Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Pole kamanda ndo ukweli sina namnaMkuu umeua bend 🤣🤣🤣😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole kamanda ndo ukweli sina namnaMkuu umeua bend 🤣🤣🤣😂😂
Mkuu samahani sana,🤔🤔 hili ni jina tu, mi sio mwanakiji wa anapotoka PM, naomba sana usinasibishe jina la JF, content na jina la Kijiji Cha PM.Wewe jamaa mnamponda mwanakijiji mwenzako
Wewe jamaa unaponda mawazo ya mwanakijiji mwenzako
Ahaa nimekupongeza umenyoosha ruler 📏📐😂😂Pole kamanda ndo ukweli sina namna
Kwahiyo anatibua Bwawa??😂😂🤣🤣Ofcoz majaliwa anamaliza muda wake hana chakupoteza.
Kwa maneno mengine anachosema anamaanisha kuwa vyuo vikuu vyote vinavyotoa degree vifutwe vibaki vyuo vya VETA tuKama huyu PM anajua kuwa elimu ya VETA inamwezesha mtu wa degree kujiajiri...kwa nini basi wasibadili vyuo vikuu viwe vyuo vya VETA ila kuongeza wigo wa upatikanaji wa hiyo elimu?
Kwa hiyo hata ukiumwa utatibiwa hospitali na mtu wa darasa la saba aliyesoma VETA?Kumpeleka mtoto chuo kikuu chochote hapa Tanzania ni kupoteza pesa... mtoto akimaliza Darasa la saba mpeleke chuo cha ufundi... Mwekee hiyo pesa ya chuo kwenye account ya bank itamsaidia kama mtaji wa kujiajiri baada ya kupata ujuzi kwenye chuo cha ufundi...
Ajira haziwezi patikana kama elimu yenyewe sio bora.Nchi yetu bado Changa sana na wala huhitaji ufanisi mkubwa kivile,
Mfano, mdada anatengeneza lotion yake nyumbani, anatumia ndoo, wateja wamezidi kaongeza atatumia dishi kubwa, Wateja wamezidi zaidi, anatumia jaba ila hawezi tena kukoroga mkono inamuuma, anaenda SIDO ananunua machine ya kukoroga, haina kifaa chochote cha kisasa ni lipipipa tu kubwa lina nguzo katikati inasukumwa na mota inakoroga. Hili pipa linalokoroga lenye we ufanisi wake ni sawa na viwanda vya China? Hapana ila kwetu ni big deal.
Nchi hii ni rahisi kutoboa kwenye hizi elimu za ufundi zaidi kuliko chuo, 2025 hii bado asilimia kubwa ya wanaoenda vyuo wanafundishwa effect za colonialism na kwanini Wazungu walivamia Africa, masomo ya darasa la 5. Utegemee hawa watu kwa malaki wote waajiriwe?
Kwamba kilamtu akifikiria hivyo ni mtihani kwa taifa nikuulize ? Kuna shule za ufundi zaidi ya 20 Tanzania nzima Kuna vyuo vya veta inwezkn saivi vimefika kila wilaya impact yake ni ipi kwenye mchakato wa kumkwamua mtanzania maskini? SUA pale products zao zipoje kunusuru uchumi katk eneo la kilimo...nchi ambayo Haina sera Wala dira unahisi hat ukiend veta ndo utafanikiwa? Kama waowao wanakusomesha kwa mkopo then hawajui utaurudisha vipi then uende tu vetaNdio kwani Kila mtu atafanya ubunifu na ugunduzi wake
Umeona wapi waliohitimu VETA wanalalamika Ajira? By the way Bado Wilaya 60 Hazina VETA,Mkoa 1 hauna Veta na zile zilizokamilika ndani ya miaka 4 iliyopita Bado hazijawa well equiped.Kwamba kilamtu akifikiria hivyo ni mtihani kwa taifa nikuulize ? Kuna shule za ufundi zaidi ya 20 Tanzania nzima Kuna vyuo vya veta inwezkn saivi vimefika kila wilaya impact yake ni ipi kwenye mchakato wa kumkwamua mtanzania maskini? SUA pale products zao zipoje kunusuru uchumi katk eneo la kilimo...nchi ambayo Haina sera Wala dira unahisi hat ukiend veta ndo utafanikiwa? Kama waowao wanakusomesha kwa mkopo then hawajui utaurudisha vipi then uende tu veta
Huyo bado mnasikiliza na kumuamini, alisema tena msikitini Magufuli yuko imara na anachapa kazi kumbe anapigania uhai wake Mzena kwa siku ya sita mfululizo.
Hoja gani uliyotoa hapo zaidi ya utoto?Naona umeshindwa kujibu hoja!!! Ujinga ni mzigo 🤣🤣🤣
Haviwezi kufungwa ila vinabadilishwa Mitaala...kama ni hivyo vyuo vikuu vifungwe, au vibadilishwe kuwa veta.