Cobra70
Senior Member
- Jan 2, 2020
- 178
- 376
Sijawahi kuona ndio nasikia kwako, nnaowafahamu wote sio watoto wa mama namaanisha wavivu wengi wao wapo kwenye makampuni, wamefungua vijiwe vya kazi au wamejiunga kwenye vikundi vya ufundi na wanatafuta lidhiki kutokana na ujuzi wao.Kuna vijana kibao wiliomaliza veta hawana kazi na hao serikali inawasaidiaje