Waziri Mkuu Majaliwa: Wenye degree kasomeni ufundi VETA mjiajiri
Hao wasomi wanatakiwa waandaliwe mapema kwa ujasiria Mali, sio kwa mfumo huu wa hati ya dharula!!
Tunajifunza Nini Katika Udahili Wa Engineer Noel Ngowi UDSM


View: https://m.youtube.com/watch?v=8PrIpQnASmM

Engineer Noel Ngowi asems mfumo umeamua kuwadharau watu wa FTC vyuo vya ufundi (full technician Certificate) na pia wale wa VETA, wakati kufanya hivyo ni makosa makubwa sana.... Degree ikiongezwa baadaye na FTC au VETA basi humfanya mhitimu wa degree kuwa na ufahamu mpana zaidi kwa kuongeza vitendo na ujuzi wa kiufundi juu ya nadharia ya kisayansi aliyohitimu katika digrii
 
Shida tunapenda kuambiwa uongo wenye kufurahisha kuliko ukweli unaoumiza

Amka ndugu, watu wamemaliza chuo wameenda kujifundisha kutengeneza magari, simu, kushona nguo nk na wanapata mahitaji yao ya msingi kiasi kwamba hata hizo ajira hawazotaki.


Bila shaka wewe ni wale mliojiwekea 100% ya kuajiriwa serikalini ndio maana imekuchoma sana
Watu waende kwa hiari yao, kauli ile ni kuonesha dharau kwa taaluma za vyuo vikuu!!!
 

Afrika inahitaji wajasiriamali wa Teknolojia wasomi wa chuo kikuu wenye ujuzi wa ufundi mchundo pia


View: https://m.youtube.com/watch?v=ZL04RbiL6r0

Engineer Noel K. Ngowi anasisitiza sana kuwa teknolojia ni sanaa, na yaani watu afrika waweze kutafsiri vitu nadharia katika uhasilia kutapowezesha wawepo wajasiriamali teknolojia watakaopelekea uzalishaji

Wajasiriamali ni watu wathubutu wanaoweza kutengeneza vitu halisi kupitia ubunifu katika teknolojia. Watu wanasoma sana nadharia huku wakikusanya vyeti lakini ukiwaambia wawe wajasiriamali teknolojia kama Bill Gates na rafiki yake Allen ni mfano wa wajasiriamali teknolojia na Afrika inahitaji aina ya watu kama kina Bill Gates wavumbuzi wa sanaa ya kuunda vitu halisi na kupelekea uanzishwaji kampuni, viwanda vidogo na vikubwa kuunda vitu halisi na kutoa ajira kwa wengi kupitia uthubutu wa aina ya wajasiriamali teknilojia .

Mtu mwingine ni Bw. Honda fundi makenika mchonga vyuma huko Japan hiyo nayo ni sanaa na iliyompelekea kuibuka kuwa mmoja wa wajasiriamali teknolojia tajwa duniani akabuni piston ring za Toyota na hakuishia hapo akaunda kiwanda cha pikipiki ambacho kilikuwa kikubwa na kufikia kutengeneza magari ya aina Honda na Robot, huyu bwana Honda ni mfano wa wajasiriamali teknolojia ambao siyo wasomi sana lakini wameleta mapinduzi ya viwandani na kutoa ajira nyingi viwandani ....

Chukueni hii wadogo zetu,tengenezeni ajira wengine
 
Wanajamvi Heshima kwenu,

Kwako Mh Dr Samia Suluhu Hassan Rais wetu mpendwa.

Nakuandikia kwa heshima na taadhima kuhusu kauli tata, aliyoitoa waziri Mkuu Majaliwa huko Tabora, kuwataka vijana wasomi wa vyuo vikuu kujiunga na vyuo vya VETA Kusomea ufundi wa fani mbalimbali.

