#COVID19 Waziri Mkuu Majaliwa: Zoezi la chanjo ya Uviko-19 limefikia zaidi ya asilimia 80

#COVID19 Waziri Mkuu Majaliwa: Zoezi la chanjo ya Uviko-19 limefikia zaidi ya asilimia 80

Sijui ni kwa nini watu hawaoni kuwa kuna umuhimu mkubwa sana sana wa kuwa na system itakayo-check mtu mmoja asiwe tena na nduvu za madaraka kiasi cha kufikia watu kumwabudu kinafiki hata anapokosea. Mama Samie naye ni muda tu. Tena atakuja kulaumiwa na kuonekana kama alikuwa kiongozi mbovu kuwahi kutokea.

Ukiona hivyo ujue wanaopinga hilo kwa nguvu zote ni hao hao ambao hawawezi waka survive kwenye fair system.

Sasa wanatumia lolote hata kwa kupotosha tu, kama itawasaidia kuendelea kuwapo.

Hawana uchungu wowote na nchi wala watu, bali matumbo yao.
 
Dodoma. Waziri wa Mkuu, Kassim Majaliwa amesema zoezi la chanjo ya Uviko-19 limefikia zaidi ya asilimia 80 na zilizobakia mikoani hivi sasa ni chache.

Jumla ya chanjo milioni 1.058 zilizopokelewa nchini kutoka nchini Marekani Julai 24, 2021 na uchanjaji ulizinduliwa rasmi Julai 29, 2021 na Rais Samia Suluhu Hassan.

Kauli hiyo imekuja baada ya Serikali kuanzisha kampeni maalum ya kuhamasisha uchanjaji wa chanjo hiyo katika maeneo mbalimbali ikiwemo makanisani na kwenye mikusanyiko ya watu.

Majaliwa ameyasema hayo leo Jumatatu Oktoba 4 2021, wakati akifungua kongamano la tano la uwezeshaji lililoandaliwa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (Neec).

“Tunalo zoezi la uchanjaji. Namshukuru Mungu tumefikia asilimia 80 na kitu huko, tumebaki na chanjo chache sana kwenye mikoa hiyo. Kila mmoja awahi huko na kama kuna mahitaji tutaleta nyingine malengo ni afya,”amesema.

Amesema suala la chanjo sio lazima lakini ni muhimu kwaasababu linasaidia kuongeza virutubisho mwilini na iwapo mtu atapata hawezi kuwa mwepesi kama vile mtu ambaye hajachanjwa kabisa.

Amewaagiza wakuu wa mikoa kutoa elimu na kuhamasisha kuhusu umuhimu wa kuchanja chanjo hiyo.

Mwananchi​

Sawa! Ila mbona hatusikii taarifa za vipimo? Mwatoa chanjo na wananchi hawapimwi! Hivyo vipimio mmetia kibindoni!??
Huu ni usanii wa hali ya juu.!

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
 
80% ya chanjo 1m zilizopo ni sawa lakini ya chanjo ni tungo tata
Exactly yaani asilimia ya chanjo zilizopokelewa lakini siyo asilimia ya idadi ya watu wanaohitajika kupata chanjo. Mfano Rwanda wamevuka zaidi ya asilimia 40 ya raia wake...
 
Exactly yaani asilimia ya chanjo zilizopokelewa lakini siyo asilimia ya idadi ya watu wanaohitajika kupata chanjo. Mfano Rwanda wamevuka zaidi ya asilimia 40 ya raia wake...

Haiko KIMKAKATI zaidi?
 
jamaa ongo xana hili yani hizo mil moja zenyewe hata laki tano hazijatumika anasema asilimia themanini duh , aisee basi sawa kuna watu wajinga sana sijapata kuona hasa huyu diblo dibala, ndiomaana alituaminisha aliongea na jiwe kwa simu wakati jiwe lilishakata moto, na cha ajabu aliongelea msikitini. watu hawaogopi kabisa dhambi ya kusema uongo

Kwahiyo unambishia kiongozi wa kitaifa si ndio
 
Maria Sarungi kule Jamhuri ya Twitter anasemaga hawa viongozi wanakabiliwa na 'credibility gap'. Kwa kimasai unaweza kusema 'wamepoteza uaminifu'.

