Iceberg9 JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 24,893 Reaction score 47,768 May 5, 2022 #41 Halafu naona kama ukaribu wa waziri mkuu na rais samia sio kama hile combination ya magu na kasimilu
Mnywani JF-Expert Member Joined Apr 2, 2020 Posts 774 Reaction score 898 May 5, 2022 #42 Nawaza sjui au naota hivi hili sakata likishikiwa bango na kupigiwa kura ya kutokua na imani na serikali, bunge likavunjwa, tunarud kwenye uchaguzi sio?
Nawaza sjui au naota hivi hili sakata likishikiwa bango na kupigiwa kura ya kutokua na imani na serikali, bunge likavunjwa, tunarud kwenye uchaguzi sio?
JF Member JF-Expert Member Joined Dec 14, 2014 Posts 7,914 Reaction score 10,793 May 5, 2022 Thread starter #43 The Sunk Cost Fallacy said: Yatashuka kama mvua au Rais ataupiga mwingi yashuke? Click to expand... Unazingua.
The Sunk Cost Fallacy said: Yatashuka kama mvua au Rais ataupiga mwingi yashuke? Click to expand... Unazingua.