Kuna nguvu 2 tu zinainua Mtu kimaisha.

Kuinuliwa huko kunaweza kumfanya mtu husika asahau alipotoka.

Hizi nguvu 2 ni
1. Nguvu ya MUNGU
2. Nguvu ya IBILISI
Mara nyingi NGUVU YA IBILISI iliyomuinua Mtu kimaisha huwa Ina tabia na mazoea ya kumfanya Mtu asahau alipotoka mpaka alipo.

Ni mara chache sana kukuta Mtu aliyeinuliwa na nguvu ya Mungu kutema nyongo kama hizo☺️☺️
 
Amekua mganga sasa...... akajakua mfanya biashara wa duka na tigo pesa na baadae life ni konyooo
Duuu kumbee sikujua hiyo ya uganga, kuhusu duka, mambo ya miamala najua!!! Inapendeza Kiongozi!!πŸ™πŸ™πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…