Kwa upeo wangu wa kutafakari mambo naona Waziri Mkuu amevuka mstari,kwa kauli aliyoitoa.
Ni kauli

Mosi ya kudharau kada mbalimbali zilizosomewa na vijana chuo KIKUU mpaka kuwataka waziache.

Kada kama uhasibu, uhandisi ,Udaktari, Ujiolojia,ualimu, Procurement kuzitaja chache.

Watu hao juu wametumia muda mwingi,pesa kusoma kidato Cha kwanza mpaka Cha sita, Kisha miaka mitatu mpka minne chuo KIKUU.

Hili ni group kubwa la wanazuoni ambao wapo mtaani hawana ajira,walipokuwa wanasoma walikuwa na malengo yao,

Walijua kabisa VETA zipo, ukweli kuhusu VETA ni kada ya kati ya kawaida iliyokuwa na malengo ya kutoa skills study kwa ajili ya kujiajiri, kwa namna ya pekee watu ambao waliishia darasa la saba zamani, lakini sasa kidato Cha nne, ambao hawakuweza kuendelea na masomo ya juu ili wajiajiri.

Mh Rais mashaka yangu ni kuwa Kuna ombwe kubwa la ajira nchini, safari hii wapiga kura wengi nchini ni vijana, ambao hawana ajira.

Kwa Nini kauli kama hii inatoka kuelekea uchaguzi mkuu?? sio nzuri, itachochea chuki kwa vijana wasio na ajira ambao Bado wana matumaini na serikali Yako.

Kwa namna ilivyo vijana hao wamekuwa underrated, hadhi ya degree za vyuo vikuu ni bure, haina maana, mpaka leo hii vijana hao washauriwe kusomea ufundi🤔🤔🤔

Mwisho Mwishoni natamani Waziri Mkuu ajitafakari, na Mama kama mkuu wa nchi utafakari hii kauli tata, ambayo kwangu mimi kama mtanzania inatosha kwa Waziri Mkuu kukaaa pembeni baada ya Bunge kuvunjwa.

Ni imani yangu ujumbe huu utafika mezani kwako, kwa wewe mwenyewe kusoma, au kupitia wasaidizi wako.

Nandagala One -Mpumalanga South Africa.
Nawaza tu msomi mwenye degree au masters anaingia Veta kusomea ufundi baiskeli au ufundi carpenter ajifunze kuchonga majeneza huku anakutana na sisi tuliofeli darasa la nne miaka hiyo tukaingia mtaani kupiga dili za wizi wa mafuta ya transformer na ukabaji kisha tukastaafu na kujifunza ufundi mtaani halafu tukaanza kupiga hela halafu msomi wa chuo anakuja kusoma veta kisha aje mtaani tumfundishe mbinu za kupiga hela kwenye ufundi😂😂😂hii nchi ngumu sana
 
Vyuo vikuu vianze kutoa shahada/degree za amali..!

Wasome nadharia kwanza kisha baada ya kuhitimu degree waende VETA au FTC wawe wabobezi wa vitendo na ubunifu utakaopelekea kujiajiri au kuwa mahiri wakiajiriwa

NOEL NGOWI - ELIMU YETU INAANDAA WATAWALA BADALA YA WANA TEKNOLOJIA

View: https://m.youtube.com/watch?v=9w4QzgQ4Wtg
Anafafanua engineer Noel Ngowi.. uzoefu wa miaka 45 wa ujuzi kwa vitendo ndiyo utakaoleta ....
 
Nina mashaka na taaluma ya mtoa mada! sauti yako inaashiria wazi unasukumwa na hisia za uchonganishi. Ikiwa una kili wazi kwamba ameshusha hadhi ya wasomi hiki ulichoandika kama utetezi ndicho ulichobeba kichwani au ndicho ulichoshibishwa?
Kuna haja kubwa kwa wenye uwezo wa kuchambua mambo watoe elimu nini tofaut ya elimu na Maarifa!
Kwa uwezo wangu mdogo nimegundua ipo haja tujifunze kuchambua maoni ya watu yanayotumwa kwa nyinyi wasomi.
Nimependezwa Sana kwa jinsi unavyoo onyesha jamii wewe ni mtu wa Aina gani na mwenye upeo wa Aina gani. Sijadharau wala kupinga Hoja yako, wasomi wanatetewa watumie elimu zao kupambana na Maarifa mengine wewe umegeuza Hoja kisiasa yenye lengo uchonganishi. Jitafakali Meza mate ya akili.
Naunga mkono hoja
 
Wanajamvi Heshima kwenu,

Kwako Mh Dr Samia Suluhu Hassan Rais wetu mpendwa.

