Waziri Mkuu wa Haiti ajiuzulu baada ya Makundi ya Uhalifu kumshinikiza aachie madaraka kabla ya kurejea nchini humo

Waziri Mkuu wa Haiti ajiuzulu baada ya Makundi ya Uhalifu kumshinikiza aachie madaraka kabla ya kurejea nchini humo

HAITI: Waziri Mkuu Ariel Henry amekubali kujiuzulu baada ya kuwepo shinikikizo la Makundi ya Uhalifu yaliyomtaka kuachia madaraka kwa hiari kabla ya kurejea nchini humo kutoka Puerto Rico alikofikia wakati akirejea kutoka nchini Kenya.

Henry alichukua nafasi hiyo mwaka 2021 baada ya Rais Jovenel Moise kuuawa ndani ya makazi yake Julai 7, 2021 na kuahidi kuirejesha nchi hiyo kwenye hali ya usalama kutoka katika vurugu zilizodumu kwa muda mrefu.

Katika ziara yake nchini Kenya, Henry aliingia makubaliano ya kupokea Askari wa kulinda amani, jambo lililoamsha vurugu zaidi kutoka kwa makundi ya Uhalifu ya Haiti ambapo makundi hayo yalitoa shinikizo la kumtaka ajiuzulu haraka.

Wakati huo huo, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Kenya, Kithure Kindiki amesema mpango wa kupeleka Askari 1,000 nchini Haiti uko katika hatua za mwisho.

=============

Haiti's Prime Minister Ariel Henry has agreed to resign amid surging violence in the Caribbean country, the chair of the Caribbean Community said Monday.

Henry said he will step down once a transitional presidential council is created and an interim premier named. He had held the position, unelected, since the 2021 assassination of the previous president, Jovenel Moise.

"We acknowledge his resignation upon the establishment of a transitional presidential council and naming of an interim prime minister," said Caribbean Community chair Irfaan Ali, also the president of Guyana. Ali thanked Henry for his service to Haiti.

A seven-member presidential council will be formed for the transition to elections in Haiti, which will appoint a new interim prime minister, Ali said late on Monday.

Henry is currently stranded in the US territory of Puerto Rico, following his trip to Kenya last week to lobby for UN-backed police to be deployed in his country.

Caricom leads urgent international talks on Haiti crisis​

Members of a Caribbean regional trade bloc known as Caricom organized emergency talks in Jamaica on Monday to address the violence in Haiti. The meeting also involved Canada, France and the UN with US Secretary of State Antony Blinken in attendance.

Caricom had had pressed for a transitional government in Haiti for months amid protests calling for Henry's resignation.

Guyanese President Mohamed Irfaan Ali, the current Caricom chair, warned despite the ongoing talks to restore "stability and normalcy" to Haiti some Haitian groups "are not where they need to be."

After meeting with Caribbean leaders, Blinken announced an $100 million (€92 million) to fund the deployment of a multinational force to Haiti to help stop the violent crisis in the country and an additional $33 million in humanitarian aid.

How did the situation deteriorate?​

Haiti has seen escalating violence as police battled armed gangs calling for the ouster of the Prime Minister.

Influential criminal gangs have long controlled much of the capital, Port-au-Prince.
HUYU BOYA NILITAKA WAMUUE ALISHIRIKI KUMUUA MWENZIE RAISI ALIEPITA NA MAJUZI KATOKA KENYA KUNYONYA ATI ANASAINI APEWE WANAJESHI PAMBAVUU KATUMA VIDEO YA KUJIUZULU NYUMBA IMEZUNGUKWA USINIULIZE YUKOWAPI
 
Siyo tamaa binafsi anafadhiliwa na marekani ili wao waendelee kuiba madini ya iridium Bure ,huku huyo barbecue akiendelea kuwazubaisha watawala na kuivuruga. Ukiwa kiongozi unaejielewa si rahisi kudumu madarakani maana vibaraka ni wengi
Marekani hawawezi "kuiba madini" katika mazingira ya hatari hayo. Usichukulie kuwa Marekani ni vibaka wanotaka kuiba gizani. Wakitaka kuchukua madini wanaweza kuingia kwa nguvu na kusema wanaleta jeshi la kulinda amani. Mwaka 1994 walimrudisha Aristide madarakani kwa nguvu na kuwafukuza General Biamby na General Cedras waliokuwa wamempindua halafu wakaondoka. Wangeweza kuendelea kukaa pale hadi waseme kumekuwa na usalama wa kutosha.
 
