ES SALAAM ni Tsha 11,371,650.0

Kwa vile tabora ni mbali na supplier vifaa vingi , niliamua kuweka factor ya 1.2, hivyo GHARAMA ZA JENGO TABORA KUWA 13,645,980.

Naomba washauri wa Mh Waziri Mkuu wawe wanamtonya kama anakosea.
Gharama za kibanda ni sawa, tena ni pungufu kidogo.

KIBANDA CHA MLINZI VETA , TABORA
S.NoITEMUNITSQUANTITYUNIT COSTCOSTREMARKS
1​
Kuset kibanda na ngazi zotesum20,000
2​
Kuchimba misingim3
3.8​
12,00045,600
3​
Kuweka zege la msingi, nyumba na ngazi
0.2m thickm3
0.45​
180,00081,000
4​
Tofali za kulaza misingim2
21​
37,000777,000
5​
Tofali ngazi za kupandia kibandam2
3.6​
37,000133,200
6​
kuujaza udongo wa murramm3
27.5​
15,000412,500
na kushindilia
7​
kuweka mawe ndani ya msingi na ngazim3
4.5​
35,000157,500
8​
Kumwaga zege la jamvi 150mmm3
4.5​
180,000810,000
9​
Kuset kuta za nyumba, tofali zam2
13.5​
25,000337,500
kusimama 150mm mpaka
beam soffit
10​
Shuttering ya ring beamm2
4.6​
26,000119,600
11​
Kukunja na kuweka nondokg
98​
4,000392,000
12​
Kumwaga zege la beamm3
1.25​
180,000225,000
13​
Tofali za level mtambaa panyam2
13.45​
25,000336,250
na gable
14​
Kufunga wall plate na truss, nanos
5​
1,5007,500
15​
Kufunga fascia board nyumba nzimam
15​
1,50022,500
16​
Kufunga purlins 50x50mmm
120​
8,000960,000
17​
Kupiga bati za IT4 na kofia, kila bati 3.4mnos
38​
65,0002,470,000
18​
Kupiga brandering ya ceilingm2
25​
4,000100,000
19​
Kufix gypsum board ya ceilingm2
25​
6,800170,000
20​
Kujaza uwazi kati ya bati na ukutasum45,000
21​
Fufunga bomba za kupitishasum50,000
Umeme na box za switches
22​
Kufunga frame za madirishanos
2​
150,000300,000
23​
Kufunga frame za milangonos
3​
150,000450,000
24​
Kupiga render za kuta nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
25​
Kupiga plaster nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
26​
Kufunga madirisha ya aluminiumnos
2​
240,000480,000
27​
Kufunga milango mbao ya mkongonos
3​
260,000780,000
28​
Electrical wiring na kufunga switchsum650,000
29​
Kupiga rangi nje na ndanim2
148.5​
3,000445,500
TOTAL11,371,650
NB
1​
Gharama hizi ni za DAR ES SALAAM
2​
Kibanda hiki kiko TABORA, hivyo kwa kusafirisha vifa hivyo kwend TABORA, factor gharama kwa 1.2 ,
3​
Hivyo Gharama ya jengo la VETA , TABORA =13,645,980.00
Waziri mkuu kasahau kuwa gharama za ujenzi na vifaa vya ujenzi zimepanda juu, pia ni kama mheshimiwa hajawahi jenga nyumba au kibanda chochote kwa fedha zake labda anajengewa bure na Magereza au JKT Suma
 
Wengi hamjui namna gharama za ujenzi unavyojengwa ili kupata gharama halisi, yeye ameweka data mezani wengine wanaleta porojo.

Mtoa mada bado hujaweka system ya maji taka. Iwapo majitaka ya kutoka kwenye kibanda hadi eneo ambalo ni centralized wa ajili ya majengo yote, hivyo kibanda kinaweza kufikia gharama ya TZS 16,000,000.

Wengi mnapenda kuweka vitu kienyeji bila kufuata plan halafu baadae mnawalaumu tena wataalam. Waulize timu ya wanasema gharama ni juu Kama wanajua Bei ya PVC Pipe class C ya plasco ya nchi 4 ni kiasi gani.
Mkuu nadhani wengi hapa wanapanga vyumba au nyumba, gharama za ujenzi zipo juu sana, kuna mambo mengi na gharama zingine ambazo hata upange na kukadiria vipi zinajitokeza na ingekuwa choo cha shimo sijui wangesemaje, hawa watu wasitoe sana mapovu mbona sisi hatulalamiki hayo mashangingi wanayonunua kwa bei za ajabu kutokana na TOZO zetu.
 
