Waziri Mkuu Vs Rais kuhusu bei ya mafuta tutapona?

Halafu naona kama ukaribu wa waziri mkuu na rais samia sio kama hile combination ya magu na kasimilu
 
Nawaza sjui au naota hivi hili sakata likishikiwa bango na kupigiwa kura ya kutokua na imani na serikali, bunge likavunjwa, tunarud kwenye uchaguzi sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…