Imetangazwa itv leo kuwa wanaenda

12 March 2024
Nairobi, Kenya

KENYA YASITISHA KUPELEKA POLISI HAITI

Bw. Korir Sing'oei katibu mkuu wa wizara ambaye pia ni msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Kenya asema kutokana na hali ilivyobadilika nchini Haiti, serikali ya Kenya inafuatilia hali ilivyo Haiti kwa ukaribu na pia kwa sasa imesitisha kwa muda makubaliano ya kupeleka askari polisi 1,000 kulinda amani nchini Haiti hadi serikali ya mpito ya kikatiba nchini Haiti itakapoundwa.

March 12, 2024
Nairobi, Kenya

Kenya's government puts deployment of police to Haiti on hold after chaos grips the Caribbean nation
1710292468593.png

NAIROBI, Kenya (AP) — Kenya is halting plans to deploy at least 1,000 police officers to Haiti following the unprecedented violence that erupted in the Caribbean nation and the announcement by its Prime Minister Ariel Henry that he would resign once a presidential council is created, a Kenyan official said Tuesday.5 hours ago
 
Marekanbi hawawezi "kuiba madini" katika mazingira ya hatari hayo. Usichukulie kuwa Marekani ni vibaka wanotaka kuiba gizani. Wakitaka kuchukua madini wanaweza kuingia kwa nguvu na kusema wanaleta jeshi la kulinda amani. Mwaka 1994 walimrudisha Aristide madarakani kwa nguvu na kuwafukuza General Biamby na General Cedras waliokuwa wamempindua halafu wakaondoka. Wangeweza kuendelea kukaa pale hadi waseme kumekuwa na usalama wa kutosha.
Read the history and trend ya siasa ya Haiti au ongea na Haitians wanaojielewa watalipa full picture. Hivi Yale madini anayoleta vita Eastern congo hakuna anayoenda Marekani na ni watu wangapi wamekufa na wanaendelea kuuliwa Congo. Au ndugu yangu huelewi sera ya Marekani. Kama unafuatilia the official versions of events, utasikia na kujua wanachotaka ujue . Dig deep ndipo utajua zaidi
 
kwahiyo WAUZA MADAWA YA KULEVYA WAACHWE WAENDELEE KUIHARIBU HAITI , UJINGA BADO NI TTZO KWA MTU MWEUSI , MPK SASA NCHI ZA AFRIKA ILIBIDI ZIUNGANE KWENDA KUISAIDIA HAITI NA SIO HUU USHABIKI WA URUSI NA USA MNATAKA KUULETA , LEO HAITI KESHO HAPO KWENU NYAMBAFUUU WW.

"KINGA NI BORA KULIKO TIBA "
Haiti haipo Afrika,ipo America huko,kwa nini nchi za amerika zisimsaidie mwenzao hadi wewe black butt uende huko eti ukatoe msaada? Mmeshindwa kumsaidia kongo hapo si ujinga tu kwenda huko?
 
Read the history and trend ya siasa ya Haiti au ongea na Haitians wanaojielewa watalipa full picture. Hivi Yale madini anayoleta vita Eastern congo hakuna anayoenda Marekani na ni watu wangapi wamekufa na wanaendelea kuuliwa Congo. Au ndugu yangu huelewi sera ya Marekani. Kama unafuatilia the official versions of events, utasikia na kujua wanachotaka ujue . Dig deep ndipo utajua zaidi
History ya Haiti naijua vizuri sana. Usidhani kila anayeandika hapa hudakia mambo asiyoyajua. Niliifuatilia sana historia ya Haiti kwa kina kuanzia mwaka 1994 na nimekuwa na marafiki wengi wenye asili ya Haiti, hata kinyonzi wangu ni mtu wa Haiti.

