Waziri Mkuu Majaliwa: Wenye degree kasomeni ufundi VETA mjiajiri
Kwani haiwezekani kuwa daktari na ukawa mjasilia mali ?
Siku ya pili PM aliendelea kukazia kauli yake. Akatolea mfano kule Mbeya au Iringa(sikumbuki vizuri) kulikuwa na dada graduate alienda VETA kujifunza ususi. Kisha akaanzisha saloon yake kubwa tu. Sasa huyu kusomea ususi kama mult skills kuna mnyima nini kuitumia degree yake?

Kosa la Majaliwa anawashauri watu wavivu wanaosubiri kazi za maofisini. Niliwahi kumwambia mwanangu kama muda unarudi nyuma nisingeenda University kusoma uhasibu. Baada ya form four ningeenda VETA au chuo cha kilimo
 
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa akizungunza na wakazi wa Igunga, Tabora.

"Tumeendelea kuimarisha sekta ya elimu, Muheshimiwa mbunge ulisema unahitaji VETA tumeleta VETA, hizi VETA tumezijenga ili wewe ukasomee ufundi utusaide katika shughuli za ujasiriamali VETA ile sio tu ya kijana wa darasa la 7 hata wewe uliyemaliza Degree uwe mtaalamu wa Kompyuta nenda kajifunze kushona nguo, uwe fundi cherehani, nenda kajifunze ufundi umeme uwe fundi umeme kwahiyo hata mwanafunzi wa chuo kikuu anaweza kwenda kusoma VETA kwasababu pale unasemea ufundi"



My Take
Broilers wote mumepewa Mchongo,hamtaki acheni.

View: https://x.com/Jambotv_/status/1900251280368439576?t=1ETPaGpqQEPSYA7o4mkSJA&s=19

Naombeni kujua waziri mkuu ana elimu Gani?
 
A
Uandishi umetulia sana nipo zangu Namburukutwa hapa mlimani naelekea chimbila B ila itabidi nipite Nandagala sokoni kuona hali ipoje nirudi mpilipili kuangalia vitunguu.
[/QU
Uandishi umetulia sana nipo zangu Namburukutwa hapa mlimani naelekea chimbila B ila itabidi nipite Nandagala sokoni kuona hali ipoje nirudi mpilipili kuangalia vitunguu.
Duuu shukrani 😅😅 Msalimie sana mzee,wasalimie wadau hapo akina Mburushi,Muba, Kubanga, Said Hamis Said fundi,Kamili philipo,Badi na Mtongole!! hao ni wadau Muhimu sana hapo Nandagala 😅😅😅😅
 
Hivi mlisikikiza vzr speech ama mnanukuu kama mnavyo fikilia tu coz sijaona tatizo la kauli ya wazir mkuu ama ni kutafuta trend tu, kuna degree gani zinaendesha bodaboda mtaani ? Ebu muacheni mzee wa watu
Alieleweka vizuri ,labda wewe hukumwelewa
 
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa akizungunza na wakazi wa Igunga, Tabora.

"Tumeendelea kuimarisha sekta ya elimu, Muheshimiwa mbunge ulisema unahitaji VETA tumeleta VETA, hizi VETA tumezijenga ili wewe ukasomee ufundi utusaide katika shughuli za ujasiriamali VETA ile sio tu ya kijana wa darasa la 7 hata wewe uliyemaliza Degree uwe mtaalamu wa Kompyuta nenda kajifunze kushona nguo, uwe fundi cherehani, nenda kajifunze ufundi umeme uwe fundi umeme kwahiyo hata mwanafunzi wa chuo kikuu anaweza kwenda kusoma VETA kwasababu pale unasemea ufundi"



My Take
Broilers wote mumepewa Mchongo,hamtaki acheni.

View: https://x.com/Jambotv_/status/1900251280368439576?t=1ETPaGpqQEPSYA7o4mkSJA&s=19

Kweli veta ni kusomea ufundi je hiyo digree yake amesomea nini? Mnatuambia tu digree, master, PhD, ndo kasomea nini huyu? Dahh
 
Shida zenu vijana mna degree za kukalili ila uwezo wenu ni mdogo nendeni VETA mkapate ujuzi. Degree kwa sasa si kitu cha kujisifia tunachoangalia una ujuzi gani?
 
Kufuatia agizo la Mheshimiwa inafaa UDSM wawe campus ya mafunzo ya VETA na si University kama ilivyo sasa
 

Attachments

  • 5997633-9038aa1b15c7be1384cf6f9c1d62664b.mp4
    1.4 MB
La kununua Umeme Ethiopia ndiyo tumeliweka chini tumehamia kwenye hilo la VETA?
 
Naaam! Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza kwa Akili yangu Timamu kabisa na kwa Moyo mkunjufu bila kificho naunga mkono kauli ya Muheshimiwa Waziri mkuu Kasimu Majaliawa Kuwa vijana waliomaliza vyuo vikuu wajiunge na chuo Cha Ufundi VETA ili kuongeza ujuzi zaidi

Hilo sipingi Lakini pia Nina maombi yangu binafsi kama Wahusika wakuu Itawapendeza basi walifanyie kazi.

Nayo ni kuongeza course ya Uchawa, uchawa ni kujikomba kwa mtu na kumsifia mtu/kitu kwa sifa ambazo hastahili kuwepo Nazo na Hana kabisa wahenga husema ni kupaka mafuta kwa Mgongo Wa Chupa.

Kwa nini nimependekeza hii course itolewe kwenye vyuo?!!

Watu tunaoamini ni maarufu katika mitandao na weupe kichwani Kila nikifungulia redio, tv na nk Lazima niwaone hata kwenye vitu serious vya kitaifa kama Sekta ya madini, Mizunguko ya Rais Hawa watu hawakosi mpaka najiuliza Wao ni wakina nani?!!!

Wanajiita influencer, Kila sehemu wapo mpaka Unajiuliza hivi Hawa wanapata muda Wa kupumnzika kweli ??? Kuangalia familia zao n.k

My take : kama Taifa limeamua kuwatumia Hawa watu (MACHAWA) basi tunapaswa kuongeza course kwenye mavyuo ili vijana wakimbilie kujifunza zaidi.
 
Aiseee,Tulijua umekufa bwana.long time ago tangu muwaogope wazee na mbuzu
 
Hahahhaha Umemsahau Al wattan mzee wa peku peku Bwana Alambwiye hahahhahaha
😅😅😅 Alambwiye,

usisahau Cheni,Kondi,Moshi,Benja, Kubanga, na alwatani Dekecha Pusha aliyekula mvua nyingi jela ,

Usisahau pia akina Timbuktu Leki!! na Tasiro Debe 🤔🤔🤣🤣🤣
 
Shida zenu vijana mna degree za kukalili ila uwezo wenu ni mdogo nendeni VETA mkapate ujuzi. Degree kwa sasa si kitu cha kujisifia tunachoangalia una ujuzi gani?
Degree sio ujuzi??
 
Back
Top Bottom