Waziri Mkuu Majaliwa, pokea makadirio yangu kibanda cha VETA Tabora

Waziri Mkuu Majaliwa, pokea makadirio yangu kibanda cha VETA Tabora

Installation ya umeme imegahrimu 650000,??? Hapo ni main switch moja, socket moja , taa mbili at most na switch 1 ya two gang,
Kwa kweli hiyo hela iliyowekw kwa ajili ya umeme ni ndogo sana.
Halafu watu wanasema hela imepigwa!!
Sijui wanafikiria hela ya vibatari wanavyotumia makwao au?
 
Ndugu muhandisi, usifanye watu wajinga,hizo bei za labour charge, unawalipa wachina au Hawa Hawa vijana wa mtaani? Maana huku kwetu hiyo pesa inamaliza kabisa nyumba,sasa hicho ni kinanda,mi naona unaleta story za serikali za kununua V8 kwa milioni 400+

Ukihoji wanasema ndio bei!hawajuhi huku kitaa hizo ndinga tunanunua kwa 200M tu,wao wanaweka dalali,usilete mambo ya kununua peni kwa shilingi elfu kumi!wakati kitaa inauzwa 200.
fisadi huyo.

banda lenyewe likizidi sana ni milioni Tano tu



Hawa ndo wale misumali ya elf tatu wanaisafirisha Kwa elfu kumi.

wezi tuna wasiojali
 
Mnaompinga toeni mchanganuo na nyie,hoja hujibiwa na hoja,mlango wa mninga sio wa mpapai
Wengi wanapenda vya bure na chee.
Halafu wiki moja tu shule iliyojengwa kwa Fosi Akaunti ina matobo sakafuni kama imeliwa na mchwa.
Viwango hakuna.
 
Wakuu

Waziri mkuu alikuwa anaangalia value for money!
Hata mpige hesabu kiasi gani kile kibanda hakiendani na thamani ya milion 11!

Sio kwamba aina ya kibanda kilichotakiwa kujengwa ndio kinaendana na kiwango cha Fedha hiyo bali kibanda kilichojengwa hakiendani na milion 11.

Hilo lipo wazi KWA mwenye akili timamu!
VALUE FOR MONEY ni msemo wa wanasiasa wasiojua wanataka nini.
Mara nyingi wanamshambulia mkandarasi huku hawajui kuwa bei zilisha kuwa set kwenye Tender tayari.
Ofisi ya waziri mkuu iwe inapitia Tender zote kuiona hiyo value for money, na si kwenda kufanya siasa wakati mradi tayari umetake off, wasimaizi wapo(consultants) na Idara ya serikali inayohusika nayo ipo.
Hao wasimamizi kazi yao nini?
 
Ndugu muhandisi, usifanye watu wajinga,hizo bei za labour charge, unawalipa wachina au Hawa Hawa vijana wa mtaani? Maana huku kwetu hiyo pesa inamaliza kabisa nyumba,sasa hicho ni kinanda,mi naona unaleta story za serikali za kununua V8 kwa milioni 400+

Ukihoji wanasema ndio bei!hawajuhi huku kitaa hizo ndinga tunanunua kwa 200M tu,wao wanaweka dalali,usilete mambo ya kununua peni kwa shilingi elfu kumi!wakati kitaa inauzwa 200.
Nyie kizazi cha nyoka.
Hivi ulishamwona mkandarasi anavunja benki ya Idara inayo jengwa.
Na huyo mjenzi sili alipewa Tender na kushinda?
Na serikali ilikuwa wapi wakati tenda zina tolewa.
Tunashituka wakati ujenzi umekamilika, badala ya kuweka systems za kudhibiti gharama tunazoziona!
Ndiyo maana wazungu wanasema ukimuwekea mwafrika kitu kwenye daftari, yeye hana uwezo wa ****, maneno tu ya mdomoni ndo anaysikia.

Utaratibu ni kwamaba hizo estimates nimekuwekea ni kwa ajili ya wewe kuzisoma na kuzirekebisha kwa viwango vyako.
Ukibadili mabati na ukaweka nyasi za kuezeka kwa ajili ya mlinzi wa eneo la serikali usubiri kujibu viwango hivyo bungeni, lakini ni nafuu sana.
 
