Waziri Mkuu wa Sweden ashtushwa na idadi kubwa ya watu kuomba kibali cha kuchoma Quran

Waziri Mkuu wa Sweden ashtushwa na idadi kubwa ya watu kuomba kibali cha kuchoma Quran

Huko kusema hayupo,ndio kuwako kwake.Kisichokuwepo hakisemwi hakipo.Kilichopo ndio husemwa hakipo.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Watu kama wewe ni wenye uwezo mdogo wa kufanya midahalo..
.
Hoja huna.

Kuumba hoja huwezi.

Unarudia rudia post ambazo hazina hata maana na haziendani na unachoulizwa.

Halafu bado unajibiwa, lakini unaendelea kushikilia hoja ambayo imejibiwa.

Huo ni uwezo mdogo ulionao kubali tu.

Kwa hoja uliyotoa nshawahi kukujibu kuwa inawezekana kichwa chako kilifungwa Not gate.

Na bado hoja kama hii hoja ya kitoto sana iliyojaa ujinga na umbumbumbu mwingi, hoja hii ushapatiwa majibu yake humu humu.
Ona ulivyojibiwa hapa

Kama kusema Mungu hayupo, ndiyo kuwapo kwake.

Basi pia, kwa kufuata kanuni hiyo hiyo ya kugeuza mambo, kimantiki, kusema yupo, ndiyo kutokuwapo kwake.

Hapo kimantiki umejinyea. Umejiharishia.

Hiyo kusema kisichokuwepo hakitajwi na wengi kuwa kipo kimantiki umejinyea tena. Umejiharishia nguoni.

Hiyo logical fallacy inaitwa argument from popularity.

Google that. I am sure you don't know it.

Yani hata nikikukubalia ujinga wako wote nita conclude kwamba.

1. Kusema Mungu hayupo kunamaanisha yupo.

2. Hivyo, kufuata hiyo hiyo kanuni ya kupindua mambo, kusema Mungu yupo kunamaanisha Mungu hayupo.

3. Watu wengi wakisema kitu lazima kiwe kweli.

4. Watu wengi wanasema Mungu yupo, jambo ambalo kutoka 2 hapo juu maana yake Mungu hayupo.

5. Hivyo, Mungu hayupo.

Kwa hoja uliyotoa wewe basi ni kweli huyo Mungu hayupo.
 
Kama mimi kusema Mungu hayupo ndiyo kunaonesha kuwapo kwa Mungu, na wewe kusema Mungu yupo ndiyo kunaonesha kutokuwapo kwa Mungu?
_20230723_173457.JPG
 
Huku ndo pa kwenda kuishi. Choma kabisa. Unguza. Chana chana. Kojolea. Nyea. Tena isiwe kwa maombi tu. Iwe utaratibu wa maisha. Kabla hamjaanza siku kazini au shuleni mnaichoma. Before football matches mnachoma. Before kufanya mapenzi mnaichoma kwanza
 
BIBLIA ILICHOMWA MAELFU KWA MAELFU MIAKA YA ZAMA ZA GIZA LAKINI KWA VILE NI NENO HAI NA LENYE NGUVU HAWAKUFANIKIWA KUITEKETEZA IPOTEE. SASA HAWA NAKALA KADHAA KUCHOMWA WANAPANIKI DUNIA NZIMA😂😂😂
 
Huku ndo pa kwenda kuishi. Choma kabisa. Unguza. Chana chana. Kojolea. Nyea. Tena isiwe kwa maombi tu. Iwe utaratibu wa maisha. Kabla hamjaanza siku kazini au shuleni mnaichoma. Before football matches mnachoma. Before kufanya mapenzi mnaichoma kwanza
Kuna mchuzi alitumia kama paper ya kunyingea ganja, akanyonga, akavuta.

Watu wakasema utaoata kichaa weee.

Hakupata kichaa wala nini.

Mpaka leo anadunda.
 
BIBLIA ILICHOMWA MAELFU KWA MAELFU MIAKA YA ZAMA ZA GIZA LAKINI KWA VILE NI NENO HAI NA LENYE NGUVU HAWAKUFANIKIWA KUITEKETEZA IPOTEE. SASA HAWA NAKALA KADHAA KUCHOMWA WANAPANIKI DUNIA NZIMA[emoji23][emoji23][emoji23]
Biblia imejaa contradictions, nikikuwekea hapa huwezi kuzitatua.

Basi tu watu wajinga wapo wengi sana. Wanatuzidi kwa wingi.
 
Watu kama wewe ni wenye uwezo mdogo wa kufanya midahalo..
.
Hoja huna.

Kuumba hoja huwezi.

Unarudia rudia post ambazo hazina hata maana na haziendani na unachoulizwa.

Halafu bado unajibiwa, lakini unaendelea kushikilia hoja ambayo imejibiwa.

Huo ni uwezo mdogo ulionao kubali tu.

Kwa hoja uliyotoa nshawahi kukujibu kuwa inawezekana kichwa chako kilifungwa Not gate.

Na bado hoja kama hii hoja ya kitoto sana iliyojaa ujinga na umbumbumbu mwingi, hoja hii ushapatiwa majibu yake humu humu.
Ona ulivyojibiwa hapa



Kwa hoja uliyotoa wewe basi ni kweli huyo Mungu hayupo.
Vhochote unachokiona au kukisikia au kukigusa,ujuwe yupo aliyefanya kiwepo.
Ukiona gari,halafu ukamsikia mtu abasema hakuna aliyefanya iwepo,utajua wazi huo ni punguani.Na ndio hivyo ilivyo,!,kwa anayeona dunia,halafu aseme hakuna aliyeifanya iwepo,!huonekana punguani.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kuna mchuzi alitumia kama paper ya kunyingea ganja, akanyonga, akavuta.

Watu wakasema utaoata kichaa weee.

Hakupata kichaa wala nini.

Mpaka leo anadunda.
Huko kufanya hivyo ndio ukichaa wenyewe,mtu mwenye akili zake;!anatumia kitu sahihi kwa kazi sahihi.Ni sawa na kumuona mtu,anavyaa chupi kichwani,badala ya kofia.Kwa mwenye akili mbovu kama yeye atamsifia.Ndio wewe unamsifia aliyefanya kinyume na utaratibu wa maisha.
 
Uhuru wa kujieleza. Marekani huwa wanachoma bendera yao, ni sehemu ya uhuru wa kujieleza.

Kwani wakichoma Quran, Allah atakufa?

Mbona watu wanakuwa sensitive hivyo?

Ile Quran si makaratasi tu?

Au mnaabudu Quran?

Waislamu wanamuabudu Allah au wanaiabudu Quran?
Usifanye mzaha na maneno ya Mungu
 
Back
Top Bottom