Waziri Mkuu Majaliwa: Wenye degree kasomeni ufundi VETA mjiajiri
wavivu daima hawapendi kuskia ukweli kama alioutoa kiongozi huyu wa Kitaifa.

my friends, ladies and gentlemen,
bila kua na ujuzi utakua mnyonge wa kiuchumi mwenye mihemko maisha yako yote,

nenda kachote ujuzi veta na uje shambani kwenye kilimo na ufugaji biashara kuinjoy utajiri wa Taifa letu 🐒
 
Kama Jenista Muhagama ni waziri kwanini Majaliwa hasiwe waziri mkuu.
Shida ni za wananchi siyo wateuaji
 
wavivu daima hawapendi kuskia ukweli kama alioutoa kiongozi huyu wa Kitaifa.

my friends, ladies and gentlemen,
bila kua na ujuzi utakua mnyonge wa kiuchumi mwenye mihemko maisha yako yote,

nenda kachote ujuzi veta na uje shambani kwenye kilimo na ufugaji biashara kuinjoy utajiri wa Taifa letu 🐒
Mi binafsi naunga mkono
Watu waende veta wakapate skills
Binafsi mm veta ilupoanzishwa ya moto moto mm nlipatq fursa ya kwenda

Ova
 
Ameongea uhalisia waziri mkuu. Tumejidanganya kwamba kila mtu ili awe amesoma, lazima awe na degree. Tumejaza makanjanja kila eneo.
Bila kujua stadi za kujipambania kimaisha, hata tusome degree 20 zote hazina mpango.
Maisha yanataka watu wenye practical solutions. Sio blah blah za kutamba kwamba umesoma
 
Mi binafsi naunga mkono
Watu waende veta wakapate skills
Binafsi mm veta ilupoanzishwa ya moto moto mm nlipatq fursa ya kwenda

Ova
mimi nikiwa nafundisha chuo kikuu fulani humu nchini kama part-time lecture, nilijiunga veta kujifunza welding,

baada ya kupata ujuzi,
vitanda vyote katika vyumba vya kulala nyumbani kwangu nimetengeneza mwenyewe kwa ujuzi niliopata veta, hata madirisha katika mabanda ya mifugo yangu nimetengeneza mwenyewe,

hakuna fundi mchomeleaji wa kunitapeli eneo hilo 🐒
 
Watanzania wengi mna ugonjwa wa kuambiwa ukweli au kuelewa mtu anayekupa dira ni yupi na muongo ni yupi, mnapenda kusikia uongo uongo tu. Shida vijana hampendi kazi za mikono na ubunifu wachina wangesubiri ajira za ofisini kama nyinyi wasingekuwa hapo walipo.
Kuna vijana kibao wiliomaliza veta hawana kazi na hao serikali inawasaidiaje
 
Watanzania wengi mna ugonjwa wa kuambiwa ukweli au kuelewa mtu anayekupa dira ni yupi na muongo ni yupi, mnapenda kusikia uongo uongo tu. Shida vijana hampendi kazi za mikono na ubunifu wachina wangesubiri ajira za ofisini kama nyinyi wasingekuwa hapo walipo.
Kweli kabisa kabisa !
 
Injinia mzima hajuwi kutumia tools
Kuna jamaa mmja mhandisi alipata kazi UAE shida ilikuja kuna wakati ilibdi a operate forko lift akiwa kazini alichemsha
Aliporudi bongo ilibidi aende chuo cha bandari kujifunza

Ova
 
Watanzania wengi mna ugonjwa wa kuambiwa ukweli au kuelewa mtu anayekupa dira ni yupi na muongo ni yupi, mnapenda kusikia uongo uongo tu. Shida vijana hampendi kazi za mikono na ubunifu wachina wangesubiri ajira za ofisini kama nyinyi wasingekuwa hapo walipo.
Wanataka kuvaa tai
Wakae maofisini

Ova
 
Kama Una Degree alafu umekalia kiti cha ujobless nenda Veta ukitoka uko ujiajiri.


Wengi wanadharau Veta lakini kiuhalisia kujifunza si ujinga na veta inazalisha rate ndogo Zaidi ya majobless tofauti na Vyuo vikuu.

Serikali haiwezi kuajiri kila MTU,
Nadhani Waziri mkuu yupo Sahihi kwenye hili.

Ilaumu CCM
Jitathmini, Chukua Hatua.
 
Watanzania wengi ni wavivu sana,ukiangalia nchi yetu ina fursa nyingi sana but watu wanahitimu na kukaa tu kaungalia TV.
 
Back
Top Bottom