View attachment 2352668
Kwa kawaida nakerwa sana viongzi kuongelea mambo ya kitaalam bila kutafuta ushauri.

Hivi karibuni Mh. Waziri Mkuu alishangazwa kibanda cha Mlinzi katika mradi wa VETA huko Tabora kugharimu Ths 11 million.

Mimi sikushangzwa na gharama lakini nilishangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Majaliwa kusema hadharani kuwa pale kuna upigaji!

Nikiwa mhandisi, niliamua kutafuta picha za kazi hiyo na kutenngeneza Rough Estimates za mradi huo kama ungekuwa Dar es Salaam kwa sasa hivi.

Gharama nilizo pata Kwa MKOANI DAER ES SALAAM ni Tsha 11,371,650.0

Kwa vile tabora ni mbali na supplier vifaa vingi , niliamua kuweka factor ya 1.2, hivyo GHARAMA ZA JENGO TABORA KUWA 13,645,980.

Naomba washauri wa Mh Waziri Mkuu wawe wanamtonya kama anakosea.
Gharama za kibanda ni sawa, tena ni pungufu kidogo.

KIBANDA CHA MLINZI VETA , TABORA
S.NoITEMUNITSQUANTITYUNIT COSTCOSTREMARKS
1​
Kuset kibanda na ngazi zotesum20,000
2​
Kuchimba misingim3
3.8​
12,00045,600
3​
Kuweka zege la msingi, nyumba na ngazi
0.2m thickm3
0.45​
180,00081,000
4​
Tofali za kulaza misingim2
21​
37,000777,000
5​
Tofali ngazi za kupandia kibandam2
3.6​
37,000133,200
6​
kuujaza udongo wa murramm3
27.5​
15,000412,500
na kushindilia
7​
kuweka mawe ndani ya msingi na ngazim3
4.5​
35,000157,500
8​
Kumwaga zege la jamvi 150mmm3
4.5​
180,000810,000
9​
Kuset kuta za nyumba, tofali zam2
13.5​
25,000337,500
kusimama 150mm mpaka
beam soffit
10​
Shuttering ya ring beamm2
4.6​
26,000119,600
11​
Kukunja na kuweka nondokg
98​
4,000392,000
12​
Kumwaga zege la beamm3
1.25​
180,000225,000
13​
Tofali za level mtambaa panyam2
13.45​
25,000336,250
na gable
14​
Kufunga wall plate na truss, nanos
5​
1,5007,500
15​
Kufunga fascia board nyumba nzimam
15​
1,50022,500
16​
Kufunga purlins 50x50mmm
120​
8,000960,000
17​
Kupiga bati za IT4 na kofia, kila bati 3.4mnos
38​
65,0002,470,000
18​
Kupiga brandering ya ceilingm2
25​
4,000100,000
19​
Kufix gypsum board ya ceilingm2
25​
6,800170,000
20​
Kujaza uwazi kati ya bati na ukutasum45,000
21​
Fufunga bomba za kupitishasum50,000
Umeme na box za switches
22​
Kufunga frame za madirishanos
2​
150,000300,000
23​
Kufunga frame za milangonos
3​
150,000450,000
24​
Kupiga render za kuta nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
25​
Kupiga plaster nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
26​
Kufunga madirisha ya aluminiumnos
2​
240,000480,000
27​
Kufunga milango mbao ya mkongonos
3​
260,000780,000
28​
Electrical wiring na kufunga switchsum650,000
29​
Kupiga rangi nje na ndanim2
148.5​
3,000445,500
TOTAL11,371,650
NB
1​
Gharama hizi ni za DAR ES SALAAM
2​
Kibanda hiki kiko TABORA, hivyo kwa kusafirisha vifa hivyo kwend TABORA, factor gharama kwa 1.2 ,
3​
Hivyo Gharama ya jengo la VETA , TABORA =13,645,980.00

UPDATE:
Katika makadirio wadau wamenitonya yafautayo
1. Hapo pembeni kuna kichumba ambacho waafikiri ni choo, gharama za kuvuta maji, choo chenyewe na wall tiles inaweza kuongeza gharama kwa arond 1.0 million

2.Kuna floor tiles amnazo sijazigsa kabisa, gharama ambayo tiles kwa nyuma nzima na ngazi inaweza kufikia 1.2million

Hivyo kazi hii ya nyongeza ni Tshs 2,2 million n jumla kuu kwa kazi ya kibanda=Tshs 15,845,980.00

OMBI
Ofisi ya Waziri Mkuu wakimaliza uchunguzi wao wa kitaalam , watuwekee hadharani makadirio yao kwa viwango vya kazi husika ya kibanda cha VETA Tabora(kwa kulinganisha tu)
Fisadi mkubwa wee! Kumbuka wanajenga kwa force account!
 
