Waziri Mkuu Majaliwa: Wenye degree kasomeni ufundi VETA mjiajiri
Habari!

Elimu ya VETA tunaweza kuiita elimu ya kati. Wakufuzi wake ni wahitimu wa elimu za juu. Wapo pia wakufuzi wenye elimu ya kati, nawafahamu.

Bahati mbaya kauli ya Majaliwa haijawataja hao wenye degree anataka waenda VETA ni degree za fani gani, na je, nini hatma ya elimu yao ya degree.

Huko VETA wakasome kozi za mda gani? Kwa lengo gani? Nani atagharamia ada na mahitaji mengine na nini hatma ya elimu yao ya VETA ikiwa hatma ya degree zao haijapatikana?

Mh. Samia usiogope gharama ya kuvunja bunge kwa kumtimua huyo Mh. Majaliwa.
Majaliwa ni jirani yangu huko Lindi ila kwenye mambo ya kitaifa Mimi sina jirani. Timua kabisa ili kuwepo na funzo kwa viongozi wengine waache kuongea kwa misisimko.

NJE YA MADA

Kama kuna mtoto wa Kiongozi mteule wa Rais anasoma VETA mje mnipige ngumi 4 za puani niko hapa TAZARA Dar es salaam nawasubiri.

Achana na watoto wa vichochoroni, nazungumzia mtoto aliyekulia nyumba za bure za viongozi.
Huna hoja
 
Mbona ni kauli yenye kujenga, sema watu kutaka makubwa, na ni kwakuwa hiki ni kipindi cha uchaguzi basi kila kauli itajadiliwa... Simple kama unaoana umesoma na bado degree haijaweza kukutoa ulipo...

Piga kozi za veta kuna mawili aidha ujiajiri ama uajiriwe kwa level ya chini... Sababu huku level ya chini possibility ya kupata ajira ni kubwa kuliko level ya juu

We unahisi ukisoma kozi ya ufundi umeme, huwezi pata hata kazi ya kupiga wiring kwenye majengo?

au kozi ya kuchomelea, huwezi pata fursa ya kutengeneza mageti?

Bonge la point Ila subiri sasa matusi kwa wale waliopita direct ambao hata diploma hawana .

N.b
Katika cheti kinawindwa kwa sasa ni cha diploma .
 
Acha upuzi m.fuvck wewe.... Wewe unaweza ukaharibu miaka yako 9 kutafuta degree afu ukaja kwenda kusoma veta inayohitaji darasa la 7?. Punguzeni ujinga kumamayo zako
Haya matoto mafala yanaandika ujinga tu humu kumamake zao hawa .
Ni rahisi sana kuandika usenge kama wanaoandika hawa mazoba kama hujafikwa na hili tatizo
 
Ndio maana tunawambia vijana watoke magetoni(comfort zone),ukiwa mwalimu mwenye degree halafu ukajifunza kupamba maharusi,kumbi ,kutengeneza cake ,kukodisha tent,viti .Mtu akikwambia ualimu haulipi utamshangaa maana kipato chako hakitegemei mshahara .

Sasa atakuwa analipwa na kazi ya ualimu au hustle zake za nje? Ualimu unaingiaje kwenye hustle zake za nje?
 
Bonge la point Ila subiri sasa matusi kwa wale waliopita direct ambao hata diploma hawana .

N.b
Katika cheti kinawindwa kwa sasa ni cha diploma .
Wewe umeenda veta? Na hicho cheti chako cha diploma kinakusaidia nini?. Nongwa la kutokusoma
 
Uyu bwana pamoja na namba moja ni vilaza toka zamani ni vile watanzania huchelewa kujua
 
Mkiambiwa ukweli hamtaki, bakia na shahada yako ya rural development ukisubiri ajira za serikali mtatengeneza vikundi vingi vya wavivu mmeanza na NETO mtafuatia NATO. Nenda kasomee ujuzi jiajiri kwani degree yako itakufa!
 
Lakini Mbunge sifa yake ajue kusoma na kundika Lakini mwenye Degree arudi veta .Kumanyoko zenu wasomi mmekua watumwa wa wanasia hamna akili mnazidiwa Umoja na Bodaboda
 
Acha upuzi m.fuvck wewe.... Wewe unaweza ukaharibu miaka yako 9 kutafuta degree afu ukaja kwenda kusoma veta inayohitaji darasa la 7?. Punguzeni ujinga kumamayo zako
Sawa wewe mwerevu, endelea kupambana na bahasha yako
 
Habari!

Elimu ya VETA tunaweza kuiita elimu ya kati. Wakufuzi wake ni wahitimu wa elimu za juu. Wapo pia wakufuzi wenye elimu ya kati, nawafahamu.

Bahati mbaya kauli ya Majaliwa haijawataja hao wenye degree anataka waenda VETA ni degree za fani gani, na je, nini hatma ya elimu yao ya degree.

Huko VETA wakasome kozi za mda gani? Kwa lengo gani? Nani atagharamia ada na mahitaji mengine na nini hatma ya elimu yao ya VETA ikiwa hatma ya degree zao haijapatikana?

Mh. Samia usiogope gharama ya kuvunja bunge kwa kumtimua huyo Mh. Majaliwa.
Majaliwa ni jirani yangu huko Lindi ila kwenye mambo ya kitaifa Mimi sina jirani. Timua kabisa ili kuwepo na funzo kwa viongozi wengine waache kuongea kwa misisimko.

NJE YA MADA

Kama kuna mtoto wa Kiongozi mteule wa Rais anasoma VETA mje mnipige ngumi 4 za puani niko hapa TAZARA Dar es salaam nawasubiri.

Achana na watoto wa vichochoroni, nazungumzia mtoto aliyekulia nyumba za bure za viongozi.
Alitakiwa kabisa afukuwe uwwziri mkuu na viboko juu
 
Habari!

Elimu ya VETA tunaweza kuiita elimu ya kati. Wakufuzi wake ni wahitimu wa elimu za juu. Wapo pia wakufuzi wenye elimu ya kati, nawafahamu.

Bahati mbaya kauli ya Majaliwa haijawataja hao wenye degree anataka waenda VETA ni degree za fani gani, na je, nini hatma ya elimu yao ya degree.

Huko VETA wakasome kozi za mda gani? Kwa lengo gani? Nani atagharamia ada na mahitaji mengine na nini hatma ya elimu yao ya VETA ikiwa hatma ya degree zao haijapatikana?

Mh. Samia usiogope gharama ya kuvunja bunge kwa kumtimua huyo Mh. Majaliwa.
Majaliwa ni jirani yangu huko Lindi ila kwenye mambo ya kitaifa Mimi sina jirani. Timua kabisa ili kuwepo na funzo kwa viongozi wengine waache kuongea kwa misisimko.

NJE YA MADA

Kama kuna mtoto wa Kiongozi mteule wa Rais anasoma VETA mje mnipige ngumi 4 za puani niko hapa TAZARA Dar es salaam nawasubiri.

Achana na watoto wa vichochoroni, nazungumzia mtoto aliyekulia nyumba za bure za viongozi.
Mbona hana nia mbaya, mbona mm najifunza mapishi na keki, nipo na Waziri Mkuu hadi uchaguzi ujao,
 
Back
Top Bottom