Nakuandikia kwa heshima na taadhima kuhusu kauli tata, aliyoitoa waziri Mkuu Majaliwa huko Tabora, kuwataka vijana wasomi wa vyuo vikuu kujiunga na vyuo vya VETA Kusomea ufundi wa fani mbalimbali.

Kwa upeo wangu wa kutafakari mambo naona Waziri Mkuu amevuka mstari,kwa kauli aliyoitoa.
Ni kauli

Mosi ya kudharau kada mbalimbali zilizosomewa na vijana chuo KIKUU mpaka kuwataka waziache.

Kada kama uhasibu, uhandisi ,Udaktari, Ujiolojia,ualimu, Procurement kuzitaja chache.

Watu hao juu wametumia muda mwingi,pesa kusoma kidato Cha kwanza mpaka Cha sita, Kisha miaka mitatu mpka minne chuo KIKUU.

Hili ni group kubwa la wanazuoni ambao wapo mtaani hawana ajira,walipokuwa wanasoma walikuwa na malengo yao,

Walijua kabisa VETA zipo, ukweli kuhusu VETA ni kada ya kati ya kawaida iliyokuwa na malengo ya kutoa skills study kwa ajili ya kujiajiri, kwa namna ya pekee watu ambao waliishia darasa la saba zamani, lakini sasa kidato Cha nne, ambao hawakuweza kuendelea na masomo ya juu ili wajiajiri.

Mh Rais mashaka yangu ni kuwa Kuna ombwe kubwa la ajira nchini, safari hii wapiga kura wengi nchini ni vijana, ambao hawana ajira.

Kwa Nini kauli kama hii inatoka kuelekea uchaguzi mkuu?? sio nzuri, itachochea chuki kwa vijana wasio na ajira ambao Bado wana matumaini na serikali Yako.

Kwa namna ilivyo vijana hao wamekuwa underrated, hadhi ya degree za vyuo vikuu ni bure, haina maana, mpaka leo hii vijana hao washauriwe kusomea ufundi🤔🤔🤔

Mwisho Mwishoni natamani Waziri Mkuu ajitafakari, na Mama kama mkuu wa nchi utafakari hii kauli tata, ambayo kwangu mimi kama mtanzania inatosha kwa Waziri Mkuu kukaaa pembeni baada ya Bunge kuvunjwa.

Ni imani yangu ujumbe huu utafika mezani kwako, kwa wewe mwenyewe kusoma, au kupitia wasaidizi wako.

Nandagala One -Mpumalanga South Africa.
Kwan tokea lini kura ya mtanzania ikawa na nguvu ya kuchagua kwenye uchaguzi mkuu!
 
Wanajamvi Heshima kwenu,

Kwako Mh Dr Samia Suluhu Hassan Rais wetu mpendwa.

Nakuandikia kwa heshima na taadhima kuhusu kauli tata, aliyoitoa waziri Mkuu Majaliwa huko Tabora, kuwataka vijana wasomi wa vyuo vikuu kujiunga na vyuo vya VETA Kusomea ufundi wa fani mbalimbali.

Kwa upeo wangu wa kutafakari mambo naona Waziri Mkuu amevuka mstari,kwa kauli aliyoitoa.
Ni kauli

Mosi ya kudharau kada mbalimbali zilizosomewa na vijana chuo KIKUU mpaka kuwataka waziache.

