Waziri Mkuu Majaliwa: Wenye degree kasomeni ufundi VETA mjiajiri
Waziri mkuu unaongea ujinga as if maana ya elimu tanzania ni almost zero au haipo kabisa?

Unawwzqje kusema wenye degree wakasome VETA na at the same time vyuo vinavyotoa degree bado vipo havijafutwa kama kweli Tanzania degree haina maama tena.

Kweli Tanzania ni nchi ya ajabu sana na bado kuna vijana wanasema ccm mbele kwa mbele licha ya matusi haya kwenu?

So, studying for 3 years or 4 years getting degree is wastage of time in Twnzania

Karibuni Chadema tupambane
Mimi nadhani hajakosea Kwani kama una hiyo degree huwezi kusoma certificate ama kitu ambacho hutapata cheti?, (Life learning skills)

Mimi nimeshuhudia walio wengi wamesoma computer lakini hawajui basic electronics imekaaje hiyo
 
Jamaa kasema ukweli kabisa , mwafrika atapata tabu sana kwenye uchumi wa pesa maana hizi ajira zitazidi kuwa finyu ..Fikiria sasa ni 2025 ila miaka mitano mbele ni 2030 kutakuwa na mageuzi makubwa ya kiteknolojia ; matumizi ya akili bandia ,robot zitakuwa nyingi.

Ukizaa watoto jiandae kuweka mazingira sawa wakubwa wa dunia wamedhamiria kupunguza idadi ya watu kwa umaskini...Mtajinyonga sana tena sana mpaka muache kuzaana.
 
Shida sio elimu shida mfumo wa kazi umekuwa si rahisi na ufanisi wa ajira.
Mfano leo watu wana heka zaidi 100 lakini serikali ijawai kuwathamini wala kuwa kingia kifua kwenye mikopo ili walime watafutiwe masoko.

Serikali inavyanzo vingi vya kutafuta ajira.
Mfano mpaka leo ijawai kufikiria uvuvi mkubwa wa samaki bahari ya hindi watu wenye pesa kununua meli kubwa za kuvua.
Serikali ilitakiwa kila mkoa kuwa na barabara za mikoa kuingiliana yani leo ukitaka kwenda mkoa fulani sio lazima upitie mkoa fulani.
 
Shida sio elimu shida mfumo wa kazi umekuwa si rahisi na ufanisi wa ajira.
Mfano leo watu wana heka zaidi 100 lakini serikali ijawai kuwathamini wala kuwa kingia kifua kwenye mikopo ili walime watafutiwe masoko.

Serikali inavyanzo vingi vya kutafuta ajira.
Mfano mpaka leo ijawai kufikiria uvuvi mkubwa wa samaki bahari ya hindi watu wenye pesa kununua meli kubwa za kuvua.
Serikali ilitakiwa kila mkoa kuwa na barabara za mikoa kuingiliana yani leo ukitaka kwenda mkoa fulani sio lazima upitie mkoa fulani.
Serikali inasisitiza mbolea ya minjingu badala ya kusisitiza uchimbaji wa visima maji yawepo in case mvua haipo. Serikali ya kijinga sana
 
Futa vyuo vyote sasa kama veta ndo kipaumbele cha hii ccm iliyokosa maarifa
 
Serikali inasisitiza mbolea ya minjingu badala ya kusisitiza uchimbaji wa visima maji yawepo in case mvua haipo. Serikali ya kijinga sana
Chama kilicho zoea kuwahadaa kila baada miaka 5 hakiwezi kufanya vitu vya miaka endelevu ambavyo kesho watashindwa kuombea au kufanyia kampeni
 
Yupo sawa, sawa na mtu umemaliza chuo na degree yako tena first class, ila unafanya kazi ya duka. Ukagundua kipato cha duka ni kikubwa kuliko kuajiriwa. Huyu mtu ni mjinga? Elimu imepanua mawazo yake kiulimwengu.
 
Achana na huyu Nandagala One

Jamaa analitaka jimbo la Ruangwa; shida yake kabla ya kuanza kutoa hongo kwa wajumbe; anahofia wajumbe wenyewe wana loyalty kwa Majaliwa ndio msingi wa mada zake.

Swala la elimu, sasa huyu Prof Mkenda mwenyewe wakati anazindua mkakati wake alipewa kim dmo cha kuacha porojo na kutoa hotuba.

Maana yake hiyo sera yenyewe hata kwenye baraza la mawaziri aikujadiliwa.

Sasa kama unajua lolote kuhusu strategy za nchi, maswala ya usalama wa taifa uwezi kuwa na sera isiyo-oana na dira ya taifa.

Ni hivi japo PM karopoka kutokana na mazingira husika, ila deep down nchi aina civil service imara.

Story ni ndefu, ila kwa kifupi nchi aina usalama wa taifa imara ndio msingi wa upuuzi.

Usalama wa taifa ni mchezo wa watu wenye akili, at senior level ni watu wenye uwezo wa long term strategic planning.

Ni hivi kazi ya kuongoza nchi sio rahisi.

Hatuko hapo kwa bahati mbaya, ila uwezo wetu mdogo wa kupanga mipango na watu tunaowapa nafasi.

Shida yetu ni uwezo.
 
Yupo sawa, sawa na mtu umemaliza chuo na degree yako tena first class, ila unafanya kazi ya duka. Ukagundua kipato cha duka ni kikubwa kuliko kuajiriwa. Huyu mtu ni mjinga? Elimu imepanua mawazo yake kiulimwengu.
Futa elimu tanzania maama serikali inaona haina maama tena iko tayri kukumbatia wajinga akina kibajaji na akina simba chawene (form four failures).
 
Back
Top Bottom