Baljurashi
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 1,628
- 2,720
Kusheherekea mazazi ya Mtume Muhammad (Swala na Salamu ziwe juu yake) ni uzushi katika Dini. Na uzushi katika Dini (Bid'ah) haufai.Jiandae kusherehekea 'mazazi' ya bwana muddy.
Hivyo, wewe husherehekei hiyo kesho?Kusheherekea mazazi ya Mtume Muhammad (Swala na Salamu ziwe juu yake) ni uzushi katika Dini. Na uzushi katika Dini (Bid'ah) haufai.
Nilimaanisha akili yake Ina afyaItakuwa kwako. Wewe amini unachokiamini na wao waache waamini wanachokiamini.
Nilimaanisha akili yake Ina afyaKila binadamu ana matatizo ya akili ni swala la muda tu.
Nilimaanisha akili yake Ina afya
Ng'ombe ni moja kati ya MUNGU wao.Wahindi wanamuheshimu ng'ombe sio Mungu wao Mungu wao wanaomuabudu ni huyu huyu yehova
Wahindu hawaabudu Ng'ombe ila wanamuheshimu ng'ombe sababu anatoa maziwa na mikojo yake inatumika katika wakati wakuiabudu miungu yao wahindu wanamuabudu huyu huyu Yehova ila wao wanaamini Mungu mmoja hatoshi hivyo Wana miungu mingine mingiNg'ombe ni moja kati ya MUNGU wao.
Hawaabudu MUNGU wa mbinguni.
Kati ya anaemuabudu ng'ombe anaemuona na anaetoa maziwa, nyama, ngozi, nk na sisi tunaeabudu kitu kisichoonekana, wala tusichokijua kinafananaje, wala kinaishi wapi, yupi ana afadhali?Ng'ombe ni moja kati ya MUNGU wao.
Hawaabudu MUNGU wa mbinguni.
Siku hizi dunia ipo kiganjani ,kinachofanyika kwenye hiyo hija kila mtu anaona. Kuanzia mwanzo ikwemo kwenda kubusu lile jicho la kile kibanda ambaomo kuna jiwe, hadi kumpiga shetani kwa mawe tunaona na ndiyo maana.wattu wanasema.Hujanijibu swali .. Unazifahamu Nguzo za Hija kama ndio Je kubusu jiwe ni moja ya Nguzo za Hija ?! Dini ya kiislamu ipo well documented na imekamilika sasa unaponipa refference ni yotube video sikuelewi .. kwa Ufupi watu wa aina yako ambao ni wavivu kusoma ni tatizo kwa Nchi hii ukishaona yotube fulani kasema hivi basi khalas ni ushahidi tosha kwako mihemko inaanza ..
Mhhh wahindi na yehova wapi na wapi .acha unafkiWahindi wanamuheshimu ng'ombe sio Mungu wao Mungu wao wanaomuabudu ni huyu huyu yehova
Kati ya anaemuabudu ng'ombe anaemuona na anaetoa maziwa, nyama, ngozi, nk na sisi tunaeabudu kitu kisichoonekana, wala tusichokijua kinafananaje, wala kinaishi wapi, yupi ana afadhali?
Unajua ukija kufikiria kwa makini utagundua wahindi wanaamini kwenye kitu halisi wakati sisi tunaamini kwenye vitu vya kufikirika zaidi 🤣
Wee una uhakika gani kwamba tunaemuabudu sisi anajua kinachoendelea?Huyo ng'ombe hata hajui kinachoendelea ,,hapo ye anataka majani na maji mengine anaona mbwembwe tuh na kubaniwa