Waziri Mkuu Majaliwa: Wenye degree kasomeni ufundi VETA mjiajiri
Acha kuleta blah blah nyingi za kijinga katika suala serious hili linalolikumba taifa kwa sasa kuhusu huu ukosefu wa ajira kwa kuleta mifano ya kipuuzi kama njia ya kuondokana na shida hii.

Unaandika kirahisi rahisi tu
Wewe ndio unaeleta blah blah kwa solution ambayo ipo proved nchi kibao include hapa kwetu. Ipinge hoja yake toa wewe solution yako.
 
Mzee ujue unaongea ujinga aisee huwezi kuniambia chochote cha maana kuhusu huo upuuzi wa VETA sijui unafikiri unaongea na mjinga mwenzio asiye fahamu.

Unaweza ukaandika alternatives nyingine bora hapa lakini si hizi blah blah unazoleta hapa
So kifupi huna, Asante kwa kutuonesha u genius wako, endelea kuongea na wenzio.
 
So kifupi huna, Asante kwa kutuonesha u genius wako, endelea kuongea na wenzio.
Kiufupi unaandika upumbavu sijui nani kakukaririsha maujinga haya huu ujinga unaoutetea hapa naufahamu vizuri, unacholeta hapa ni uupuzi hauna utofauti na ule wa kabudi na Magufuli kuhusu mikataba ya madini na malipo kwa Watanzania.
 
Kassim Kama Kawaida Yake Amegeuka Tena Vile Vile Aliposema Mtanaka Kumuona Magomeni Magufuli Yupo Anachapa Kazi
 
Watu wanamdharau kazi za mikono (veta) lakini Infact mimi nina degree na Nina cheti. Cha, veta ufundi. Wa wiring ya umeme wa magari sijawah lala njaa Ata siku all basic needs I can acquire🙏heshimu VETA mkuu
Mzee ujue unaongea ujinga aisee huwezi kuniambia chochote cha maana kuhusu huo upuuzi wa VETA sijui unafikiri unaongea na mjinga mwenzio asiye fahamu.

Unaweza ukaandika alternatives nyingine bora hapa lakini si hizi blah blah unazoleta hapa
 
Watu wanamdharau kazi za mikono (veta) lakini Infact mimi nina degree na Nina cheti. Cha, veta ufundi. Wa wiring ya umeme wa magari sijawah lala njaa Ata siku all basic needs I can acquire🙏heshimu VETA mkuu
Mimi sijasoma VETA ila pia Digrii yangu ipo kwenye droo tu, nimefanya kazi kampuni kibao maslahi duni, nimekuja toboa kwenye biashara yenye Ujuzi kama VETA.
 
Kwa kauli hii napendekeza vyuo vikuu vifungwe ,maana uwezo wa kuwahudumia wahitimu wa vyuo vikuu tumeshindwa .

Why usianzishwe mfuko maalum wa wahitimu kwamba wakopeshwe mitaji badala yake tunataka waende vita, hivi nchi hii inashindwa kweli kumpa kila mhitim m20 baada ya kuwakilisha proposal yake kama hajapata ajira ili kujiajiri kweli kama mkopo ? ili pale apatapo ajira anaanza kukatwa kidogodogo kama ilivyo mkopo wa elim ya juu?

kauli ya Waziri mkuu wenda alikua na nia flani nzuri ila hakufikiria kwa mapana yake.

Tz hili linawezekanika ,chukulia tuna mv8 mangapi na kama moja ni m400 na kuendelea hapo unakua umetoa mkopo kwa watu wangapi?

waziri mkuu nataka kuonana na wewe nikueleze jambo muhim juu ya vijana hawa so nipe utaratibu wa kukuona ,hope upo humu naomba unijibu
Umenena
 
Nawaza tu msomi mwenye degree au masters anaingia Veta kusomea ufundi baiskeli au ufundi carpenter ajifunze kuchonga majeneza huku anakutana na sisi tuliofeli darasa la nne miaka hiyo tukaingia mtaani kupiga dili za wizi wa mafuta ya transformer na ukabaji kisha tukastaafu na kujifunza ufundi mtaani halafu tukaanza kupiga hela halafu msomi wa chuo anakuja kusoma veta kisha aje mtaani tumfundishe mbinu za kupiga hela kwenye ufundi😂😂😂hii nchi ngumu sana
Shukrani sana,jibu Zuri nimelipenda
 
Upumbavu tu kwa hiyo kama hulali njaa inasaidia nini sasa taifa ?

