Waziri Mkuu Majaliwa: Wenye degree kasomeni ufundi VETA mjiajiri
Habari!

Elimu ya VETA tunaweza kuiita elimu ya kati. Wakufuzi wake ni wahitimu wa elimu za juu. Wapo pia wakufuzi wenye elimu ya kati, nawafahamu.

Bahati mbaya kauli ya Majaliwa haijawataja hao wenye degree anataka waenda VETA ni degree za fani gani, na je, nini hatma ya elimu yao ya degree.

Huko VETA wakasome kozi za mda gani? Kwa lengo gani? Nani atagharamia ada na mahitaji mengine na nini hatma ya elimu yao ya VETA ikiwa hatma ya degree zao haijapatikana?

Mh. Samia usiogope gharama ya kuvunja bunge kwa kumtimua huyo Mh. Majaliwa.
Majaliwa ni jirani yangu huko Lindi ila kwenye mambo ya kitaifa Mimi sina jirani. Timua kabisa ili kuwepo na funzo kwa viongozi wengine waache kuongea kwa misisimko.

NJE YA MADA

Kama kuna mtoto wa Kiongozi mteule wa Rais anasoma VETA mje mnipige ngumi 4 za puani niko hapa TAZARA Dar es salaam nawasubiri.

Achana na watoto wa vichochoroni, nazungumzia mtoto aliyekulia nyumba za bure za viongozi.
Huyo Waziri Mkuu mbona yeye hakwenda kusoma VETA mara baada ya kumaliza certificate yake ya ualimu?
 
Wanajamvi Heshima kwenu,

Kwako Mh Dr Samia Suluhu Hassan Rais wetu mpendwa.

Nakuandikia kwa heshima na taadhima kuhusu kauli tata, aliyoitoa waziri Mkuu Majaliwa huko Tabora, kuwataka vijana wasomi wa vyuo vikuu kujiunga na vyuo vya VETA Kusomea ufundi wa fani mbalimbali.

Kwa upeo wangu wa kutafakari mambo naona Waziri Mkuu amevuka mstari,kwa kauli aliyoitoa.
Ni kauli

Mosi ya kudharau kada mbalimbali zilizosomewa na vijana chuo KIKUU mpaka kuwataka waziache.

Kada kama uhasibu, uhandisi ,Udaktari, Ujiolojia,ualimu, Procurement kuzitaja chache.

Watu hao juu wametumia muda mwingi,pesa kusoma kidato Cha kwanza mpaka Cha sita, Kisha miaka mitatu mpka minne chuo KIKUU.

Hili ni group kubwa la wanazuoni ambao wapo mtaani hawana ajira,walipokuwa wanasoma walikuwa na malengo yao,

Walijua kabisa VETA zipo, ukweli kuhusu VETA ni kada ya kati ya kawaida iliyokuwa na malengo ya kutoa skills study kwa ajili ya kujiajiri, kwa namna ya pekee watu ambao waliishia darasa la saba zamani, lakini sasa kidato Cha nne, ambao hawakuweza kuendelea na masomo ya juu ili wajiajiri.

Mh Rais mashaka yangu ni kuwa Kuna ombwe kubwa la ajira nchini, safari hii wapiga kura wengi nchini ni vijana, ambao hawana ajira.

Kwa Nini kauli kama hii inatoka kuelekea uchaguzi mkuu?? sio nzuri, itachochea chuki kwa vijana wasio na ajira ambao Bado wana matumaini na serikali Yako.

Kwa namna ilivyo vijana hao wamekuwa underrated, hadhi ya degree za vyuo vikuu ni bure, haina maana, mpaka leo hii vijana hao washauriwe kusomea ufundi🤔🤔🤔

Mwisho Mwishoni natamani Waziri Mkuu ajitafakari, na Mama kama mkuu wa nchi utafakari hii kauli tata, ambayo kwangu mimi kama mtanzania inatosha kwa Waziri Mkuu kukaaa pembeni baada ya Bunge kuvunjwa.

Ni imani yangu ujumbe huu utafika mezani kwako, kwa wewe mwenyewe kusoma, au kupitia wasaidizi wako.

Nandagala One -Mpumalanga
South Africa
Uandishi umetulia sana nipo zangu Namburukutwa hapa mlimani naelekea chimbila B ila itabidi nipite Nandagala sokoni kuona hali ipoje nirudi mpilipili kuangalia vitunguu.
 
Habari!

Elimu ya VETA tunaweza kuiita elimu ya kati. Wakufuzi wake ni wahitimu wa elimu za juu. Wapo pia wakufuzi wenye elimu ya kati, nawafahamu.

Bahati mbaya kauli ya Majaliwa haijawataja hao wenye degree anataka waenda VETA ni degree za fani gani, na je, nini hatma ya elimu yao ya degree.

Huko VETA wakasome kozi za mda gani? Kwa lengo gani? Nani atagharamia ada na mahitaji mengine na nini hatma ya elimu yao ya VETA ikiwa hatma ya degree zao haijapatikana?

Mh. Samia usiogope gharama ya kuvunja bunge kwa kumtimua huyo Mh. Majaliwa.
Majaliwa ni jirani yangu huko Lindi ila kwenye mambo ya kitaifa Mimi sina jirani. Timua kabisa ili kuwepo na funzo kwa viongozi wengine waache kuongea kwa misisimko.

