Waziri Mkuu Majaliwa: Wenye degree kasomeni ufundi VETA mjiajiri
Joseph stalin pia 1953, chama kilizuia kutangaza kabisa kifo chake mpaka wamalize mchakato wa mrithi,
Saparmurat niyazov wa turkmenistan nae alipiti mchakato huo 2006, hii habari ipo kwenye kitabu cha history kile complimentary cha form 3.
Francisco franco wa spain 1975, ambapo madaraka alikaimu mfalme juan carlos I.
Constantine cherneko, yuri andropov, Leornid brezhev wa urusi soviet union hawa tena vifo vyao vilipishana mwaka mmoja hadi miwili, walikua kama wanauliwa hawa. I guess kuna mmoja ilikua 1982, akafata mteuliwa wake 1984, aliyefata kawa 1985, walifatana. Walikua wacommunist nadhani waliuliwa.
Kwanza kabisa kwa kunipa historia. Ninachopingana nacho ni uwongo wa Kasimu majaliwa kuhusi afya ya Magufuli. Kwani angesema anaitwa lakini ana hali nzuri au akakaa kimya kabisa kitu gani kingetokea.
Eti "Yuko timamu na anaendelea na majukumu yake" wakati mtu kashafariki
 
Mbona hana nia mbaya, mbona mm najifunza mapishi na keki, nipo na Waziri Mkuu hadi uchaguzi ujao,
Kuna Mapambo pia, ukiweza kua na Jina lako hukosi vi laki laki vya sherehe huku unasubiri issue zako za degree zitiki
 
Huyo mtu angesoma SUA toka mwanzo mambo ya agrobusiness ingekua poa sana kuliko engineering
Kama ilivo kwa Viongozi wengi kupata akili wakiwa wamestafu.

Hata wasomi wengi, Wanagundua courses ambazo zingewafaa wao baada ya kumaliza degree zao.

Ni shida tupu.
 
Acha upuzi m.fuvck wewe.... Wewe unaweza ukaharibu miaka yako 9 kutafuta degree afu ukaja kwenda kusoma veta inayohitaji darasa la 7?. Punguzeni ujinga kumamayo zako
Hakuna kinacho haribika Mkuu Hizi ni double chances.

Mimi degree yangu ni Mifugo, Lakini nina skills za graphics design ambayo nilipiga courses online kwa almost 1 year.

Part time yangu nafanya hizo kazi za graphics design.

Hivo hivo unaweza kua ni mwalimu na ukajivunza mapambo kuongeza double chances
 
Nimekumbuka kipindi tunamaliza Advance, Wako walio kua wanaleta mawazo ya Kuenda kusoma Diploma na sio degree ilhali wamefaulu.

Kuna watu walikua wanawapinga, Lakini saiv wanajuta.

Mtu mwenye degree ya Ualimu na Diploma ya Civil Engeneering hawafanani kabisa mtaani.
Hawafanani kwa kuwa wapo kwenye taaluma 2 tofauti.
Ungezungumzia wale wenye taaluma 1 ila level tofauti, ungeeleweka.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Hivi degree ni kitu gani kwani mtu anamaliza na hajui chochote hadi aelekezwe tena.

Waziri Mkuu yuko sawa kama hawataki wakae nyumbani wazeeke na degree zao.
Kama kuna udhaifu kwa wahitimu wa degree suluhisho ni kuwapeleka Veta?!

Kilichosababisha vyuo vyetu kuzalisha degree dhaifu nini?

Kwa nini serikali isishughulike na kiini cha tatizo?!
 
Hakuna kinacho haribika Mkuu Hizi ni double chances.

Mimi degree yangu ni Mifugo, Lakini nina skills za graphics design ambayo nilipiga courses online kwa almost 1 year.

Part time yangu nafanya hizo kazi za graphics design.

Hivo hivo unaweza kua ni mwalimu na ukajivunza mapambo kuongeza double chances
Nani amekataa haya... Mm pia Nina degree ya ualimu pia nimepiga course ya tourisim management.... But hii kauli kwa kiongozi ni ya kijinga na kutweza watu!!. Unafikiri wote wanapesa za kusoma course mbadala?, Utakuja na hoja ya serikali inatoa elimu ya ufundi bure?. Hili sio kweli...
 
Mijitu ya Tz bado inaujinga sana ikiambiwa ukweli inakasirika, yani we hautaki kuambiwa ukweli? haya endelea endelea kukaa nyumbani na vyeti vyako ajira zipo utapata
 
Habari!

Elimu ya VETA tunaweza kuiita elimu ya kati. Wakufuzi wake ni wahitimu wa elimu za juu. Wapo pia wakufuzi wenye elimu ya kati, nawafahamu.

Bahati mbaya kauli ya Majaliwa haijawataja hao wenye degree anataka waenda VETA ni degree za fani gani, na je, nini hatma ya elimu yao ya degree.

Huko VETA wakasome kozi za mda gani? Kwa lengo gani? Nani atagharamia ada na mahitaji mengine na nini hatma ya elimu yao ya VETA ikiwa hatma ya degree zao haijapatikana?

Mh. Samia usiogope gharama ya kuvunja bunge kwa kumtimua huyo Mh. Majaliwa.
Majaliwa ni jirani yangu huko Lindi ila kwenye mambo ya kitaifa Mimi sina jirani. Timua kabisa ili kuwepo na funzo kwa viongozi wengine waache kuongea kwa misisimko.

NJE YA MADA

Kama kuna mtoto wa Kiongozi mteule wa Rais anasoma VETA mje mnipige ngumi 4 za puani niko hapa TAZARA Dar es salaam nawasubiri.

Achana na watoto wa vichochoroni, nazungumzia mtoto aliyekulia nyumba za bure za viongozi.
Nilidhan Majaliwa Ana upresident material lakin nimeona kabisa hatoshi kabisaaa
 
Back
Top Bottom