Waziri Mkuu Majaliwa: Wenye degree kasomeni ufundi VETA mjiajiri
kuwataka vijana wasomi wa vyuo vikuu kujiunga na vyuo vya VETA Kusomea ufundi wa fani mbalimbali.

Engineer Noel K. Ngowi - Teknolojia ni Sanaa, Utayari wa Jamii Kuzalisha Teknolojia


Mambo matatu ya kuwezesha teknolojia iibuke katika jamii ya kiAfrika yatafikiwa ikiwa tu maswali haya matatu hapa chini yakipatiwa majibu, nayo ni :
  1. Hitaji ndani ya Jamii lipo
  2. Utayari wa Jamii
  3. Sapoti ya ubunifu kutoka sehemu kubwa ya jamii
wananangania kubeba karai kichwani, kubeba mizigo kama wapagazi badala la kutumia teknolojia kurahisisha mambo .....
 
Wala sio tatizo, Ni jambo jema.
Mimi wakati ninasomea uhandisi, sio hapa bongo
mwaka wa kwanza tulikuwa tunahudhuria chuo cha ufundi kujifunza kutumia Milling na Lathe machine, Pia Welding na Injection moulding.
Nakumbumbuka wiki ya kwanza tulipewa kipande cha chuma tukipige filing kwa mkono na kupungunza sentimita 10 zote.
 
Wanajamvi Heshima kwenu,

Kwako Mh Dr Samia Suluhu Hassan Rais wetu mpendwa.

Nakuandikia kwa heshima na taadhima kuhusu kauli tata, aliyoitoa waziri Mkuu Majaliwa huko Tabora, kuwataka vijana wasomi wa vyuo vikuu kujiunga na vyuo vya VETA Kusomea ufundi wa fani mbalimbali.

Kwa upeo wangu wa kutafakari mambo naona Waziri Mkuu amevuka mstari,kwa kauli aliyoitoa.
Ni kauli

Mosi ya kudharau kada mbalimbali zilizosomewa na vijana chuo KIKUU mpaka kuwataka waziache.

Kada kama uhasibu, uhandisi ,Udaktari, Ujiolojia,ualimu, Procurement kuzitaja chache.

Watu hao juu wametumia muda mwingi,pesa kusoma kidato Cha kwanza mpaka Cha sita, Kisha miaka mitatu mpka minne chuo KIKUU.

Hili ni group kubwa la wanazuoni ambao wapo mtaani hawana ajira,walipokuwa wanasoma walikuwa na malengo yao,

Walijua kabisa VETA zipo, ukweli kuhusu VETA ni kada ya kati ya kawaida iliyokuwa na malengo ya kutoa skills study kwa ajili ya kujiajiri, kwa namna ya pekee watu ambao waliishia darasa la saba zamani, lakini sasa kidato Cha nne, ambao hawakuweza kuendelea na masomo ya juu ili wajiajiri.

Mh Rais mashaka yangu ni kuwa Kuna ombwe kubwa la ajira nchini, safari hii wapiga kura wengi nchini ni vijana, ambao hawana ajira.

Kwa Nini kauli kama hii inatoka kuelekea uchaguzi mkuu?? sio nzuri, itachochea chuki kwa vijana wasio na ajira ambao Bado wana matumaini na serikali Yako.

Kwa namna ilivyo vijana hao wamekuwa underrated, hadhi ya degree za vyuo vikuu ni bure, haina maana, mpaka leo hii vijana hao washauriwe kusomea ufundi🤔🤔🤔

Mwisho Mwishoni natamani Waziri Mkuu ajitafakari, na Mama kama mkuu wa nchi utafakari hii kauli tata, ambayo kwangu mimi kama mtanzania inatosha kwa Waziri Mkuu kukaaa pembeni baada ya Bunge kuvunjwa.

Ni imani yangu ujumbe huu utafika mezani kwako, kwa wewe mwenyewe kusoma, au kupitia wasaidizi wako.

Nandagala One -Mpumalanga South Africa.
1741796468946.png
 
Watu wanapenda kupindisha na kukuza vitu. PM amesema VETA ni kwa kila mtu sio darasa la saba tu, hata graduate anaweza kuja kupata ujuzi.

Hapo shida nini. Kwani wewe na degree yako napoenda kujifunza udereva VETA huwa unatafuta nini?

Mimi na degree zangu nikitaka kwenda kujifunza upishi ili nifungie mgahawa mkubwa, kuna shida gani?
 
VETA haimaanishi ukaajiriwe viwandani, bali ujiajiri, Fundi gereji, umeme, kutengeneza machine ndogo ndogo, fundi cherehani etc.

