Waziri Mkuu Majaliwa: Wenye degree kasomeni ufundi VETA mjiajiri
Majaliwa ametoa ushauri tu. Lakini sio vibaya mtu mwenye degree kwenda veta akapate ujuzi,
Just imagine mtu kasomea udaktari bingwa let's say wa moyo for five good years, then paa... from nowhere umwambie nenda tena veta kasomee ufundi welding....🤔🤔 does it make sense?. Kwa mfano mimi ningemwelewa pm endapo pm angepeleka hoja bungeni kufanyiwe reform kwenye eneo la elimu kwamba mtoto akimaliza secondary au advanced sec aende moja kwa moja kwenye vyuo anuwai/ veta apate ujuzi wa ufundi kabla ya kujiunga na elimu ya juu.. ili endapo hata akimaliza degree halafu mambo ya ajira yakaleta mapichapicha huko baadaye, anakuwa na backup au plan B kwakuwa tayari ana ujuzi alioupata veta.
 
wavivu daima hawapendi kuskia ukweli kama alioutoa kiongozi huyu wa Kitaifa.

my friends, ladies and gentlemen,
bila kua na ujuzi utakua mnyonge wa kiuchumi mwenye mihemko maisha yako yote,

nenda kachote ujuzi veta na uje shambani kwenye kilimo na ufugaji biashara kuinjoy utajiri wa Taifa letu 🐒
Watoto wao pia wanaenda VETA? Ama wao wanapata kazi TRA, BoT, usalama wa Taifa, bungeni nk?
 
Watoto wao pia wanaenda VETA? Ama wao wanapata kazi TRA, BoT, usalama wa Taifa, bungeni nk?
VETA ni kwa manufaa ya wote gentleman bila kujali ni mtoto wa nani.
Infact watoto wa viongozi wengi wa kitaifa wamo mule wakijifunza fani na ujuzi mbalimbali ikiwa ni pamoja na udereva 🐒
 
AMEWAAMBIA UKWELI, ILA NDIO HIVYO UNAUMA SANA, LENGO LAKE HAPO ANAWAASA VIJANA WENYE DEGREE MNAOSUBIRI AJIRA KASOMEENI UFUNDI VETA MJIAJIRI
 
VETA ni kwa manufaa ya wote gentleman bila kujali ni mtoto wa nani.
Infact watoto wa viongozi wengi wa kitaifa wamo mule wakijifunza fani na ujuzi mbalimbali ikiwa ni pamoja na udereva 🐒
Nitumie picha ya mtoto wa Majaliwa akiwa kwenye darasa la VETA akijifunza ujuzi.
 
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa akizungunza na wakazi wa Igunga, Tabora.

"Tumeendelea kuimarisha sekta ya elimu, Muheshimiwa mbunge ulisema unahitaji VETA tumeleta VETA, hizi VETA tumezijenga ili wewe ukasomee ufundi utusaide katika shughuli za ujasiriamali VETA ile sio tu ya kijana wa darasa la 7 hata wewe uliyemaliza Degree uwe mtaalamu wa Kompyuta nenda kajifunze kushona nguo, uwe fundi cherehani, nenda kajifunze ufundi umeme uwe fundi umeme kwahiyo hata mwanafunzi wa chuo kikuu anaweza kwenda kusoma VETA kwasababu pale unasemea ufundi"



My Take
Broilers wote mumepewa Mchongo,hamtaki acheni.

View: https://x.com/Jambotv_/status/1900251280368439576?t=1ETPaGpqQEPSYA7o4mkSJA&s=19

🤔🤔🤔
 
Nitumie picha ya mtoto wa Majaliwa akiwa kwenye darasa la VETA akijifunza ujuzi.
hiyo haina maana hata kidogo gentleman,

na nimeeleza kinagaubaga kwamba wapo watoto wa viongozi mbalimbali waandamizi wanasoma ujuzi na fani mbalimbali veta ikiwa ni pamoja na udereva.

Zingatia hilo, hilo la picha nadhani ni kinyume na sheria 🐒
 
Just imagine mtu kasomea udaktari bingwa let's say wa moyo for five good years, then paa... from nowhere umwambie nenda tena veta kasomee ufundi welding....🤔🤔 does it make sense?. Kwa mfano mimi ningemwelewa pm endapo pm angepeleka hoja bungeni kufanyiwe reform kwenye eneo la elimu kwamba mtoto akimaliza secondary au advanced sec aende moja kwa moja kwenye vyuo anuwai/ veta apate ujuzi wa ufundi kabla ya kujiunga na elimu ya juu.. ili endapo hata akimaliza degree halafu mambo ya ajira yakaleta mapichapicha huko baadaye, anakuwa na backup au plan B kwakuwa tayari ana ujuzi alioupata a

Nitumie picha ya mtoto wa Majaliwa akiwa kwenye darasa la VETA akijifunza ujuzi.
Mwamba kafight kumtengenezea future mtoto wake, angekaa goigoi na yeye angekuwa analia lia humu mtandaoni. Kutoboa ni process kama hukuvikuta kwenu vya urithi.
 
be free kutumia ya uingereza au ya marekani gentleman 🐒
1000028270.jpg
 
Just imagine mtu kasomea udaktari bingwa let's say wa moyo for five good years, then paa... from nowhere umwambie nenda tena veta kasomee ufundi welding....🤔🤔 does it make sense?. Kwa mfano mimi ningemwelewa pm endapo pm angepeleka hoja bungeni kufanyiwe reform kwenye eneo la elimu kwamba mtoto akimaliza secondary au advanced sec aende moja kwa moja kwenye vyuo anuwai/ veta apate ujuzi wa ufundi kabla ya kujiunga na elimu ya juu.. ili endapo hata akimaliza degree halafu mambo ya ajira yakaleta mapichapicha huko baadaye, anakuwa na backup au plan B kwakuwa tayari ana ujuzi alioupata veta.
Wabongo mkiacha kukalili maisha mtatoboa. Doktari unapigwa doro kweli! Tokeni huko mjini mlipojazana bila kazi yeyote huku vijijini watu wanatafuta huduma za afya kwa gharama yeyote.
 
Labla alimaanisha elimu ya chuo ni nadharia kuliko ya veta ambayo ni ya vitendo.

Anyway, naomba kujua chuo cha veto kinachotoa msosi 😭
 
K
Kwa hiyo tunakubaliana kuwa elimu ya juu kabisa hapa Tanzania ni elimu ya VETA.

Hata maprofesa waende VETA wakajifunze kushona kwa cherehani..😂😂
akina Mkapa na wenzie aliokuwa nao kwa Government Enzi zake Wasinge yabinafsisha yale maviwanda na mashirika mbali mbali aliyokuwa ameyaacha Mwalimu leo shida hizi za kazi kwa magraduates zisingekuwepo ! 😳 !

Wakajidanganya kuingia kwenye Utandawazi kitu ambacho mimi nilikuwa nikikiita tangu Enzi zile kuwa huo ni UTANDAWIZI TU !

Watu wenye kufanya maamuzi wakaingia kwenye mfumo kila kitu kikavurugwa !

Baadaye eti mtu anaandika kitabu na Eti kujutia kile alichokifanya ! 😳
Na inakuwa basi yameisha 😳😳😳🙄🙄🙄 !
 
Majaliwa na akili zake ndogo eti wanampa uwaziri mkuu
 
Back
Top Bottom