Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Huko kusema hayupo,ndio kuwapo kwake.Kisichokuwepo,hakitwaji na wengi kuwa kipo.Allah si mpuuzi.
Kwa sababu hayupo.
Allah ambaye hayupo, hawezi juwa mpuuzi.
Ukibisha, thibitisha Allah yupo.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app