Leo magari Ya umeme yakija kutoka China nani atayatengeneza? Ukienda mjini CBE pale badala kuleta mashuka toka Nje vinakuja Vitambaa mafundi wengi wa Charahani wametoboa pale same kwa kariakoo. SIDO Kuna vimachine vidogo vidogo kibao wanatengeneza, Machine za kukoroga, kupasha moto etc
Mzee acha siasa za kipuuzi tupo huku mtaani hali halisi tunaiona huu unao andika ni upuuzi mwingine kama aliosema katelefoni huwezi tatua tatizo la ajira kwa kuongea kirahisi rahisi tu hivi mnavofanya
 
Wala hajamchonganisha, you know soko la ajira window ya degree ni ndogo sana, mlango uliopo ni technicians, most of them wakitokea veta

As ajira hata US huku tulipo, vijana wana opt trade skills (technical skills) kuliko degree, na trend imeanza kukua kwa kasi sana.
Ni mfano mdogo but that the reality

Sawa Mkuu. Tatizo ni kwa nini wawapeleke University, wawakopeshe halafu wakijitimu ndipo wawashauri kwenda VETA?
 
Kwamba hao mafundi wana kazi za kumwaga ? Au lack of disposable income inapelea watu kukosa ujira wa kutosha ?!!!

 
Wala hajamchonganisha, you know soko la ajira window ya degree ni ndogo sana, mlango uliopo ni technicians, most of them wakitokea veta

As ajira hata US huku tulipo, vijana wana opt trade skills (technical skills) kuliko degree, na trend imeanza kukua kwa kasi sana.
Ni mfano mdogo but that the reality
Wakati wanafnya hivi,

Je hawa wanjiunga na vyuo kila mwaka serikali ina mpango nao.

Au ndio wanasubiri wamalize chuo ndio wajiunge na ufundi study.
 
Wanajamvi Heshima kwenu,

Kwako Mh Dr Samia Suluhu Hassan Rais wetu mpendwa.

Nakuandikia kwa heshima na taadhima kuhusu kauli tata, aliyoitoa waziri Mkuu Majaliwa huko Tabora, kuwataka vijana wasomi wa vyuo vikuu kujiunga na vyuo vya VETA Kusomea ufundi wa fani mbalimbali.

Kwa upeo wangu wa kutafakari mambo naona Waziri Mkuu amevuka mstari,kwa kauli aliyoitoa.
Ni kauli

Mosi ya kudharau kada mbalimbali zilizosomewa na vijana chuo KIKUU mpaka kuwataka waziache.

Kada kama uhasibu, uhandisi ,Udaktari, Ujiolojia,ualimu, Procurement kuzitaja chache.

Watu hao juu wametumia muda mwingi,pesa kusoma kidato Cha kwanza mpaka Cha sita, Kisha miaka mitatu mpka minne chuo KIKUU.

Hili ni group kubwa la wanazuoni ambao wapo mtaani hawana ajira,walipokuwa wanasoma walikuwa na malengo yao,

Walijua kabisa VETA zipo, ukweli kuhusu VETA ni kada ya kati ya kawaida iliyokuwa na malengo ya kutoa skills study kwa ajili ya kujiajiri, kwa namna ya pekee watu ambao waliishia darasa la saba zamani, lakini sasa kidato Cha nne, ambao hawakuweza kuendelea na masomo ya juu ili wajiajiri.

Mh Rais mashaka yangu ni kuwa Kuna ombwe kubwa la ajira nchini, safari hii wapiga kura wengi nchini ni vijana, ambao hawana ajira.

Kwa Nini kauli kama hii inatoka kuelekea uchaguzi mkuu?? sio nzuri, itachochea chuki kwa vijana wasio na ajira ambao Bado wana matumaini na serikali Yako.

Kwa namna ilivyo vijana hao wamekuwa underrated, hadhi ya degree za vyuo vikuu ni bure, haina maana, mpaka leo hii vijana hao washauriwe kusomea ufundi🤔🤔🤔

Mwisho Mwishoni natamani Waziri Mkuu ajitafakari, na Mama kama mkuu wa nchi utafakari hii kauli tata, ambayo kwangu mimi kama mtanzania inatosha kwa Waziri Mkuu kukaaa pembeni baada ya Bunge kuvunjwa.

Ni imani yangu ujumbe huu utafika mezani kwako, kwa wewe mwenyewe kusoma, au kupitia wasaidizi wako.

Nandagala One -Mpumalanga South Africa.
Shida tunapenda kuambiwa uongo wenye kufurahisha kuliko ukweli unaoumiza

Amka ndugu, watu wamemaliza chuo wameenda kujifundisha kutengeneza magari, simu, kushona nguo nk na wanapata mahitaji yao ya msingi kiasi kwamba hata hizo ajira hawazotaki.