View attachment 2352668
Kwa kawaida nakerwa sana viongzi kuongelea mambo ya kitaalam bila kutafuta ushauri.

Hivi karibuni Mh. Waziri Mkuu alishangazwa kibanda cha Mlinzi katika mradi wa VETA huko Tabora kugharimu Ths 11 million.

Mimi sikushangzwa na gharama lakini nilishangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Majaliwa kusema hadharani kuwa pale kuna upigaji!

Nikiwa mhandisi, niliamua kutafuta picha za kazi hiyo na kutenngeneza Rough Estimates za mradi huo kama ungekuwa Dar es Salaam kwa sasa hivi.

Gharama nilizo pata Kwa MKOANI DAER ES SALAAM ni Tsha 11,371,650.0

Kwa vile tabora ni mbali na supplier vifaa vingi , niliamua kuweka factor ya 1.2, hivyo GHARAMA ZA JENGO TABORA KUWA 13,645,980.

Naomba washauri wa Mh Waziri Mkuu wawe wanamtonya kama anakosea.
Gharama za kibanda ni sawa, tena ni pungufu kidogo.

KIBANDA CHA MLINZI VETA , TABORA
S.NoITEMUNITSQUANTITYUNIT COSTCOSTREMARKS
1​
Kuset kibanda na ngazi zotesum20,000
2​
Kuchimba misingim3
3.8​
12,00045,600
3​
Kuweka zege la msingi, nyumba na ngazi
0.2m thickm3
0.45​
180,00081,000
4​
Tofali za kulaza misingim2
21​
37,000777,000
5​
Tofali ngazi za kupandia kibandam2
3.6​
37,000133,200
6​
kuujaza udongo wa murramm3
27.5​
15,000412,500
na kushindilia
7​
kuweka mawe ndani ya msingi na ngazim3
4.5​
35,000157,500
8​
Kumwaga zege la jamvi 150mmm3
4.5​
180,000810,000
9​
Kuset kuta za nyumba, tofali zam2
13.5​
25,000337,500
kusimama 150mm mpaka
beam soffit
10​
Shuttering ya ring beamm2
4.6​
26,000119,600
11​
Kukunja na kuweka nondokg
98​
4,000392,000
12​
Kumwaga zege la beamm3
1.25​
180,000225,000
13​
Tofali za level mtambaa panyam2
13.45​
25,000336,250
na gable
14​
Kufunga wall plate na truss, nanos
5​
1,5007,500
15​
Kufunga fascia board nyumba nzimam
15​
1,50022,500
16​
Kufunga purlins 50x50mmm
120​
8,000960,000
17​
Kupiga bati za IT4 na kofia, kila bati 3.4mnos
38​
65,0002,470,000
18​
Kupiga brandering ya ceilingm2
25​
4,000100,000
19​
Kufix gypsum board ya ceilingm2
25​
6,800170,000
20​
Kujaza uwazi kati ya bati na ukutasum45,000
21​
Fufunga bomba za kupitishasum50,000
Umeme na box za switches
22​
Kufunga frame za madirishanos
2​
150,000300,000
23​
Kufunga frame za milangonos
3​
150,000450,000
24​
Kupiga render za kuta nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
25​
Kupiga plaster nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
26​
Kufunga madirisha ya aluminiumnos
2​
240,000480,000
27​
Kufunga milango mbao ya mkongonos
3​
260,000780,000
28​
Electrical wiring na kufunga switchsum650,000
29​
Kupiga rangi nje na ndanim2
148.5​
3,000445,500
TOTAL11,371,650
NB
1​
Gharama hizi ni za DAR ES SALAAM
2​
Kibanda hiki kiko TABORA, hivyo kwa kusafirisha vifa hivyo kwend TABORA, factor gharama kwa 1.2 ,
3​
Hivyo Gharama ya jengo la VETA , TABORA =13,645,980.00

