Waziri Mkuu wa Sweden ashtushwa na idadi kubwa ya watu kuomba kibali cha kuchoma Quran

Mpaka sasa hakuna aliyethibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu Mungu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
 
Yani kama vile mnavyoshangilia mganga wa kienyeji akiokoka na kuchoma tunguli,ndio hivyo hivyo waislamu walipo sweden wameachana na uislamu wameokoka sasa wanachoma tunguli(kurwani).
 
Aliye itaja hiyo akili ndie anaye ijua anatakiwa aeleze hiyo akili ikoje ili tujue tunayo au hatuna?
Basi mtu wa kwanza kusema Mungu yupo ndio anapaswa kutuletea ushahidi na sio binadamu wa sasa ambayo hiyo dhana tumeikuta na tumerithishwa pia
 

Sawa si pesa zao wewe kinachokuuma nini.
 
Huko kusema hayupo,ndio kuwapo kwake.Kisichokuwepo,hakitwaji na wengi kuwa kipo.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kama kusema Mungu hayupo, ndiyo kuwapo kwake.

Basi pia, kwa kufuata kanuni hiyo hiyo ya kugeuza mambo, kimantiki, kusema yupo, ndiyo kutokuwapo kwake.

Hapo kimantiki umejinyea. Umejiharishia.

Hiyo kusema kisichokuwepo hakitajwi na wengi kuwa kipo kimantiki umejinyea tena. Umejiharishia nguoni.

Hiyo logical fallacy inaitwa argument from popularity.

Google that. I am sure you don't know it.

Yani hata nikikukubalia ujinga wako wote nita conclude kwamba.

1. Kusema Mungu hayupo kunamaanisha yupo.

2. Hivyo, kufuata hiyo hiyo kanuni ya kupindua mambo, kusema Mungu yupo kunamaanisha Mungu hayupo.

3. Watu wengi wakisema kitu lazima kiwe kweli.

4. Watu wengi wanasema Mungu yupo, jambo ambalo kutoka 2 hapo juu maana yake Mungu hayupo.

5. Hivyo, Mungu hayupo.
 
Mbona huko huko Sweden huruhusiwi kuchoma Bendera?..na unafungwa jela Kwa kuchoma Bendera...
Hata hapa Tanzania kukanyaga Tu pesa ni kosa kisheria
Hiyo serekali ya Sweden,wangejielewa,wasingeruhusu kuchoma kitabu ulichonunua kwa pesa.Pale unachoma pesa,uliyonunua hicho kitabu.Mchapishaji wa hivyi vitabu na muuzaji unamuingizia biashara na kupata faida.Hii biashra ya vitabu,ni kama biashara nyingine,wauzaji,kila vikinunuliwa vitabu vingi,ndio kwao ni faida.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Na wale protestant na wakatoliki wanauana Ireland ya kaskazini,!hawa choko choko.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app

Kina kitu manatafutiwa kwa vile hamna akili jichanganyeni,middle east wataikimbia,halafu mbona huwa hamkimbilii kwa waisalmu wenzenu zaidi wakimbizi wote ni ulaya na marekani mkifika huko mnaanza kuichoma kurwani.
 
Ever-expanding vizuri.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 

Hata kurwani wanazichoma waislamu waliokoka sasa wanachana na uongo wa mudi.
 
Ndo maana tunasema ni mbio za wajinga.
Huku wanachoka wengine wanamjibu kwa kununua zaidi so wanabalance.
Yaani hapo ni sawa na mashindano ya bar na kanisa kupiga kelele atakaezidiwa nguvu atanyamaza.
Walichoma Biblia hakuna hata Mkristo mmoja aliinua hata mdomo,wakachoma kitabu Cha Wayahudi wayahudi wakapiga kelele kidogo.
Hawa uwaonea waislamu wanajua watareact.
 
Uislamu ukizidi sana sehem Moja kinacho fuata ni vurugu pamoja na vita so hao wa Sweden wapo sahihi
 
Wana agenda za kufanya dunia yote iwe ni musilm tu,

Yaani watu wote tujue jua linazama kwenye matope
Hao wanaochoma hivyo vitabu,wamevinunua kwa pesa.Huoni kama wanazidi kuwapa hao wachapishaji na wauzaji wa hivyo vitabu nguvu ya kiuchumi.Kwa hiyo hapo biashara ya hao waislamu ya vitabu,imemoga.Ni mjinga peke yake atawaunga mkono hao wachomaji,wakati wanawanufaisha kiuchumi waislamu,kwa kununua hivyo vitabu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 

Vipi hawa nao ni wakristo?
 
Huwa sioni jazba ya waislamu inatoka wapi kushindana na wapumbavu mtu kanunua kopi kwa pesa yake kapiga moto wewe unateseka nini ili kumpa attention ingekuwa wanamchoma Allah hapo ipo hoja.
Dini zingine hawachomi sababu wanajua hakuna atakaeshugulika na mjinga.
 
Watu wana principle kubwa zaidi ya pesa.

Wewe masikini mjinga mawazo yako yote yameishia kwenye pesa.

Huelewi hata hiyo pesa ni nini.

Huelewi kwamba bila serikali yenye nguvu na principle huna pesa.
 
Wana agenda za kufanya dunia yote iwe ni musilm tu,

Yaani watu wote tujue jua linazama kwenye matope
Hao wanaowaunga mkono hao wachomaji ni wajinga kama hao wanaochoma.Kwasababu vitabu wananunua kwa pesa,hao wanaochapisha na kuuza hivyo vitabu wanapata pesa na faida,!wakati wachomaji wanatoa pesa kununua,halafu kuchoma alichonunua,hapo wanachoma pesa.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Nenda kajifunze tena non sequitur fallacy ni nini. Kuongea lugha sio kutajataja tu maneno ya lugha husika bali ni kuleta maana ya unachokiongea kwa ufasaha wa lugha husika. Halkadhalika kuhusisha concepts za vitu sio tu kuzitajataja tu bila msingi wa concept zenyewe, kawadanganye watu kijijini kwenu sio hapa.

We unadhani ukifahamu kitu leo inakuwa umeumba uwepo wa hicho kitu kuwepo kuanzia leo au ni wewe ndo umejua kuanzia leo?Akiliyako kutotambua uwepo wa Mungu leo haubadili fact ya uwepo wake.

Giza haliji kwa kufumba kwako macho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…