Bila shaka wewe ni wale mliojiwekea 100% ya kuajiriwa serikalini ndio maana imekuchoma sana
 
VETA haimaanishi ukaajiriwe viwandani, bali ujiajiri, Fundi gereji, umeme, kutengeneza machine ndogo ndogo, fundi cherehani etc.

Leo magari Ya umeme yakija kutoka China nani atayatengeneza? Ukienda mjini CBE pale badala kuleta mashuka toka Nje vinakuja Vitambaa mafundi wengi wa Charahani wametoboa pale same kwa kariakoo. SIDO Kuna vimachine vidogo vidogo kibao wanatengeneza, Machine za kukoroga, kupasha moto etc
Ufanisi wake umewahi zingatia?
 
Wanajamvi Heshima kwenu,

Kwako Mh Dr Samia Suluhu Hassan Rais wetu mpendwa.

Nakuandikia kwa heshima na taadhima kuhusu kauli tata, aliyoitoa waziri Mkuu Majaliwa huko Tabora, kuwataka vijana wasomi wa vyuo vikuu kujiunga na vyuo vya VETA Kusomea ufundi wa fani mbalimbali.

Kwa upeo wangu wa kutafakari mambo naona Waziri Mkuu amevuka mstari,kwa kauli aliyoitoa.
Ni kauli

Mosi ya kudharau kada mbalimbali zilizosomewa na vijana chuo KIKUU mpaka kuwataka waziache.

Kada kama uhasibu, uhandisi ,Udaktari, Ujiolojia,ualimu, Procurement kuzitaja chache.

Watu hao juu wametumia muda mwingi,pesa kusoma kidato Cha kwanza mpaka Cha sita, Kisha miaka mitatu mpka minne chuo KIKUU.

Hili ni group kubwa la wanazuoni ambao wapo mtaani hawana ajira,walipokuwa wanasoma walikuwa na malengo yao,

Walijua kabisa VETA zipo, ukweli kuhusu VETA ni kada ya kati ya kawaida iliyokuwa na malengo ya kutoa skills study kwa ajili ya kujiajiri, kwa namna ya pekee watu ambao waliishia darasa la saba zamani, lakini sasa kidato Cha nne, ambao hawakuweza kuendelea na masomo ya juu ili wajiajiri.

Mh Rais mashaka yangu ni kuwa Kuna ombwe kubwa la ajira nchini, safari hii wapiga kura wengi nchini ni vijana, ambao hawana ajira.

Kwa Nini kauli kama hii inatoka kuelekea uchaguzi mkuu?? sio nzuri, itachochea chuki kwa vijana wasio na ajira ambao Bado wana matumaini na serikali Yako.

Kwa namna ilivyo vijana hao wamekuwa underrated, hadhi ya degree za vyuo vikuu ni bure, haina maana, mpaka leo hii vijana hao washauriwe kusomea ufundi🤔🤔🤔

Mwisho Mwishoni natamani Waziri Mkuu ajitafakari, na Mama kama mkuu wa nchi utafakari hii kauli tata, ambayo kwangu mimi kama mtanzania inatosha kwa Waziri Mkuu kukaaa pembeni baada ya Bunge kuvunjwa.

Ni imani yangu ujumbe huu utafika mezani kwako, kwa wewe mwenyewe kusoma, au kupitia wasaidizi wako.

Nandagala One -Mpumalanga South Africa.
Kwa hali hii si bora watu wakasomee fani tu?
 

Attachments

  • IMG-20250312-WA0002.jpg
    IMG-20250312-WA0002.jpg
    115.5 KB · Views: 2
Engineer Noel K. Ngowi anasisitiza sana kuwa teknolojia ni sanaa, na yaani watu afrika waweze kutafsiri vitu nadharia katika uhasilia kutapowezesha wawepo wajasiriamali teknolojia watakaopelekea uzalishaji

Wajasiriamali ni watu wathubutu wanaoweza kutengeneza vitu halisi kupitia ubunifu katika teknolojia. Watu wanasoma sana nadharia huku wakikusanya vyeti lakini ukiwaambia wawe wajasiriamali teknolojia kama Bill Gates na rafiki yake Allen ni mfano wa wajasiriamali teknolojia na Afrika inahitaji aina ya watu kama kina Bill Gates wavumbuzi wa sanaa ya kuunda vitu halisi na kupelekea uanzishwaji kampuni, viwanda vidogo na vikubwa kuunda vitu halisi na kutoa ajira kwa wengi kupitia uthubutu wa aina ya wajasiriamali teknilojia .
Bila vitendeakazi na uwekezaji mkubwa kwenye miundombinu na blabla

Yeye ka injinia aliwahi kubuni na kuunda kitu gani?
Na kinatumika wapi?
Na kimebadilisha vipi jamii ya watanzania?
 
Back
Top Bottom