Watanzania wana desturi ya kuwaamini viongozi wao sana ila hakuna wakati katika historia ya nchi hii wananchi wameikaidi serikali yao waziwazi kama wakati huu wa zoezi la chanjo. Nadhani kampeni za uchaguzi wa 2020 unafuatia.
 
Kichupa kimoja Cha chanjo unajua Watu wangapi wanachomwa?
 
Dodoma. Waziri wa Mkuu, Kassim Majaliwa amesema zoezi la chanjo ya Uviko-19 limefikia zaidi ya asilimia 80 na zilizobakia mikoani hivi sasa ni chache.

Jumla ya chanjo milioni 1.058 zilizopokelewa nchini kutoka nchini Marekani Julai 24, 2021 na uchanjaji ulizinduliwa rasmi Julai 29, 2021 na Rais Samia Suluhu Hassan.

Kauli hiyo imekuja baada ya Serikali kuanzisha kampeni maalum ya kuhamasisha uchanjaji wa chanjo hiyo katika maeneo mbalimbali ikiwemo makanisani na kwenye mikusanyiko ya watu.

Majaliwa ameyasema hayo leo Jumatatu Oktoba 4 2021, wakati akifungua kongamano la tano la uwezeshaji lililoandaliwa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (Neec).

“Tunalo zoezi la uchanjaji. Namshukuru Mungu tumefikia asilimia 80 na kitu huko, tumebaki na chanjo chache sana kwenye mikoa hiyo. Kila mmoja awahi huko na kama kuna mahitaji tutaleta nyingine malengo ni afya,”amesema.

Amesema suala la chanjo sio lazima lakini ni muhimu kwaasababu linasaidia kuongeza virutubisho mwilini na iwapo mtu atapata hawezi kuwa mwepesi kama vile mtu ambaye hajachanjwa kabisa.

Amewaagiza wakuu wa mikoa kutoa elimu na kuhamasisha kuhusu umuhimu wa kuchanja chanjo hiyo.

Mwananchi​

Safi sana!! Maana hakuna namna nyingine! Ni suala la kauli tu, tumesema zimeisha na kauli hiyo ni ya mwisho!! Beberu kama hauamini shauri yako! Maana tukisema tusubiri hadi ziishe kweli tutasubiri sana!! Suluhisho ni kutamka kauli tu biashara inaishia hapo!!!
 
Safi sana!! Maana hakuna namna nyingine! Ni suala la kauli tu, tumesema zimeisha na kauli hiyo ni ya mwisho!! Beberu kama hauamini shauri yako! Maana tukisema tusubiri hadi ziishe kweli tutasubiri sana!! Suluhisho ni kutamka kauli tu biashara inaishia hapo!!!

Kama kutamka mheshimiwa yuko busy na mafaili ofisini? Kwamba mnataka kumwona magomeni au kariakoo?

Yumkini angali busy.

Uongo ni kipaji.
 
Waziri mkuu anashusha heshima kwa Wananchi kwa kusema uongo Kila muda.Nakumbuka Treni ya umeme kutoka dar to Moro alisema itaanza kazi 2019 hadi Sasa hivi hakuna kitu.Juzi msrmaji wa serikali kasema waliochanja ni laki 4 na doz zipo milion na point ambayo ni kama asilimia 40 ya chanjo sasa hizo asilimia 80 zimetoka wapi?Tafafhali Mheshimiwa Taifa linakuamini hivo TUNAKUOMBA uwe unasema ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jamaa ongo xana hili yani hizo mil moja zenyewe hata laki tano hazijatumika anasema asilimia themanini duh , aisee basi sawa kuna watu wajinga sana sijapata kuona hasa huyu diblo dibala, ndiomaana alituaminisha aliongea na jiwe kwa simu wakati jiwe lilishakata moto, na cha ajabu aliongelea msikitini. watu hawaogopi kabisa dhambi ya kusema uongo
Usiseme ni uwongo. Wewe kutochanja, usidhani wote hawajachanjwa.

Jana nimeongea na ndugu yupo kijijini. Anasema zilipoletwa walichanja watu 6 tu, lakini baada ya Paroko wa RC, wachungaji wa KKKT na Anglikana kuwahuburia waumini wao Jumapili iliyopita, mpaka kufikia jana, chanjo zote zilizopelekwa katani zimekwisha, na wameomba nyingine.
 
Back
Top Bottom