Nina mashaka na taaluma ya mtoa mada! sauti yako inaashiria wazi unasukumwa na hisia za uchonganishi. Ikiwa una kili wazi kwamba ameshusha hadhi ya wasomi hiki ulichoandika kama utetezi ndicho ulichobeba kichwani au ndicho ulichoshibishwa?
Kuna haja kubwa kwa wenye uwezo wa kuchambua mambo watoe elimu nini tofaut ya elimu na Maarifa!
Kwa uwezo wangu mdogo nimegundua ipo haja tujifunze kuchambua maoni ya watu yanayotumwa kwa nyinyi wasomi.
Nimependezwa Sana kwa jinsi unavyoo onyesha jamii wewe ni mtu wa Aina gani na mwenye upeo wa Aina gani. Sijadharau wala kupinga Hoja yako, wasomi wanatetewa watumie elimu zao kupambana na Maarifa mengine wewe umegeuza Hoja kisiasa yenye lengo uchonganishi. Jitafakali Meza mate ya akili.
Naunga mkono hoja
Mkuu aksante sana kwa jibu lako Mujarabu kuhusu Uzi wangu.
Mosi mimi siongozwi na hisia, wala hisia za uchonganishi, isipokuwa statement yenyewe ndiyo Chongamishi YA WENYE DEGREE kusoma VETA mambo ya ufundi.
Pili nilichoandika sio nilichojazwa kichwani, hapana hii ni Pato la akili yangu baada ya kutafakari statement ya Waziri Mkuu.
Kazi ya akili ni kutafakari vitu, kuviangalia kwa jicho angavu, kuona ukweli wake, au namna kilivyopotoshwa!!
Natumain una ndugu zako wamehitimu Shahada vyuoo vikuu, wengine hawana ajira, basi Anza nao waambie waende VETA.
Yote katika yote ,nikushukuru kwa reply yako.
Mtindo wako wa uandishi umenitambulisha na kunijulisha jina na mahali unapotoka 🤣🤣🤣😂😂🤣 aksante sana kiongozi,Jipange jaribu Tena bahati Yako wakati ndo huu,mwaka ndo huu🙏🙏