Hata fundi viatu hawalali njaa.

Udumavu wa akili, unachekelea ujinga wako na wa viongozi wako kwa kukosa akili ya kujua nini cha lifaa taifa hili liweze kuendelea na kuachana na hizi kasumba za kipuuzi.
Asante nashukuru mimi nimekubali ni mpumbafu wewe mwerevu, mkuu sijawahi Kuiomba hiyo serikali ata mia, na wala siombi kwa mtu
Infact si kila mtu ataajiriwa serikalini, lazima kuwe na mgawanyo wa watu kutegemeana

Wewe, una mchango gani, labda (zaidi ya u-key board warrior) unataka utafuniwe tu

😁utakuta hapa umepewa bando la buku na shemeji yako, upo Jf unakuna pumbu kwenye
Sebule ya dada ako huku unatukana watu JF.
 
Wanajamvi Heshima kwenu,

Kwako Mh Dr Samia Suluhu Hassan Rais wetu mpendwa.

Nakuandikia kwa heshima na taadhima kuhusu kauli tata, aliyoitoa waziri Mkuu Majaliwa huko Tabora, kuwataka vijana wasomi wa vyuo vikuu kujiunga na vyuo vya VETA Kusomea ufundi wa fani mbalimbali.

Kwa upeo wangu wa kutafakari mambo naona Waziri Mkuu amevuka mstari, kwa kauli aliyoitoa.

Ni kauli;

Mosi ya kudharau kada mbalimbali zilizosomewa na vijana chuo KIKUU mpaka kuwataka waziache.

Kada kama uhasibu, uhandisi, Udaktari, Ujiolojia, ualimu, Procurement kuzitaja chache.

Watu hao juu wametumia muda mwingi, pesa kusoma kidato cha kwanza mpaka cha sita, Kisha miaka mitatu mpka minne chuo KIKUU.

Hili ni group kubwa la wanazuoni ambao wapo mtaani hawana ajira, walipokuwa wanasoma walikuwa na malengo yao.

Walijua kabisa VETA zipo, ukweli kuhusu VETA ni kada ya kati ya kawaida iliyokuwa na malengo ya kutoa skills study kwa ajili ya kujiajiri, kwa namna ya pekee watu ambao waliishia darasa la saba zamani, lakini sasa kidato cha nne, ambao hawakuweza kuendelea na masomo ya juu ili wajiajiri.

Mh Rais mashaka yangu ni kuwa Kuna ombwe kubwa la ajira nchini, safari hii wapiga kura wengi nchini ni vijana, ambao hawana ajira.

Kwanini kauli kama hii inatoka kuelekea uchaguzi mkuu? Sio nzuri, itachochea chuki kwa vijana wasio na ajira ambao bado wana matumaini na serikali yako.

Kwa namna ilivyo vijana hao wamekuwa underrated, hadhi ya degree za vyuo vikuu ni bure, haina maana, mpaka leo hii vijana hao washauriwe kusomea ufundi🤔🤔🤔

Mwisho Mwishoni natamani Waziri Mkuu ajitafakari, na Mama kama mkuu wa nchi utafakari hii kauli tata.

Ni imani yangu ujumbe huu utafika mezani kwako, kwa wewe mwenyewe kusoma, au kupitia wasaidizi wako.

Nandagala One -Mpumalanga South Africa.
 
Wanajamvi Heshima kwenu,

Kwako Mh Dr Samia Suluhu Hassan Rais wetu mpendwa.

Nakuandikia kwa heshima na taadhima kuhusu kauli tata, aliyoitoa waziri Mkuu Majaliwa huko Tabora, kuwataka vijana wasomi wa vyuo vikuu kujiunga na vyuo vya VETA Kusomea ufundi wa fani mbalimbali.

