Waziri Mkuu Majaliwa: Wenye degree kasomeni ufundi VETA mjiajiri
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa akizungunza na wakazi wa Igunga, Tabora.

"Tumeendelea kuimarisha sekta ya elimu, Muheshimiwa mbunge ulisema unahitaji VETA tumeleta VETA, hizi VETA tumezijenga ili wewe ukasomee ufundi utusaide katika shughuli za ujasiriamali VETA ile sio tu ya kijana wa darasa la 7 hata wewe uliyemaliza Degree uwe mtaalamu wa Kompyuta nenda kajifunze kushona nguo, uwe fundi cherehani, nenda kajifunze ufundi umeme uwe fundi umeme kwahiyo hata mwanafunzi wa chuo kikuu anaweza kwenda kusoma VETA kwasababu pale unasemea ufundi"
Kwa nafasi aliyonayo waziri mkuu hakupaswa kutoa kauli kama hii.
Kauli hii inaonyesha picha kubwa kuwa;

1. Serikali ya CCM imeishiwa kabisa pumzi kuhusu kutatua tatizo la ajira kwa wasomi waliozagaa mitaani na vyeti.

2. Elimu ya chuo kikuu kwa sasa kwa sehemu kubwa haina maana yoyote kuweza kumkomboa kijana kiuchumi na kijamii.

3. Kijana wa kitanzania anayepambana kusoma mpaka kuhitimu chuo kikuu basi anapoteza tu muda, nguvu, akili na rasimali, maana elimu hiyo haina maarifa ya kuweza kumkomboa kimaisha.
 
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa akizungunza na wakazi wa Igunga, Tabora.

"Tumeendelea kuimarisha sekta ya elimu, Muheshimiwa mbunge ulisema unahitaji VETA tumeleta VETA, hizi VETA tumezijenga ili wewe ukasomee ufundi utusaide katika shughuli za ujasiriamali VETA ile sio tu ya kijana wa darasa la 7 hata wewe uliyemaliza Degree uwe mtaalamu wa Kompyuta nenda kajifunze kushona nguo, uwe fundi cherehani, nenda kajifunze ufundi umeme uwe fundi umeme kwahiyo hata mwanafunzi wa chuo kikuu anaweza kwenda kusoma VETA kwasababu pale unasemea ufundi"
Aanze mwanaye kusoma huko.
 
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa akizungunza na wakazi wa Igunga, Tabora.

"Tumeendelea kuimarisha sekta ya elimu, Muheshimiwa mbunge ulisema unahitaji VETA tumeleta VETA, hizi VETA tumezijenga ili wewe ukasomee ufundi utusaide katika shughuli za ujasiriamali VETA ile sio tu ya kijana wa darasa la 7 hata wewe uliyemaliza Degree uwe mtaalamu wa Kompyuta nenda kajifunze kushona nguo, uwe fundi cherehani, nenda kajifunze ufundi umeme uwe fundi umeme kwahiyo hata mwanafunzi wa chuo kikuu anaweza kwenda kusoma VETA kwasababu pale unasemea ufundi"
Yeye Majaliwa anawaza tu kugombea ubunge tena

Anaogopa mno Makonda kugombea ubunge utafikiri hatakuwa na mafao ya kudumu asipogombea ubunge

Hakuna watu waoga maisha mtaani kama.mawaziri hawa wawili Majaliwa na Lukuvi
 
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa akizungunza na wakazi wa Igunga, Tabora.

"Tumeendelea kuimarisha sekta ya elimu, Muheshimiwa mbunge ulisema unahitaji VETA tumeleta VETA, hizi VETA tumezijenga ili wewe ukasomee ufundi utusaide katika shughuli za ujasiriamali VETA ile sio tu ya kijana wa darasa la 7 hata wewe uliyemaliza Degree uwe mtaalamu wa Kompyuta nenda kajifunze kushona nguo, uwe fundi cherehani, nenda kajifunze ufundi umeme uwe fundi umeme kwahiyo hata mwanafunzi wa chuo kikuu anaweza kwenda kusoma VETA kwasababu pale unasemea ufundi"
Haya ndiyo madhara ya kuchagua viongozi wasio na maono.
Kuna haja gani sasa ya kusomesha watoto wetu hadi vyuo vikuu halafu wakimaliza masomo yao inabidi waende tena veta kupata ujuzi(sawa na wanafunzi wa darasa la saba)?
 
Nimeangalia takwimu za Vijana wanaomaliza VETA na wale wa Degree

Naona takwimu zinataka kufanana Kwa kiasi

Mathalani Wahitimu wa Degree ni Wahitimu 100,000 Kwa Mwaka

Wakati wale wa VETA wastani wa 157,000 Kwa Mwaka

Kama Serikali inataka hayo, ipunguze kudahiri Wanafunzi wa Vyuo Vikuu

Na Badala yake nguvu kubwa ielekezwe huko vyuo vya Kati na Ufundi

Japo Anayehitimu Degree anakuwa na maarifa makubwa kuzidi hao vyuo vya Ufundi ambao ni dhahiri wanaandaliwa kuwa Mafundi
Tayari sasa hivi madogo WKitoka form 4 wanaenda vyuo kupewa Elimu practical, baadhi ndio wanaenda 5 na 6
 
Nimeangalia takwimu za Vijana wanaomaliza VETA na wale wa Degree

Naona takwimu zinataka kufanana Kwa kiasi

Mathalani Wahitimu wa Degree ni Wahitimu 100,000 Kwa Mwaka

Wakati wale wa VETA wastani wa 157,000 Kwa Mwaka

Kama Serikali inataka hayo, ipunguze kudahiri Wanafunzi wa Vyuo Vikuu

Na Badala yake nguvu kubwa ielekezwe huko vyuo vya Kati na Ufundi

Japo Anayehitimu Degree anakuwa na maarifa makubwa kuzidi hao vyuo vya Ufundi ambao ni dhahiri wanaandaliwa kuwa Mafundi
Mkuu hakuna ugomvi kwa Waziri Mkuu Majaliwa wala mleta hoja na wachangiaji.
Majaliwa kaleta UFUNUO wa ajira.

Tusibeze kwa kuwa kuna wakati elimu ya aina fulani haileti chakula mezani.
Barabarani usiku unakuta biashara ya ngono na watu wenye hata degree ya ualimu.
Bahati nzuri siku hizi kupata maarifa sio lazima uende shule au chuo ukalili miaka kadha halafu wakupe cheti,ambacho wakati mwingine utasota hata miaka kadhaa bila ajira.
Jibu la msingi ni kufanya kazi itayokupa mkate regardless of what.
Ni wakati wa kutafakari elimu na mafunzo yatolewayo kama yanaendana ma wakati wa leo.
 
Back
Top Bottom