Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikuongeza urefu wa kamba yako tu.Wakati Waziri Mkuu anahangaika namna ya Kupunguza bei ya Mafuta Rais anasema Bei ya Mafuta Tanzania ni ndogo kuliko Marekani.
Tutapona kweli?. Waziri akipunguza rais si atapangua maamuzi?
Nini kifanyike?
Ndiyo ubovu wa katiba yetuWakati Waziri Mkuu anahangaika namna ya Kupunguza bei ya Mafuta Rais anasema Bei ya Mafuta Tanzania ni ndogo kuliko Marekani.
Tutapona kweli?. Waziri akipunguza rais si atapangua maamuzi?
Nini kifanyike?
Anaweza kwenda kutengeneza mfumuko wa bei yakafika 10,000 kwa lita...bora wayaache hivi hivi🤣Hili balaa.
Waziri mkuu hana mamlaka kuitisha kikao cha mawaziri bila agenda zake kuridhiwa na rais unajidanganya na hawezi kamwe kufanya maamuzi yoyote bila kupata ridhaa ya rais.Wakati Waziri Mkuu anahangaika namna ya Kupunguza bei ya Mafuta Rais anasema Bei ya Mafuta Tanzania ni ndogo kuliko Marekani.
Tutapona kweli?. Waziri akipunguza rais si atapangua maamuzi?
Nini kifanyike?
Nani kasema Waziri mkuu kaitisha kikao cha baraza la mawaziri?Waziri mkuu hana mamlaka kuitisha kikao cha mawaziri bila agenda zake kuridhiwa na rais unajidanganya na hawezi kamwe kufanya maamuzi yoyote bila kupata ridhaa ya rais.
Ameitisha kikao kusaka ushauri ili amshauri rais na si vinginevyo.
Hafanyi kwa matakwa yake
Nimekuelewa.Waziri mkuu hana mamlaka kuitisha kikao cha mawaziri bila agenda zake kuridhiwa na rais unajidanganya na hawezi kamwe kufanya maamuzi yoyote bila kupata ridhaa ya rais.
Ameitisha kikao kusaka ushauri ili amshauri rais na si vinginevyo.
Hafanyi kwa matakwa yake
Ni kuongeza upigaji si mlishaambiwa lakini, mbona hamsikii?Wakati Waziri Mkuu anahangaika namna ya Kupunguza bei ya Mafuta Rais anasema Bei ya Mafuta Tanzania ni ndogo kuliko Marekani.
Tutapona kweli?. Waziri akipunguza rais si atapangua maamuzi?
Nini kifanyike?
Ni kuongeza upigaji si mlishaambiwa lakini, mbona hamsikii?
Mimi nimesema