Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
- Thread starter
-
- #21
Ni kweli mkuu, hii estimate niliifanya kwa haraka haraka.Haujaweka gharama za tiles, za vitasa na bawaba, ulinzi wakati kinajengwa .
Amandla...
Ubora unaendana na mkataba sio matakwa ya mjenzi. Hapo hajaweka gharama za kupima matofali, zege na nondo. Na kila hatua ikaguliwe na kupitishwa. Ndivyo inavyotakiwa katika miradi ya serikali. Weww ulifanya lini vyote hivi kwenye kibanda ulichojenga?Ni kweli unaweza kujenga kibanda kama hicho hata kwa milion 100, ila kwanini ujenge kwa gharama kubwa wakati inawezekana kujenga kwa gharama ndogo na kwa ubora mzuri tu
Inategemea waya za aina gani, hivyo vifaa vya umeme vimetoka wapi na kama fundi aliyefunga anatambulika na mamlaka husika. Rangi vile vile.Naomba maelezo ya gharama za hapo juu, hicho kibanda ndio kinatumia 650,000 kwenye electrical wiring na kikatumia 445,000 kwenye rangi?
Mamamake, nani alikwambia hivyo vyote waliviweka? Halafu hako kakibanda kawe na mabati 38? Utakuwa pumbavu wewe!Kwa kawaida nakerwa sana viongzi kuongelea mambo ya kitaalam bila kutafuta ushauri.
Hivi karibuni Mh. Waziri Mkuu alishangazwa kibanda cha Mlinzi katika mradi wa VETA huko Tabora kugharimu Ths 11 million.
Mimi sikushangzwa na gharama lakini nilishangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Majaliwa kusema hadharani kuwa pale kuna upigaji!
Nikiwa mhandisi, niliamua kutafuta picha za kazi hiyo na kutenngeneza Rough Estimates za mradi huo kama ungekuwa Dar es salaam kwa sasa hivi.
Gharama nilizo pata Kwa MKOANI DAER ES SALAAM ni Tsha 11,371,650.0
Kwa vile tabora ni mbali na supplier vifaa vingi , niliamua kuweka factor ya 1.2, hivyo GHARAMA ZA JENGO TABORA KUWA 13,645,980.
Naomba washauri wa Mh Waziri Mkuu wawe wanamtonya kama anakosea.
Gharama za kibanda ni sawa, tena ni pungufu kidogo.
KIBANDA CHA MLINZI VETA , TABORA S.No ITEM UNITS QUANTITY UNIT COST COST REMARKS 1Kuset kibanda na ngazi zote sum 20,000 2Kuchimba misingi m3 3.812,000 45,600 3Kuweka zege la msingi, nyumba na ngazi 0.2m thick m3 0.45180,000 81,000 4Tofali za kulaza misingi m2 2137,000 777,000 5Tofali ngazi za kupandia kibanda m2 3.637,000 133,200 6kuujaza udongo wa murram m3 27.515,000 412,500 na kushindilia 7kuweka mawe ndani ya msingi na ngazi m3 4.535,000 157,500 8Kumwaga zege la jamvi 150mm m3 4.5180,000 810,000 9Kuset kuta za nyumba, tofali za m2 13.525,000 337,500 kusimama 150mm mpaka beam soffit 10Shuttering ya ring beam m2 4.626,000 119,600 11Kukunja na kuweka nondo kg 984,000 392,000 12Kumwaga zege la beam m3 1.25180,000 225,000 13Tofali za level mtambaa panya m2 13.4525,000 336,250 na gable 14Kufunga wall plate na truss, na nos 51,500 7,500 15Kufunga fascia board nyumba nzima m 151,500 22,500 16Kufunga purlins 50x50mm m 1208,000 960,000 17Kupiga bati za IT4 na kofia, kila bati 3.4m nos 3865,000 2,470,000 18Kupiga brandering ya ceiling m2 254,000 100,000 19Kufix gypsum board ya ceiling m2 256,800 170,000 20Kujaza uwazi kati ya bati na ukuta sum 45,000 21Fufunga bomba za kupitisha sum 50,000 Umeme na box za switches 22Kufunga frame za madirisha nos 2150,000 300,000 23Kufunga frame za milango nos 3150,000 450,000 24Kupiga render za kuta nje na ndani m2 148.52,000 297,000 25Kupiga plaster nje na ndani m2 148.52,000 297,000 26Kufunga madirisha ya aluminium nos 2240,000 480,000 27Kufunga milango mbao ya mkongo nos 3260,000 780,000 28Electrical wiring na kufunga switch sum 650,000 29Kupiga rangi nje na ndani m2 148.53,000 445,500 TOTAL 11,371,650 NB 1Gharama hizi ni za DAR ES SALAAM 2Kibanda hiki kiko TABORA, hivyo kwa kusafirisha vifa hivyo kwend TABORA, factor gharama kwa 1.2 , 3Hivyo Gharama ya jengo la VETA , TABORA =13,645,980.00
Jidu La Mabambasi hoja yake ni kwamba Waziri Mkuu angelalamikia ubora kwa vigezo vya kitaalam na siyo gharama. Dukani unanunua Soda shilingi 600 lakini baa inauzwa shilingi 1,000 na kwenye zile Hoteli kubwa inaweza kufika hadi shilingi 2,000.Naomba maelezo ya gharama za hapo juu, hicho kibanda ndio kinatumia 650,000 kwenye electrical wiring na kikatumia 445,000 kwenye rangi?