NJE YA MADA

Kama kuna mtoto wa Kiongozi mteule wa Rais anasoma VETA mje mnipige ngumi 4 za puani niko hapa Ilala Dar es salaam nawasubiri.

Achana na watoto wa vichochoroni, nazungumzia mtoto aliyekulia nyumba za bure za viongozi.
View attachment 3270105
Kuna nguvu 2 tu zinainua Mtu kimaisha.

Kuinuliwa huko kunaweza kumfanya mtu husika asahau alipotoka.

Hizi nguvu 2 ni
1. Nguvu ya MUNGU
2. Nguvu ya IBILISI

Mara nyingi NGUVU YA IBILISI iliyomuinua Mtu kimaisha huwa Ina tabia na mazoea ya kumfanya Mtu asahau alipotoka mpaka alipo.

Ni mara chache sana kukuta Mtu aliyeinuliwa na nguvu ya Mungu kutema nyongo kama hizo😊😊
 
Mkuu kama unaona PM kaongea point basi utakuwa ni mtu uliyekata tamaa ya maisha kabisa. Vijana wa Tanzania wanahitaji sheria na sera bora zaidi kuweza kuwa na mifumo imara ya kuwasaidia kufanya shughuli zao. Kuendesha bodaboda sio jambo la kufurahia. Kauli ya PM inamfanya awe level moja na kina Msukuma au Babutale.
Nacho appreciate kutoka Kwako ni kua Kuna muda pamoja ya kua kada wa ccm Ila Mara nyingi kwenye ukweli HUWAGA UNASIMAMA NAO.
 
Wewe umeenda veta? Na hicho cheti chako cha diploma kinakusaidia nini?. Nongwa la kutokusoma

1. Wacha kubunia bunia vitu

2. Ukweli ndiyo huu diploma na veta kwa sasa ndiyo wana demand kubwa kuliko supply na hii ni kwa kozi za uhandisi afya e.t.c

3. Mbona una makasiriko sana ndugu? Kwani ulisomea kozi gani?
 
Acha upuzi m.fuvck wewe.... Wewe unaweza ukaharibu miaka yako 9 kutafuta degree afu ukaja kwenda kusoma veta inayohitaji darasa la 7?. Punguzeni ujinga kumamayo zako

Miaka tisa degree ni kozi gani hiyo? Hata ma MD sidhani kama wanafika huko aisee Uli disco? Au?
 
Nacho appreciate kutoka Kwako ni kua Kuna muda pamoja ya kua kada wa ccm Ila Mara nyingi kwenye ukweli HUWAGA UNASIMAMA NAO.
Ukada wa CCM ni jambo la kupita ila utanzania utadumu hadi siku ya kifo. Viongozi aina ya Majaliwa hawafai kwa nyakati hizi. Alichokiongea ni dharau kubwa kwa vijana wa nchi hii. PM ambaye hajawahi kuishauri serikali isitumie pesa kununua LC300 huku kukiwa na rundo la V8 VXR hana uhalali wa kuropokea vijana.
 
Miaka tisa degree ni kozi gani hiyo? Hata ma MD sidhani kama wanafika huko aisee Uli disco? Au?
Umeelewa kilichoongelewa au umeamua kutapika uchoko?. Form 4+2+3 ni mingapi? Au kuna wanaotoka darasa la saba mpk chuo kikuu?. Kama umeshindwa kujiongeza kwa vitu vidogo hivi!!
 
1. Wacha kubunia bunia vitu

2. Ukweli ndiyo huu diploma na veta kwa sasa ndiyo wana demand kubwa kuliko supply na hii ni kwa kozi za uhandisi afya e.t.c

3. Mbona una makasiriko sana ndugu? Kwani ulisomea kozi gani?
Demand yao kubwa ni ipi?.
 
Ulichoandika mfano wake kwenu muwe hamna uwezo hata wa kupata mlo alafu unasema hautafanya kazi ya kubeba tofali hadi uone mtoto wa Waziri mkuu na Rais na wao wanabeba matofali ndo wewe utabeba.

Sasa unamkomoa nani?
niambie wahtimu wote wa veta kila mwaka wamejiajiri au siyo? Unadhan kujiajili bila pesa inawezekana kirahisi tu si lazma wote tubebe zege, punguza ujinga wavifute vyuo vikuu waspotezee watu muda elimu iwe mwsho form 4 tuende veta wote.
 
niambie wahtimu wote wa veta kila mwaka wamejiajiri au siyo? Unadhan kujiajili bila pesa inawezekana kirahisi tu si lazma wote tubebe zege, punguza ujinga wavifute vyuo vikuu waspotezee watu muda elimu iwe mwsho form 4 tuende veta wote.
Haya Endelea kukaa kwa shemeji yako
 
Uwen umeajiriwa au la, kasome VETA acha Uvivu, Soma tafuta kazi zinazotokana na mafunzo ya veta utakuwa na fursa ya kutengeneza Fedha. Tatizo ni kukariri ukoloni wa Kuajiriwa
Naunga mkono kauli ya Mheshimiwa waziri mkuu, Mwezi Julai 2025 tukutane VETa, mimi naingia darasa la VETapamoja na kuwa na Masters.
Bahati nzuri Nina garage, natumai utakuwa funding bora wa magari.
Karibu garage mkuu.
 
Back
Top Bottom