Watu
Mkuu nadhani wengi hapa wanapanga vyumba au nyumba, gharama za ujenzi zipo juu sana, kuna mambo mengi na gharama zingine ambazo hata upange na kukadiria vipi zinajitokeza, hawa watu wasitoe sana mapovu mbona sisi hatulalamiki hayo mashangingi wanayonunua kwa bei za ajabu kutokana na TOZO zetu.
Watu wanataka wajenge Chuo Cha VETA na kuweka mabomba ya class A yaje yapasuke ndani ya wiki mbili then waanze lawama...taasisi zetu hawafanyi ukarabati kwa muda hivyo lazima vitu vile genuine kwelikweli lakini pia plan ya eneo la ujenzi lazima ifuatwe ata kwa gharama ipi. Tuache lawama kwenye vitu vinavyohitaji utaalam.

Mwingine analaumu kisa nyumbani kwake sehemu ya kuweka nondo ya Y20 yeye anaweka Y10 then anadhani kuwa anaokoa gharama.
 
View attachment 2352668
Kwa kawaida nakerwa sana viongzi kuongelea mambo ya kitaalam bila kutafuta ushauri.

Hivi karibuni Mh. Waziri Mkuu alishangazwa kibanda cha Mlinzi katika mradi wa VETA huko Tabora kugharimu Ths 11 million.

Mimi sikushangzwa na gharama lakini nilishangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Majaliwa kusema hadharani kuwa pale kuna upigaji!

Nikiwa mhandisi, niliamua kutafuta picha za kazi hiyo na kutenngeneza Rough Estimates za mradi huo kama ungekuwa Dar es Salaam kwa sasa hivi.

Gharama nilizo pata Kwa MKOANI DAER ES SALAAM ni Tsha 11,371,650.0

Kwa vile tabora ni mbali na supplier vifaa vingi , niliamua kuweka factor ya 1.2, hivyo GHARAMA ZA JENGO TABORA KUWA 13,645,980.

Naomba washauri wa Mh Waziri Mkuu wawe wanamtonya kama anakosea.
Gharama za kibanda ni sawa, tena ni pungufu kidogo.

KIBANDA CHA MLINZI VETA , TABORA
S.NoITEMUNITSQUANTITYUNIT COSTCOSTREMARKS
1​
Kuset kibanda na ngazi zotesum20,000
2​
Kuchimba misingim3
3.8​
12,00045,600
3​
Kuweka zege la msingi, nyumba na ngazi
0.2m thickm3
0.45​
180,00081,000
4​
Tofali za kulaza misingim2
21​
37,000777,000
5​
Tofali ngazi za kupandia kibandam2
3.6​
37,000133,200
6​
kuujaza udongo wa murramm3
27.5​
15,000412,500
na kushindilia
7​
kuweka mawe ndani ya msingi na ngazim3
4.5​
35,000157,500
8​
Kumwaga zege la jamvi 150mmm3
4.5​
180,000810,000
9​
Kuset kuta za nyumba, tofali zam2
13.5​
25,000337,500
kusimama 150mm mpaka
beam soffit
10​
Shuttering ya ring beamm2
4.6​
26,000119,600
11​
Kukunja na kuweka nondokg
98​
4,000392,000
12​
Kumwaga zege la beamm3
1.25​
180,000225,000
13​
Tofali za level mtambaa panyam2
13.45​
25,000336,250
na gable
14​
Kufunga wall plate na truss, nanos
5​
1,5007,500
15​
Kufunga fascia board nyumba nzimam
15​
1,50022,500
16​
Kufunga purlins 50x50mmm
120​
8,000960,000
17​
Kupiga bati za IT4 na kofia, kila bati 3.4mnos
38​
65,0002,470,000
18​
Kupiga brandering ya ceilingm2
25​
4,000100,000
19​
Kufix gypsum board ya ceilingm2
25​
6,800170,000
20​
Kujaza uwazi kati ya bati na ukutasum45,000
21​
Fufunga bomba za kupitishasum50,000
Umeme na box za switches
22​
Kufunga frame za madirishanos
2​
150,000300,000
23​
Kufunga frame za milangonos
3​
150,000450,000
24​
Kupiga render za kuta nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
25​
Kupiga plaster nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
26​
Kufunga madirisha ya aluminiumnos
2​
240,000480,000
27​
Kufunga milango mbao ya mkongonos
3​
260,000780,000
28​
Electrical wiring na kufunga switchsum650,000
29​
Kupiga rangi nje na ndanim2
148.5​
3,000445,500
TOTAL11,371,650
NB
1​
Gharama hizi ni za DAR ES SALAAM
2​
Kibanda hiki kiko TABORA, hivyo kwa kusafirisha vifa hivyo kwend TABORA, factor gharama kwa 1.2 ,
3​
Hivyo Gharama ya jengo la VETA , TABORA =13,645,980.00
labda kwa Dsm lakini kwa Tabora gharama zako za kuchimba msingi, mawe, udongo moram, mbao ziko chini mno ukilinganisha na DSM. matofali mangapi??? manake kwa Tabora msingi wote jiwe linamaliza kazi mpka ngazi, flemu ya dirisha Tbr haifiki hata nusu ya 150,000 tena mninga karanga tupu, Bati na kofia 2.47 M kweli ndio mana nchi hii haiendelelei.

