Hivi degree ni kitu gani kwani mtu anamaliza na hajui chochote hadi aelekezwe tena.
Waziri Mkuu yuko sawa kama hawataki wakae nyumbani wazeeke na degree zao.
Wqziri Mkuu inawezekana kakosea kuwasilisha hoja, inawezekana hakuiwasikisha vizuri.
Lakini hoja hii si mpya. Rais Nyerere kaisema sana, mpaka kuna wakati aliiandika katika vitabu kama "Elimu ni Kazi". Watu wamesahau tu au hawakufuatilia.
Aung San Suu Kyi kashalisema hili Myanmar.
Jamii imeweka msisitizo sana kwenye elimu ya chuo kikuu na kudharau elimu ya ufundi, wakati elimu zote mbiki zinatakiwa kwenda pamoja.
Ila, viongozi nao wanasema maneno bila kuweka mikakati ya hayo maneno kutimia.
Mfano, kumwambia kijana ajifunze kushona nguo VETA wakati serikali inaruhusu uingizaji wa mitumba mingi ya bei nafuu bila hata regulation ni kum set huyu mwanafunzi wa VETA for failure.
Ona hapa Aung San Suu Kyi aliongelea suala hili.
Burma’s education system needs to change, said State Counsellor Daw Aung San Suu Kyi on a visit to Kalay, Sagaing Region this week. The de-facto head of government spoke to the public at City Hall on Monday following a visit to Chin State. “The world is changing. Our needs are also changing. We...
www.bnionline.net
"Daw Aung San Suu Kyi urged youth to “open their eyes and ears for more opportunities” and to develop the capacity to handle many other jobs.” The State Counsellor promoted vocational education, telling the public in Kalay that university education and vocational training are equally important, and that her government is doing its best to reduce unemployment."
Nyerere pia kaongea sana kuhusu Education for Self Reliance.