Waziri Mkuu Majaliwa: Wenye degree kasomeni ufundi VETA mjiajiri
1741839631693.png
 
Mkuu samahani sana,🤔🤔 hili ni jina tu, mi sio mwanakiji wa anapotoka PM, naomba sana usinasibishe jina la JF, content na jina la Kijiji Cha PM.

Aksante kwa kunielewa!!🙏🙏🙏
Kumbe, nilipoona jina lako linafanana na alipozaliwa huyo pm wako nikajua ni mwanakijiji mwenzako, I'm so sorry mkuu
 
..labda na yeye alidanganywa na waliokuwa wakimuuguza Jpm.

..kuna rumours kwamba bwana mkubwa alitangulia muda mrefu ila kuna mipango ilikuwa inasukwa hivyo kuchelewesha taarifa kutolewa.
Na yeye alikuwa miongoni mwa wasuka mipango .
 
Andiko hili ni dhahiri kabisa umepiga siasa badala ya kusema ukweli, soko la ajira sio tanzania tu bali duniani kote ajira rasmi ni ngumu na uwezo wa Serikali kuajiri ni chini ya asilimia 50, leo hii watu wenye technical skills wanaenjoy life, Vijana wa Kitanzania wanapaswa kujua ukweli kwamba Technical skills zinalipa, vijana achaneni na hii takataka huyu kaandika.

Leo nenda Korea, nenda Marekani nenda nchi kama ujerumani na nchi nyingine zilizoendelea ona namna wanafanya kukuza ajira, ila kwa kuwa Tanzania tunahusudu siasa na kuacha uhalisia, Mawazo haya ndio yanakuja kichwani..

kwa kumalizia tupite kwenye link hapa tupate elimu namna technical skills zinavyoweza wabeba watu.

Harvard, Stanford MBAs struggling to find jobs: What’s behind the decline?
 
Nawaza tu msomi mwenye degree au masters anaingia Veta kusomea ufundi baiskeli au ufundi carpenter ajifunze kuchonga majeneza huku anakutana na sisi tuliofeli darasa la nne miaka hiyo tukaingia mtaani kupiga dili za wizi wa mafuta ya transformer na ukabaji kisha tukastaafu na kujifunza ufundi mtaani halafu tukaanza kupiga hela halafu msomi wa chuo anakuja kusoma veta kisha aje mtaani tumfundishe mbinu za kupiga hela kwenye ufundi😂😂😂hii nchi ngumu sana
Technical Skills ni chanzo kikubwa cha kuingiza pesa, acheni kuwasanganya Watanzania, techinical skills ni msimgi, vijana wanaofanya kazi Deco majumbani, wanamaisha sana tofauti na wewe uliyeamua kusubiri ajira rasmi
 
Ujasema waziri mkuu angetakiwa kuwaambi nini chakufanya katika halihii ya kukosa ajira katika kaziwalizo somea.

Acha uchawa uchwara.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Mimi mwenyewe VETA ilipoanzishwa mapemamapema nkienda pale kujifunza/kuongeza maujuzi

Ova
 
Mimi naona hili halina shida kwani msomi wa chuo kikuu akijifunza fani nyingine zaidi ya elimu yake hiyo ambayo haimuwezeshi kuajiriwa au kujiajiri kuna tatizo gani? Kwanza akijua fani nyingine atakuwa kwenye nafasi nzuri ya kuifanya kwa upeo mkubwa zaidi kutokana na elimu ya darasani ambayo tayari anayo. Naunga mkono hoja ya Kiswaswadu.
 
Reaction yako kama sio siasa basi ndio Sababu ya vijana wengi wanalalamika kukosa ajira.

Kwenye nchi zilizoendelea Technicians ndio kundi kubwa la watu wenye kipato kikubwa na wenye uwezo wa kumudu hali ya maisha.

Hapa kwetu Tanzania mambo ni tofauti sana, vijana wengi wanaenda shule wakiwa na ndoto za kuajiriwa na si kutengeneza ajira ili kuongeza wigo wa ajira nchini.