Kwa upeo wangu wa kutafakari mambo naona Waziri Mkuu amevuka mstari,kwa kauli aliyoitoa.
Ni kauli

Mosi ya kudharau kada mbalimbali zilizosomewa na vijana chuo KIKUU mpaka kuwataka waziache.

Kada kama uhasibu, uhandisi ,Udaktari, Ujiolojia,ualimu, Procurement kuzitaja chache.

Watu hao juu wametumia muda mwingi,pesa kusoma kidato Cha kwanza mpaka Cha sita, Kisha miaka mitatu mpka minne chuo KIKUU.

Hili ni group kubwa la wanazuoni ambao wapo mtaani hawana ajira,walipokuwa wanasoma walikuwa na malengo yao,

Walijua kabisa VETA zipo, ukweli kuhusu VETA ni kada ya kati ya kawaida iliyokuwa na malengo ya kutoa skills study kwa ajili ya kujiajiri, kwa namna ya pekee watu ambao waliishia darasa la saba zamani, lakini sasa kidato Cha nne, ambao hawakuweza kuendelea na masomo ya juu ili wajiajiri.

Mh Rais mashaka yangu ni kuwa Kuna ombwe kubwa la ajira nchini, safari hii wapiga kura wengi nchini ni vijana, ambao hawana ajira.

Kwa Nini kauli kama hii inatoka kuelekea uchaguzi mkuu?? sio nzuri, itachochea chuki kwa vijana wasio na ajira ambao Bado wana matumaini na serikali Yako.

Kwa namna ilivyo vijana hao wamekuwa underrated, hadhi ya degree za vyuo vikuu ni bure, haina maana, mpaka leo hii vijana hao washauriwe kusomea ufundi🤔🤔🤔

Mwisho Mwishoni natamani Waziri Mkuu ajitafakari, na Mama kama mkuu wa nchi utafakari hii kauli tata, ambayo kwangu mimi kama mtanzania inatosha kwa Waziri Mkuu kukaaa pembeni baada ya Bunge kuvunjwa.

Ni imani yangu ujumbe huu utafika mezani kwako, kwa wewe mwenyewe kusoma, au kupitia wasaidizi wako.

Nandagala One -Mpumalanga South Africa.
 
Kwamba wahitimu wote wawe mafundi mbona veta Kuna kundi kubwa la wahitimu! Kwamba only solution ni kwend veta au kufungua biashara
Ndio kwani Kila mtu atafanya ubunifu na ugunduzi wake
 
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa akizungunza na wakazi wa Igunga, Tabora.

"Tumeendelea kuimarisha sekta ya elimu, Muheshimiwa mbunge ulisema unahitaji VETA tumeleta VETA, hizi VETA tumezijenga ili wewe ukasomee ufundi utusaide katika shughuli za ujasiriamali VETA ile sio tu ya kijana wa darasa la 7 hata wewe uliyemaliza Degree uwe mtaalamu wa Kompyuta nenda kajifunze kushona nguo, uwe fundi cherehani, nenda kajifunze ufundi umeme uwe fundi umeme kwahiyo hata mwanafunzi wa chuo kikuu anaweza kwenda kusoma VETA kwasababu pale unasemea ufundi"

View: https://www.instagram.com/p/DHG-kpjI_Zn/?igsh=MWJvaWRleXJvYXlwMg==


My Take
Broilers wamepewa mchongo wajiogeze.👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DHGhX9RTupe/?igsh=aTQya2k2ZmozMnh4

Kama huyu PM anajua kuwa elimu ya VETA inamwezesha mtu wa degree kujiajiri...kwa nini basi wasibadili vyuo vikuu viwe vyuo vya VETA ila kuongeza wigo wa upatikanaji wa hiyo elimu?
 
Kama huyu PM anajua kuwa elimu ya VETA inamwezesha mtu wa degree kujiajiri...kwa nini basi wasibadili vyuo vikuu viwe vyuo vya VETA ila kuongeza wigo wa upatikanaji wa hiyo elimu?
Vyuo Vikuu vinahitaji watu wachache
 
Back
Top Bottom