Kada kama uhasibu, uhandisi ,Udaktari, Ujiolojia,ualimu, Procurement kuzitaja chache.

Watu hao juu wametumia muda mwingi,pesa kusoma kidato Cha kwanza mpaka Cha sita, Kisha miaka mitatu mpka minne chuo KIKUU.

Hili ni group kubwa la wanazuoni ambao wapo mtaani hawana ajira,walipokuwa wanasoma walikuwa na malengo yao,

Walijua kabisa VETA zipo, ukweli kuhusu VETA ni kada ya kati ya kawaida iliyokuwa na malengo ya kutoa skills study kwa ajili ya kujiajiri, kwa namna ya pekee watu ambao waliishia darasa la saba zamani, lakini sasa kidato Cha nne, ambao hawakuweza kuendelea na masomo ya juu ili wajiajiri.

Mh Rais mashaka yangu ni kuwa Kuna ombwe kubwa la ajira nchini, safari hii wapiga kura wengi nchini ni vijana, ambao hawana ajira.

Kwa Nini kauli kama hii inatoka kuelekea uchaguzi mkuu?? sio nzuri, itachochea chuki kwa vijana wasio na ajira ambao Bado wana matumaini na serikali Yako.

Kwa namna ilivyo vijana hao wamekuwa underrated, hadhi ya degree za vyuo vikuu ni bure, haina maana, mpaka leo hii vijana hao washauriwe kusomea ufundi🤔🤔🤔

Mwisho Mwishoni natamani Waziri Mkuu ajitafakari, na Mama kama mkuu wa nchi utafakari hii kauli tata, ambayo kwangu mimi kama mtanzania inatosha kwa Waziri Mkuu kukaaa pembeni baada ya Bunge kuvunjwa.

Ni imani yangu ujumbe huu utafika mezani kwako, kwa wewe mwenyewe kusoma, au kupitia wasaidizi wako.

Nandagala One -Mpumalanga South Africa.
Kwa kauli hii napendekeza vyuo vikuu vifungwe ,maana uwezo wa kuwahudumia wahitimu wa vyuo vikuu tumeshindwa .

Why usianzishwe mfuko maalum wa wahitimu kwamba wakopeshwe mitaji badala yake tunataka waende veta, hivi nchi hii inashindwa kweli kumpa kila mhitim m20 baada ya kuwakilisha proposal yake kama hajapata ajira ili kujiajiri kweli kama mkopo ? ili pale apatapo ajira anaanza kukatwa kidogodogo kama ilivyo mkopo wa elim ya juu?

kauli ya Waziri mkuu wenda alikua na nia flani nzuri ila hakufikiria kwa mapana yake.

Tz hili linawezekanika ,chukulia tuna mv8 mangapi na kama moja ni m400 na kuendelea hapo unakua umetoa mkopo kwa watu wangapi?

waziri mkuu nataka kuonana na wewe nikueleze jambo muhim juu ya vijana hawa so nipe utaratibu wa kukuona ,hope upo humu naomba unijibu
 
Mzee acha siasa za kipuuzi tupo huku mtaani hali halisi tunaiona huu unao andika ni upuuzi mwingine kama aliosema katelefoni huwezi tatua tatizo la ajira kwa kuongea kirahisi rahisi tu hivi mnavofanya
Naifahamu vizuri hiyo kazi ya ushonaji kazi nyingine informal na zimeajiri maelfu kwa maelfu ya watu, siongelei hata mafundi wa mtaani wanaopinda Suruali na Shati, naongelea mafundi ambao wanapata hela kushinda 99% ya hao wafanyakazi wa wa Ofisini.

Nimekupa tu mfano nenda CBE Cabs pale uone mafundi wanavyopiga kazi, Shuka na foronya 2 wanashona kwa 2000. Ama nenda Kkoo Swahili Plaza na Maeneo ya karibu tembelea jamaa wanaoshona vijora, Nenda Kkoo Mitaa ya Qiblatain msikitini uone watu wanavyopiga Pazia, Fundi kakosa sana ataondoka na 20,000 ila fundi mzuri anaweza pata hadi 50K-200K kwa siku kutegemea na speed yake.