Kwanini uchukulie ni mita 100m wakati Kuna majengo makubwa yapo karibu na hicho kibanda.Hapo bado ujaweka Armoured cable ya kueleta umeme kwenye hicho kibanda...chukulia ni mita 100 kutoka eneo ambayo main panel hipo.
Tukiona vitu vizuri ulaya tunadhani vinajengwa bure...tuwe serious wadau.
Nimesikia choo cha Asian cha shilingi 40000. Hiyo bei ni ya choo cha kihindi. Kwenye miradi ya serikali vyoo ni Armitage Shank na hupati cha chini ya 300,000. Dar. Haujakisafirisha. Haujakifunga.Ni kweli mkuu, hii estimate niliifanya kwa haraka haraka.
Na kwa kweli nashangazwa kwa Waziri Mkuu kushangazwa na bei ya hili jengo.
Gharama ambayo kiuhalisia na kwa viwango vyake gharma iko chini.
Na hiyo armoured cable inajileta yenyewe na inajifukia yenyewe?Kwanini uchukulie ni mita 100m wakati Kuna majengo makubwa yapo karibu na hicho kibanda.
Hicho kibanda hakiwezi kuchukua Armoured cable ya size ya ya zaidi ya 2.5sqmm aidha 3C au 4C. Chukulia hiyo Armoured cable per metre ni 5000 pamoja na VAT. Sawa tuchukulie ni mita 100, ukizidisha hapo hiyo Armoured Cable ya mita 100 gharama take ni TSh 500,000/-. Au tufanye kabisa ni TSh 1,000,000/-.
Sasa ifikie hatua tuheshimiane hakuna kibanda kama hicho kina chojengwa Kwa gharama hizo.
Kwa ivo aongeze hiyo 1,000,000 ili gharama zifikie 12,371,650?Kwanini uchukulie ni mita 100m wakati Kuna majengo makubwa yapo karibu na hicho kibanda.
Sawa tuchukulie ni mita 100, ukizidisha hapo hiyo Armoured Cable ya mita 100 gharama take ni TSh 500,000/-. Au tufanye kabisa ni TSh 1,000,000/-.
Vifaa vya umeme huwa vinatoka wapi kwani hizi Tronic na wenzake si zipo maduka ya vifaa vya ujenzi. Na si zinatambulika na mamlaka za viwango. Kuna waya aina gani zinazotumika tofauti na majumbani, au serikali inanunua nyaya maalum kwa ajili yake.Inategemea waya za aina gani, hivyo vifaa vya umeme vimetoka wapi na kama fundi aliyefunga anatambulika na mamlaka husika. Rangi vile vile.
Amandla...
Kwa kawaida nakerwa sana viongzi kuongelea mambo ya kitaalam bila kutafuta ushauri.
Hivi karibuni Mh. Waziri Mkuu alishangazwa kibanda cha Mlinzi katika mradi wa VETA huko Tabora kugharimu Ths 11 million.
Mimi sikushangzwa na gharama lakini nilishangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Majaliwa kusema hadharani kuwa pale kuna upigaji!
Nikiwa mhandisi, niliamua kutafuta picha za kazi hiyo na kutenngeneza Rough Estimates za mradi huo kama ungekuwa Dar es salaam kwa sasa hivi.
Gharama nilizo pata Kwa MKOANI DAER ES SALAAM ni Tsha 11,371,650.0
Kwa vile tabora ni mbali na supplier vifaa vingi , niliamua kuweka factor ya 1.2, hivyo GHARAMA ZA JENGO TABORA KUWA 13,645,980.
Naomba washauri wa Mh Waziri Mkuu wawe wanamtonya kama anakosea.
Gharama za kibanda ni sawa, tena ni pungufu kidogo.
