Waziri Mkuu Majaliwa, Wahudumu wa Ndege ya Precision Air wanasema Wao ndiyo Walifungua Mlango. Huyu Muokoaji ‘Majaliwa’ aliufungua upi?

"Majaliwa ni kijana wetu wa Chama pale Ofisini".

Hayo ni maneno aliyoongea Katibu wa CCM wa mkoa wa Kagera.

Your browser is not able to display this video.


Dr. GENTAMYCINE sikiliza kuanzia dakika ya 3:10 hadi 3:38
 
We chizi eeh, wahudumu wawili wamepona kwenye ile ajali.
Halafu ninavyomdharau anaona namuonea. Angekuwa Mjanja angeuchuna tu badala yake anataka kuleta Ligi nami mjua Ligi hivyo sasa namnyoosha tu.
 
Halafu ninavyomdharau anaona namuonea. Angekuwa Mjanja angeuchuna tu badala yake anataka kuleta Ligi nami mjua Ligi hivyo sasa namnyoosha tu.
Jadili vitu vya manufaa kwa nchi kama hivi. Siyo na Degree yako unabishania kufungua mlango. Ni akili ya mwendawazimu tu itafikiria huo utoto.

American Businessman and Microsoft owner Bill Gates is in Kenya, where he will hold a series of public engagements
 
Wewe JF wana kulea. Unafaa upigwe ban za kutosha. Umri wako siyo kutukana kila mtu hapa. Ww ni mature.
 
Kwani Wewe umezuiwa Kulijadili hilo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…