Kwa ufupi ni kwamba baada ya Haiti kujinyakulia uhuru wake kutoka Ufaransa, walilazimishwa kuilipa Ufaransa hela nyingi sana jambo lililokuwa mzigo mkubwa sana wa deni kwa nchi hiyo. Kutokana na deni hilo utawala ulianza kuruhusu wafanya biashara wa kijerumani kuja kufanya biashara, jambo ambalo halikuifurahisa Marekani. Ndipo Marekani ilipoivamia kwa malengo mawili: kwanza kuweka kituo cha Navy kuzuia mataifa mengine yasiingine hapo, halafu kuikopesha Haiti pesa kusudi isiwe na mzigo wa madeni yanayoiyumbisha ili isiwe kuvutio kwa mataifa mengine ya Europe. Ingawa wamarekani walifanikiwa sana kuijenga Haiti hasa kuondokana na madeni na vile vile kujenga miundo mbinu na mashule, lakini vile vile walikumbana na upinzani mkubwa uliosababaisha baadhi yao wauawawe na hivyo hawakuendelea na ujenzi wa kituo cha Navy na wala hawakujenga misingi ya utawala bora. Hivyo walipoondoka ndipo nchi ikaanza instability spiralling iliyoendelea hadi leo.

Hakuna madini yanayoyotafutwa na Marekani huko Haiti
 
Mimi ningekuwa na uwezo ningeishauri Serikali ya Kenya itafakari tena juu ya kupeleka Polisi wake huko! Vinginevyo polisi wake watauawa ovyo.
kifo ni sehem ya maisha yetu , WATU WEUSI TUPENDAN SIO KUWAPONDA WAZUNGU KUWASAIDIA UKRAINE BALI TUIGE KUSAIDIANA NA SISI PIA

MTU MWEUC ONESHA TOFAUTI YAKO NA NYANYYY
 
Siyo tamaa binafsi anafadhiliwa na marekani ili wao waendelee kuiba madini ya iridium Bure ,huku huyo barbecue akiendelea kuwazubaisha watawala na kuivuruga. Ukiwa kiongozi unaejielewa si rahisi kudumu madarakani maana vibaraka ni wengi
soma koment humu utagundua watu weusi hawajitambui na hiyo imekuwa fursa kwa wanaojitambua
 
Haiti Inaandamwa na vitu 2, kwanza ndio watu wa kwanza weusi kufukuza utawala wa wazungu (slave Master) na kiongozi wao Toussaint l Overture alitumia fursa wakati Ufaransa walikua na changamoto za kisiasa jamaa akawafurusha wale wachache waliokuja wamebaki kama viongozi wa kizungu na hawakua na msaada kutoka kwao. So Kwa wazungu ni kosa lisilosameheka . La pili Wana milima ya madini ya iridium ambayo wanahitaji kwenye military industrial complex na US anataka kuyachukua Bure Kwa kutafuta vibaraka na kutengeneza chaos kama tunavyoona DRC now. So ndio kinachofanyika Haiti. And kama mnafuatilia Hawa jamaa walikua self sufficient kwenye uzalishaji wa Mchele ambao ndio primary food kwao, then during Clinton administration akai-destroy Kwa ku flood the Haiti market with cheap rice na wazawa kupata basara ya kuendelea kulima. Now njaa kama yote ili waweze kuwazumgusha kama wanavyotaka. So we should learn from our brothers
Ukifika tu kulaumu beberu naona umeishiwa hoja
 