Ebu tupatie na hesabu kama kiband ahiki ni chako unamjengea baba mkwe wako wa Izimbili.
 
Mjenzi amekili kuweka hicho Cha 40,000.

Cha 300,000 umekiweka wapi?
Amekiri wapi? Liliulizwa swali katika kadamnasi kuhusu bei ya hicho choo na mtu akasema 40000. Hamna mahali ambapo huyo unayemuita mjenzi amekiri chochote.

Amandla...
 
labda kwa Dsm lakini kwa Tabora gharama zako za kuchimba msingi, mawe, udongo moram, mbao ziko chini mno ukilinganisha na DSM. matofali mangapi??? manake kwa Tabora msingi wote jiwe linamaliza kazi mpka ngazi, flemu ya dirisha Tbr haifiki hata nusu ya 150,000 tena mninga karanga tupu, Bati na kofia 2.47 M kweli ndio mana nchi hii haiendelelei.

Ebu tupatie na hesabu kama kiband ahiki ni chako unamjengea baba mkwe wako wa Izimbili.
Kuijengea serikali siyo sawa na kumjengea baba mkwe.
Serikali ina viwango vake.
 
Wengi hamjui namna gharama za ujenzi unavyojengwa ili kupata gharama halisi, yeye ameweka data mezani wengine wanaleta porojo.

Mtoa mada bado hujaweka system ya maji taka. Iwapo majitaka ya kutoka kwenye kibanda hadi eneo ambalo ni centralized wa ajili ya majengo yote, hivyo kibanda kinaweza kufikia gharama ya TZS 16,000,000.

Wengi mnapenda kuweka vitu kienyeji bila kufuata plan halafu baadae mnawalaumu tena wataalam. Waulize timu ya wanasema gharama ni juu Kama wanajua Bei ya PVC Pipe class C ya plasco ya nchi 4 ni kiasi gani.
Hili ni la msingi sana.
Hata estimates zangu nimereebisha kidgo kulingana na uhalisia.
Kibanda hich kweli chweza fika 16million.
Nawashukuru wana JF mnaoweza kuchambua mada kitaalam.
 
Kuijengea serikali siyo sawa na kumjengea baba mkwe.
Serikali ina viwango vake.
ndio tulinganishe sasa! wengi wetu tukisikia hizi namba tunalinganisha na hizi tunazojenga. Ila mbona kama ubora wa ujenzi binafsi kwa miaka hii 20 tuko juu kuliko huo mnaoongeza 0?!!
 
ndio tulinganishe sasa! wengi wetu tukisikia hizi namba tunalinganisha na hizi tunazojenga. Ila mbona kama ubora wa ujenzi binafsi kwa miaka hii 20 tuko juu kuliko huo mnaoongeza 0?!!
Kwa vile unajuakujenga, tafuta tender , kakope benki ili uianze kazi, ajiri hao mafundi wako na uwapeleke Tabora.
Ulete na vipimo vya viwango vilivyowekwa kwenye Tender.
Ulete na Tender Bonds za kazi.
Serikali itakushukuru sana kukukopa na ikulipe baada ya miezi 6.
Hii ni biashara huria karibu.
 
Kwa vile unajuakujenga, tafuta tender , kakope benki ili uianze kazi, ajiri hao mafundi wako na uwapeleke Tabora.
Ulete na vipimo vya viwango vilivyowekwa kwenye Tender.
Ulete na Tender Bonds za kazi.
Serikali itakushukuru sana kukukopa na ikulipe baada ya miezi 6.
Hii ni biashara huria karibu.
Wanajenga veta bwana mdogo, yaani mafundi na vibarua wanatoka ndaaani mbona hutaki kuacha kukalili uliyosoma shuleni??? Uyui hapa mawe ununui ni vpande vya kuni na kiberiti yanapasuka, mchanga uhitaji tipa. sie cement tu ndio inatupa shida. Acha kukalili kama wale wenzio waliofundishwa kulima tikiti
 
Back
Top Bottom