UPDATE:
Katika makadirio wadau wamenitonya yafautayo
1. Hapo pembeni kuna kichumba ambacho waafikiri ni choo, gharama za kuvuta maji, choo chenyewe na wall tiles inaweza kuongeza gharama kwa arond 1.0 million

2.Kuna floor tiles amnazo sijazigsa kabisa, gharama ambayo tiles kwa nyuma nzima na ngazi inaweza kufikia 1.2million

Hivyo kazi hii ya nyongeza ni Tshs 2,2 million n jumla kuu kwa kazi ya kibanda=Tshs 15,845,980.00

OMBI
Ofisi ya Waziri Mkuu wakimaliza uchunguzi wao wa kitaalam , watuwekee hadharani makadirio yao kwa viwango vya kazi husika ya kibanda cha VETA Tabora(kwa kulinganisha tu)
Hela umehonga malaya wa oxygen pub
 
Fisadi mkubwa wee! Kumbuka wanajenga kwa force account!
Makndarasi waliosajiliwa na serikali kwa hiyo ni mafisadi.
Kwa ujinga wenu hamuwaoni mafisadi wanaonunua ndege kwa pesa taslimu na wanaojenga SGR , wala wanaojenga JNHHP Stiglaz.
Pambaf enu.
 
Nyumba yako chumba kimoja cha jiko utatumia mil.13?

Au unafunika kombe mwanaharamu apite
 
Ndio maana tunasema watu wenye vichwa vya panzi mna comment vitu ambavyi hamjui.
Mbaya zaidi Waziri Mkuu ambaye hajui uwa kuna ma Cinsultant na ma QS wengi tu wa kumpigia mahesabu.
Yeye anaijua takukuru tu!
Muwage na akili basi kwa vitu msivyovijua, intellectual caoacity sifuri kabisa.

Hayati Mwalimu Nyerere alisema watanzania tuna kaujinga fulani ka neno la kiswahili likitamkwa kwa kingeleza linaonekana lina maana sana na ndo nachokiona kwako unataka kuleta UENGLISHINISM ili watu waone umesema vitu vya maana sana na hauna msomi wa ivo wengi hua ndo vichwa panzi(Prof:Lumumba alishawahi kuongelea watu kama nyinyi)

Ivi alivowaachia hao TAKUKURU ni uchunguzi gani utafanyika bila hao washauri na makadirio unaowaita (CINSULTANT) ili kuatoa hukumu na haki kwa kamati au mkandarasi husika!!

Waziri anayo anayokazi kukagua na yakufungua miradi ya kiserikali na hawezi kufungua iyo miladi bila kukagua kama ghalama na kitu husika vinaendana ndo maana nikauliza ni sehemu zote anapoenda anaponda na kuwambia TAKUKURU wakamate watu? mbona sekta zingine amesifia miradi yao palepale!!!

Ujue icho kibanda hata ukitaka kijengwe kwa bilioni moja inawezekana kabisa na hoja zitakuwepo ila ni kwanini banda la mlizi lighalamikiwe kiasi icho iyo ndo hoja ya msingi nafikiri waziri angetakiwa kuhoji na sio unatetea tuu kisa vimaneno vyako vya kiingereza usizani unakijua pekeako chamsingi jibu kwa hoja na ufafanue utaeleweka tu vizuri.
 
Hayati Mwalimu Nyerere alisema watanzania tuna kaujinga fulani ka neno la kiswahili likitamkwa kwa kingeleza linaonekana lina maana sana na ndo nachokiona kwako unataka kuleta UENGLISHINISM ili watu waone umesema vitu vya maana sana na hauna msomi wa ivo wengi hua ndo vichwa panzi(Prof:Lumumba alishawahi kuongelea watu kama nyinyi)

Ivi alivowaachia hao TAKUKURU ni uchunguzi gani utafanyika bila hao washauri na makadirio unaowaita (CINSULTANT) ili kuatoa hukumu na haki kwa kamati au mkandarasi husika!!

