Ngoja nikujibu kijinga kama ulivyo uliza kijinga.....
Hizo bendera ziwe za majeshi, raisi ama taifa husika si mavitambara tu? Vipi ukilichoma hadharani (say) tambara la Tanzania??
Ingekuwa Qur an ni makaratasi basi kuna viwanda vingi sana vya karatasi wangenunua karatasi wakachoma kama lengo lao ni kuchoma karatasi! Lengo lao ni devalue uislam!
Unajua kitu kinachowauma wamagharibi na they got nothing to do with it ni uislam kushamili au kuongezeka kwa kasi duniani na kuwa dini nambari moja ya ushawishi kwa sasa duniani!
Mwenyezi mungu mwenyewe kajaalia kila kitu kimezaliwa kikiwa ni kiislam what a dini!
Sent from my TECNO KB7j using
JamiiForums mobile app