Haiti Inaandamwa na vitu 2, kwanza ndio watu wa kwanza weusi kufukuza utawala wa wazungu (slave Master) na kiongozi wao Toussaint l Overture alitumia fursa wakati Ufaransa walikua na changamoto za kisiasa jamaa akawafurusha wale wachache waliokuja wamebaki kama viongozi wa kizungu na hawakua na msaada kutoka kwao. So Kwa wazungu ni kosa lisilosameheka . La pili Wana milima ya madini ya iridium ambayo wanahitaji kwenye military industrial complex na US anataka kuyachukua Bure Kwa kutafuta vibaraka na kutengeneza chaos kama tunavyoona DRC now. So ndio kinachofanyika Haiti. And kama mnafuatilia Hawa jamaa walikua self sufficient kwenye uzalishaji wa Mchele ambao ndio primary food kwao, then during Clinton administration akai-destroy Kwa ku flood the Haiti market with cheap rice na wazawa kupata basara ya kuendelea kulima. Now njaa kama yote ili waweze kuwazumgusha kama wanavyotaka. So we should learn from our brothers
"Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as white people. They are still under the process of becoming the complete human beings."
Pieter W. Botha.

Kwa hiyo tusiwalaumu Wazungu kwa matatizo yaliyopo kwenye nchi za watu weusi hapa duniani.
 
HAITI: Waziri Mkuu Ariel Henry amekubali kujiuzulu baada ya kuwepo shinikikizo la Makundi ya Uhalifu yaliyomtaka kuachia madaraka kwa hiari kabla ya kurejea nchini humo kutoka Puerto Rico alikofikia wakati akirejea kutoka nchini Kenya.

Henry alichukua nafasi hiyo mwaka 2021 baada ya Rais Jovenel Moise kuuawa ndani ya makazi yake Julai 7, 2021 na kuahidi kuirejesha nchi hiyo kwenye hali ya usalama kutoka katika vurugu zilizodumu kwa muda mrefu.

Katika ziara yake nchini Kenya, Henry aliingia makubaliano ya kupokea Askari wa kulinda amani, jambo lililoamsha vurugu zaidi kutoka kwa makundi ya Uhalifu ya Haiti ambapo makundi hayo yalitoa shinikizo la kumtaka ajiuzulu haraka.

Wakati huo huo, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Kenya, Kithure Kindiki amesema mpango wa kupeleka Askari 1,000 nchini Haiti uko katika hatua za mwisho.

=============

Haiti's Prime Minister Ariel Henry has agreed to resign amid surging violence in the Caribbean country, the chair of the Caribbean Community said Monday.

Henry said he will step down once a transitional presidential council is created and an interim premier named. He had held the position, unelected, since the 2021 assassination of the previous president, Jovenel Moise.

"We acknowledge his resignation upon the establishment of a transitional presidential council and naming of an interim prime minister," said Caribbean Community chair Irfaan Ali, also the president of Guyana. Ali thanked Henry for his service to Haiti.

A seven-member presidential council will be formed for the transition to elections in Haiti, which will appoint a new interim prime minister, Ali said late on Monday.

Henry is currently stranded in the US territory of Puerto Rico, following his trip to Kenya last week to lobby for UN-backed police to be deployed in his country.

Caricom leads urgent international talks on Haiti crisis​

Members of a Caribbean regional trade bloc known as Caricom organized emergency talks in Jamaica on Monday to address the violence in Haiti. The meeting also involved Canada, France and the UN with US Secretary of State Antony Blinken in attendance.

Caricom had had pressed for a transitional government in Haiti for months amid protests calling for Henry's resignation.

Guyanese President Mohamed Irfaan Ali, the current Caricom chair, warned despite the ongoing talks to restore "stability and normalcy" to Haiti some Haitian groups "are not where they need to be."

After meeting with Caribbean leaders, Blinken announced an $100 million (€92 million) to fund the deployment of a multinational force to Haiti to help stop the violent crisis in the country and an additional $33 million in humanitarian aid.

How did the situation deteriorate?​

Haiti has seen escalating violence as police battled armed gangs calling for the ouster of the Prime Minister.

Influential criminal gangs have long controlled much of the capital, Port-au-Prince.
Haiti inahitaji katiba na watu wakubali kuiheshimu katiba hiyo mpya
 
Back
Top Bottom