Waziri anayo anayokazi kukagua na yakufungua miradi ya kiserikali na hawezi kufungua iyo miladi bila kukagua kama ghalama na kitu husika vinaendana ndo maana nikauliza ni sehemu zote anapoenda anaponda na kuwambia TAKUKURU wakamate watu? mbona sekta zingine amesifia miradi yao palepale!!!

Ujue icho kibanda hata ukitaka kijengwe kwa bilioni moja inawezekana kabisa na hoja zitakuwepo ila ni kwanini banda la mlizi lighalamikiwe kiasi icho iyo ndo hoja ya msingi nafikiri waziri angetakiwa kuhoji na sio unatetea tuu kisa vimaneno vyako vya kiingereza usizani unakijua pekeako chamsingi jibu kwa hoja na ufafanue utaeleweka tu vizuri.
Kwa kukosa akili watanzania hamjambo.
Umewekewa excel hapo ili uichambue na uweke gharama na viwango unavyovujua wewe.
Bado huelewi, si rahisi kukusaidi mtu uliyezoea kujenga kwa matifali 35 kwa mfuko mmoja wa cementi.
 
Makndarasi waliosajiliwa na serikali kwa hiyo ni mafisadi.
Kwa ujinga wenu hamuwaoni mafisadi wanaonunua ndege kwa pesa taslimu na wanaojenga SGR , wala wanaojenga JNHHP Stiglaz.
Pambaf enu.
Pumbavu kuwa mkandarasi aliyesajiliwa na serikali hakukuondolei wizi na ufisadi ulionao!
 
Nyie kizazi cha nyoka.
Hivi ulishamwona mkandarasi anavunja benki ya Idara inayo jengwa.
Na huyo mjenzi sili alipewa Tender na kushinda?
Na serikali ilikuwa wapi wakati tenda zina tolewa.
Tunashituka wakati ujenzi umekamilika, badala ya kuweka systems za kudhibiti gharama tunazoziona!
Ndiyo maana wazungu wanasema ukimuwekea mwafrika kitu kwenye daftari, yeye hana uwezo wa ****, maneno tu ya mdomoni ndo anaysikia.

Utaratibu ni kwamaba hizo estimates nimekuwekea ni kwa ajili ya wewe kuzisoma na kuzirekebisha kwa viwango vyako.
Ukibadili mabati na ukaweka nyasi za kuezeka kwa ajili ya mlinzi wa eneo la serikali usubiri kujibu viwango hivyo bungeni, lakini ni nafuu sana.
Kwenye hili nakuunga mkono. Gharama za ujenzi zinahojiwa wakati wa ku-plan na siyo baada ta ujenzi. BTW haya mambo ya kuhoji gharama mbele ya kamera wakati wa ziara ni ujinga wa hali ya juu. Watawala wetu wameshajua kuwa wananchi hupenda na kusifu hizi ''rubish'' za kuleta usanii mbele ya kamera hivyo wanatumia fursa vyema kujipatia sifa za bure. Mwanzilishi wa hili jambo ni Magufuli wakati akiwa waziri wa ujenzi na baadae rais. Ni hivi: Bila mfumo mpya wa utawala ni bure. Tumewaambia na tutazidi kuwaambia japo hawasikii. Mahojiano ya kisanii ya aina hii tumeshayaona mengi na hayajaleta mabadiliko yoyote.
 
Pumbavu kuwa mkandarasi aliyesajiliwa na serikali hakukuondolei wizi na ufisadi ulionao!
Tanzania ina upigaji kila kona. Hakuna kwenye nafuu wala mwenye nafuu. Bila kubadili mfumo wetu ni kazi bure.
 
Installation ya umeme imegahrimu 650000,??? Hapo ni main switch moja, socket moja , taa mbili at most na switch 1 ya two gang,
Kibanda cha mlinzi hakiwekwi main switch!
 
Kwa hiyo wewe ni SGR au Stiglaz! Jizi usiye na haya usoni!
Msioenda shule nyie mijitu wajinga wajinga, mna shida sana.
Hiyi mmewekewa BOQ hapo mkaiweke ukutani, muisalimie kila mkiingia maofisini mwenu.
 
Back
Top Bottom