Leo hii vijana wengi wa Kitamzania walioamua kuziacha taaluma zao na kwenda kwenye sekta zisizo rasmi ndio tunaowaita mabilionea wa kesho, nenda kaangalie vijana wengi walijiwekeza kwenye Kilimo, ufundi wa magari (hapa nenda kamuangalie Dkt. Toyota) na wengine.

Serikali mara zote imekuwa ikiweka jitihada za kuleta fursa za uwekezaji kama viwanda na huku ndiko kunatengenezwa ajira za kutosha, wasomi wetu leo wameamua kuchagua nini wafanye na nini wasifanye.

Pita hapa uone eneo linalotoa ajira

https://www.yourcareer.gov.au/resources/australian-jobs-report/technicians-and-trade-workers

Kwa kuwa Watanzania tumeamua kuendekeza siasa na kuacha uhalisia hapa tutaona kauli ya PM si kitu, ila gate la utajiri lipo kwenye self skilled. Duaniani kote uwezo wa Serikali kuajiri haufiki hata asilimia 50 ndio maana zinatemgenezwa fursa nyingine, leo Serikali inatoa mikopo ya asilimia kumi kwa ajili ya vijana ili wajiendeleze.

Leo mfano mdogo tu, Tanzania hapa hair dresser na bekers wanatengeneza pesa

Hapa ukisema uendekeze degree uliyonayo ni wazi kabisa utaishia kulaumu tu na wale wenye skills hizi ndio pesa wanatumia kujiendeleza na kutengeneza fedha

Nenda Korea kajifunzeni namna watu wanatajirika na tuache kufanya siasa

kwa kumalizia tupite kwenye link hapa.


Harvard, Stanford MBAs struggling to find jobs: What’s behind the decline?
 
Hujasema kitu, hapo wasomi wanatakiwa waamue kwa utashi wao binafsi, sio kutoa general advice, hiyo ni dharau kubwa sana kwa wahitimu wa vyuo vikuu, ni kauli ambayo imetolewa bila tafakuri kubwa!!!
Ukweli ni mchungu lakini utafanyaje sasa na ni ukweli. Unapaswa kuukubali.
Kwa sasa degree si deal tena hasa kama huna other skills na connection. Mimi cheti changu hata sijawahi kwenda kukichukua ukizingatia gpa yenyewe ya 2...
 
Yupo sahihi, bora VETA na kujiajiri mwenyewe kuliko kusubiri kuajiriwa
 
Kama unaijua CCM elewa hakina ‘Issa Gavu’ sasa hivi wameshakubaini uendi popote.

Huyo Issa Gavu akiwa Ruangwa. ametoo onyo huo sio muda wa kusumbua wabunge (ujaelewa, somo tu).

Kwa ujinga wako bila kutumwa na CCM, Nchimbi au bi-tozo; utoboi usipoteze hela żako kuonga wajumbe.

JF inapitiwa na vigogo na wewe ushaonyesha utaahira wako.. Hata Majaliwa asipogombea sidhani kama watakupa wewe.

CCM aipendi dharau kwa viongozi wao kama hawajakutuma.
 
Watu wanapenda kupindisha na kukuza vitu. PM amesema VETA ni kwa kila mtu sio darasa la saba tu, hata graduate anaweza kuja kupata ujuzi.

Hapo shida nini. Kwani wewe na degree yako napoenda kujifunza udereva VETA huwa unatafuta nini?

Mimi na degree zangu nikitaka kwenda kujifunza upishi ili nifungie mgahawa mkubwa, kuna shida gani?
Watu wengi wana OVERTHINKING wakati issue ni ndogo tu. Nadhani hawajamuelewa Mh. Waziri Mkuu.
 
Waziri mkuu unaongea ujinga as if maana ya elimu tanzania ni almost zero au haipo kabisa?

Unawwzqje kusema wenye degree wakasome VETA na at the same time vyuo vinavyotoa degree bado vipo havijafutwa kama kweli Tanzania degree haina maama tena.

Kweli Tanzania ni nchi ya ajabu sana na bado kuna vijana wanasema ccm mbele kwa mbele licha ya matusi haya kwenu?

So, studying for 3 years or 4 years getting degree is wastage of time in Twnzania

Karibuni Chadema tupambane
 
Back
Top Bottom