KIBANDA CHA MLINZI VETA , TABORA S.No ITEM UNITS QUANTITY UNIT COST COST REMARKS 1Kuset kibanda na ngazi zote sum 20,000 2Kuchimba misingi m3 3.812,000 45,600 3Kuweka zege la msingi, nyumba na ngazi 0.2m thick m3 0.45180,000 81,000 4Tofali za kulaza misingi m2 2137,000 777,000 5Tofali ngazi za kupandia kibanda m2 3.637,000 133,200 6kuujaza udongo wa murram m3 27.515,000 412,500 na kushindilia 7kuweka mawe ndani ya msingi na ngazi m3 4.535,000 157,500 8Kumwaga zege la jamvi 150mm m3 4.5180,000 810,000 9Kuset kuta za nyumba, tofali za m2 13.525,000 337,500 kusimama 150mm mpaka beam soffit 10Shuttering ya ring beam m2 4.626,000 119,600 11Kukunja na kuweka nondo kg 984,000 392,000 12Kumwaga zege la beam m3 1.25180,000 225,000 13Tofali za level mtambaa panya m2 13.4525,000 336,250 na gable 14Kufunga wall plate na truss, na nos 51,500 7,500 15Kufunga fascia board nyumba nzima m 151,500 22,500 16Kufunga purlins 50x50mm m 1208,000 960,000 17Kupiga bati za IT4 na kofia, kila bati 3.4m nos 3865,000 2,470,000 18Kupiga brandering ya ceiling m2 254,000 100,000 19Kufix gypsum board ya ceiling m2 256,800 170,000 20Kujaza uwazi kati ya bati na ukuta sum 45,000 21Fufunga bomba za kupitisha sum 50,000 Umeme na box za switches 22Kufunga frame za madirisha nos 2150,000 300,000 23Kufunga frame za milango nos 3150,000 450,000 24Kupiga render za kuta nje na ndani m2 148.52,000 297,000 25Kupiga plaster nje na ndani m2 148.52,000 297,000 26Kufunga madirisha ya aluminium nos 2240,000 480,000 27Kufunga milango mbao ya mkongo nos 3260,000 780,000 28Electrical wiring na kufunga switch sum 650,000 29Kupiga rangi nje na ndani m2 148.53,000 445,500 TOTAL 11,371,650 NB 1Gharama hizi ni za DAR ES SALAAM 2Kibanda hiki kiko TABORA, hivyo kwa kusafirisha vifa hivyo kwend TABORA, factor gharama kwa 1.2 , 3Hivyo Gharama ya jengo la VETA , TABORA =13,645,980.00
Kijana vyovyote itakavyokuwa huwezi kutumia zaidi ya Milioni 2. Hapo kwanza hicho kibanda huwezi kutumia Cable ikafika 100m. Hilo kwanza weka akilini sababu umeme utafika hapo kwanza kwa ajili ya uwepo wa majengo hayo makubwa, kwenye kibanda kidogo cha mlinzi itakuwa tapping tu ya power kwenda hapo.Na hiyo armoured cable inajileta yenyewe na inajifukia yenyewe?
Amandla...
Tronic zimepitishwa na nani? Tangu lini umemtumia fundi mwenye diploma kukufungia umeme? Na hiyo diploma in electrical installation inatolewa na chuo gani?Vifaa vya umeme huwa vinatoka wapi kwani hizi Tronic na wenzake si zipo maduka ya vifaa vya ujenzi. Na si zinatambulika na mamlaka za viwango. Kuna waya aina gani zinazotumika tofauti na majumbani, au serikali inanunua nyaya maalum kwa ajili yake.
Mafundi si walewale waliosoma vyuo vyetu na wana certificate au diploma in electrical installation. Si ndio haohao wanatumika na raia.
Ulicholenga hapa ni kwamba serikali ina watu na vifaa vyake special ambavyo ni classified ama nini
Huu ndiyo ukweli. Serikali ina viwango vyake ambavyo kwa mitaani havitumiki na usipovifuata mradi unaweza usipokelewe!!Ulicholenga hapa ni kwamba serikali ina watu na vifaa vyake special ambavyo ni classified ama nini
Unapajua Uyui?Kijana vyovyote itakavyokuwa huwezi kutumia zaidi ya Milioni 2. Hapo kwanza hicho kibanda huwezi kutumia Cable ikafika 100m. Hilo kwanza weka akilini sababu umeme utafika hapo kwanza kwa ajili ya uwepo wa majengo hayo makubwa, kwenye kibanda kidogo cha mlinzi itakuwa tapping tu ya power kwenea hapo.
Chukulia Armoured Cable imetoka kiwandani Moja Kwa Moja sababu hizi Armoured Cable za 1.5sqmm mpaka 2.5 mara nyingi ni kwa Order ujue bei itapungua, huwezi kukodi semi au Fuso kubebea Armoured Cable ya mita 100 sababu ni mzigo mdogo huo. Usafikiri wa hiyo Cable mpaka sehemu husika hauzidi laki 2. Mafundi wa mtaro na kufukia haizidi laki Moja, haya ni makadirio ya juu.
Huu ni mchanganuo tu wa ishu ya umeme, Hilo kwingine wajuzi wa hayo mambo wafafanua kwa maana nyingine Bei za huyu mdau za kipigaji, namaanisha hazikubaliki.Kwa ivo aongeze hiyo 1,000,000 ili gharama zifikie 12,371,650?
Haya iwe Musoma huko migodini. Sisi haya ndiyo maisha yetu, Kuna muda watu wanapiga tu kwa ujinga wao ila kiuhalisia mambo hayako hivyo.Unapajua Uyui?
Amandla...