So siongei kwa kuhadithiwa nipo kwenye hio field anayoongelea Pm, issue za kuajiriwa nishakimbia siku nyingi tu.

Toka mtaani, hizo kazi huzipati kitaa kajichanganye kkoo, Mjini, field kwengine.
 
Mkuu hakuna ugomvi kwa Waziri Mkuu Majaliwa wala mleta hoja na wachangiaji.
Majaliwa kaleta UFUNUO wa ajira.

Tusibeze kwa kuwa kuna wakati elimu ya aina fulani haileti chakula mezani.
Barabarani usiku unakuta biashara ya ngono na watu wenye hata degree ya ualimu.
Bahati nzuri siku hizi kupata maarifa sio lazima uende shule au chuo ukalili miaka kadha halafu wakupe cheti,ambacho wakati mwingine utasota hata miaka kadhaa bila ajira.
Jibu la msingi ni kufanya kazi itayokupa mkate regardless of what.
Ni wakati wa kutafakari elimu na mafunzo yatolewayo kama yanaendana ma wakati wa leo.
Upo sahihi Mkuu

Muhimu tuchukue njia sahihi Kwa mustakabali wa Vijana wetu
 
Naifahamu vizuri hiyo kazi ya ushonaji kazi nyingine informal na zimeajiri maelfu kwa maelfu ya watu, siongelei hata mafundi wa mtaani wanaopinda Suruali na Shati, naongelea mafundi ambao wanapata hela kushinda 99% ya hao wafanyakazi wa wa Ofisini.

Nimekupa tu mfano nenda CBE Cabs pale uone mafundi wanavyopiga kazi, Shuka na foronya 2 wanashona kwa 2000. Ama nenda Kkoo Swahili Plaza na Maeneo ya karibu tembelea jamaa wanaoshona vijora, Nenda Kkoo Mitaa ya Qiblatain msikitini uone watu wanavyopiga Pazia, Fundi kakosa sana ataondoka na 20,000 ila fundi mzuri anaweza pata hadi 50K-200K kwa siku kutegemea na speed yake.

So siongei kwa kuhadithiwa nipo kwenye hio field anayoongelea Pm, issue za kuajiriwa nishakimbia siku nyingi tu.

Toka mtaani, hizo kazi huzipati kitaa kajichanganye kkoo, Mjini, field kwengine.
Acha kuleta blah blah nyingi za kijinga katika suala serious hili linalolikumba taifa kwa sasa kuhusu huu ukosefu wa ajira kwa kuleta mifano ya kipuuzi kama njia ya kuondokana na shida hii.

Unaandika kirahisi rahisi tu
 
Ufanisi wake umewahi zingatia?
Nchi yetu bado Changa sana na wala huhitaji ufanisi mkubwa kivile,

Mfano, mdada anatengeneza lotion yake nyumbani, anatumia ndoo, wateja wamezidi kaongeza atatumia dishi kubwa, Wateja wamezidi zaidi, anatumia jaba ila hawezi tena kukoroga mkono inamuuma, anaenda SIDO ananunua machine ya kukoroga, haina kifaa chochote cha kisasa ni lipipipa tu kubwa lina nguzo katikati inasukumwa na mota inakoroga. Hili pipa linalokoroga lenye we ufanisi wake ni sawa na viwanda vya China? Hapana ila kwetu ni big deal.

Nchi hii ni rahisi kutoboa kwenye hizi elimu za ufundi zaidi kuliko chuo, 2025 hii bado asilimia kubwa ya wanaoenda vyuo wanafundishwa effect za colonialism na kwanini Wazungu walivamia Africa, masomo ya darasa la 5. Utegemee hawa watu kwa malaki wote waajiriwe?
 
Back
Top Bottom