Waziri Mkuu Vs Rais kuhusu bei ya mafuta tutapona?

Waziri Mkuu Vs Rais kuhusu bei ya mafuta tutapona?

Hapo waziri mkuu anaonesha kwa vitendo vile Rais alivyokosea kwa hiyo kauli yake
 
Wakati Waziri Mkuu anahangaika namna ya Kupunguza bei ya Mafuta Rais anasema Bei ya Mafuta Tanzania ni ndogo kuliko Marekani.

Tutapona kweli?. Waziri akipunguza rais si atapangua maamuzi?

Nini kifanyike?
The remote controller (former king) has all powers
 
Wakati Waziri Mkuu anahangaika namna ya Kupunguza bei ya Mafuta Rais anasema Bei ya Mafuta Tanzania ni ndogo kuliko Marekani.

Tutapona kweli? Waziri akipunguza rais si atapangua maamuzi?

Nini kifanyike?
Kwa hiyo na Uchumi wa Tanzania uko kama wa Marakeni? Na wafanyakazi wa Tanzania wanalipwa Mishahara kama ya Wamarekani?
 
Anaweza kwenda kutengeneza mfumuko wa bei yakafika 10,000 kwa lita...bora wayaache hivi hivi[emoji1787]
Unamaanisha kupunguza kodi kwenye mafuta ndo kutaleta mfumko? Aisee watu hamna ubongo kabisa
 
Hapa ndio umuhimu wa mgawanyo wa madaraka unatakiwa kuonekana. Leo tungetegemea mijadala ya siku 2 hizi bungeni kuja na majibu juu ya unyonyaji na upandishwaji bei ya mafuta kiholele.

Zanzibar bei iwe 2600 dar bei iwe 3000 , futa limeongezewa kodi na kodi zaidi na si kupanda bei
Halafu tunasema hii ni nchi moja??
 
mama Samia na Hamisa Mobeto wao wanawaza kuolewa marekani tu muda wote
 
Wakati Waziri Mkuu anahangaika namna ya Kupunguza bei ya Mafuta Rais anasema Bei ya Mafuta Tanzania ni ndogo kuliko Marekani.

Tutapona kweli? Waziri akipunguza rais si atapangua maamuzi?

Nini kifanyike?
Wapatanishwe.
 
Wakati Waziri Mkuu anahangaika namna ya Kupunguza bei ya Mafuta Rais anasema Bei ya Mafuta Tanzania ni ndogo kuliko Marekani.

Tutapona kweli? Waziri akipunguza rais si atapangua maamuzi?

Nini kifanyike?
Acha utoto,Rais ndio ametoa maelekezo kwa PM akutane na Mawaziri wa kisekta kutafuta Suluhu..

Lakini hili haliondoi wala kufuta kauli ya kwamba Bei ya mafuta Tzn ni ndogo kuliko US.
 
Nachofikiri ni kwamba kama mafuta kwa wastani CIF Dar kwa lita moja ni kama Tsh1100 na Tozo/ kodi mbalimbali ni kama Tsh.1300 chakufanya hapo kuokoa jahazi ni kupunguza kwenye tozo . Alafu waweza kufidia hilo pengo kama ifuatavyo:-

1- Kwenda kukopa mkopo wa masharti nafuu hata iwe Trillion 2 au 3 hata tukilipa ndani ya miaka 20 au 30 haina shida vita ya Urusi itakuwa imeisha tayari
2- Kuruhusu wawekezaji kwenye Gesi ya Mtwara wanze haraka ili Serikali ipate mapato yakodi na PAYE kupitia wafanyakazi na Gesi itauzwa hata nje ya nchi
 
Acha utoto,Rais ndio ametoa maelekezo kwa PM akutane na Mawaziri wa kisekta kutafuta Suluhu..

Lakini hili haliondoi wala kufuta kauli ya kwamba Bei ya mafuta Tzn ni ndogo kuliko US.
Umajitahidi kuwa dodoki ila yakishuka bei utarudi hapa kusema anaupiga mwingi.

Hatari sana.
 
Wakati Waziri Mkuu anahangaika namna ya Kupunguza bei ya Mafuta Rais anasema Bei ya Mafuta Tanzania ni ndogo kuliko Marekani.

Tutapona kweli? Waziri akipunguza rais si atapangua maamuzi?

Nini kifanyike?
Marekani vs Tanzania hizi nchi hatufanani level ya kimaendeleo na uchumi iweji ilinganishwe kwenye mafuta hapa mama alichemka
 
Back
Top Bottom