Waziri Mkuu wa Sweden ashtushwa na idadi kubwa ya watu kuomba kibali cha kuchoma Quran

Waziri Mkuu wa Sweden ashtushwa na idadi kubwa ya watu kuomba kibali cha kuchoma Quran

Koran 5;51. Enyi mlio amini! (Waislamu) Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki.


DINI YA KISHETANI INAPORUHUSU HUU USHENZI.

Mungu hawezi kuandika USHETANI WA KUUA WATU wa DINI Nyingine.
ilaaniwe quran
 
Inatafutwa sababu nyingine ya kuifanya middle east the living hell jichanganyeni.
 
Kuamini si kitu muhimu katika kutafuta ukweli, kwa sababu unaweza kuamini hata uongo.

Suala la muhimu zaidi ni je, unaweza kuthibitisha?

Hujathibitisha Mungu yupo.

Huwezi kuthibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
Mwanzo 1 : 1 Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.

Yohana 1:3
Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika.
 
Mwanzo 1 : 1 Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.

Yohana 1:3
Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika.
Hizo ni habari za imani, si uthibitisho, bado hujathibitisha Mungu yupo.

Na hicho kitabu unachokinukuu kimejaa contradictions ambazo huwezi kuzitatua.
 
Mbona waislamu hawachomi vitabu vya dini nyingine? Hapo ndio ujue waislamu, huwa wanachokozwa, wakijibu mapigo,watu wasipige kelele.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Una hakika ndani ya haya makanisa yaliyochomwa moto na waislamu ndani yake hakukuwa na Biblia?!
👇👇
 
Allah sio mpuuzi kama binadam Allah anasubira hana pupa lau kama angekua analipa papo hapo sidhani kama mpaka leo ulimwengu wenyewe ungali kuepo
Allah si mpuuzi.

Kwa sababu hayupo.

Allah ambaye hayupo, hawezi juwa mpuuzi.

Ukibisha, thibitisha Allah yupo.
 
We jamaa kuna mambo yanakureketa na Wala hayakuhusu ,kujua kingereza kidogo tu basi unajikuta unajua sana ..

Jaribu kuficha ujinga wako huyo Hawking wako yupo wapi na kadhalilika hapa Dunia I na ugonjwa haujulikani sembuse week elimua kucopy na kupaste.
Ujinga mtupu.

Vitabu vyenyewe vimejaa contradictions.

Waacheni wachome, kwani wakichoma huyo Allah wenu atakufa?
 
Uhuru wa kujieleza. Marekani huwa wanachoma bendera yao, ni sehemu ya uhuru wa kujieleza.

Kwani wakichoma Quran, Allah atakufa?

Mbona watu wanakuwa sensitive hivyo?

Ile Quran si makaratasi tu?

Au mnaabudu Quran?

Waislamu wanamuabudu Allah au wanaiabudu Quran?
Mbona huko huko Sweden huruhusiwi kuchoma Bendera?..na unafungwa jela Kwa kuchoma Bendera...
Hata hapa Tanzania kukanyaga Tu pesa ni kosa kisheria
 
Waislam wakiwapigia tutajua Allah hayupo.

Ndiyo maana anasaidiwa na Waislamu.

Tunataka Allah mwenyewe awapigie tujue yupo kweli.

Yani ile mtu anaanza kuishika Quran tu aichome moto, mchana kweupee hakuna wingu wala mvua, linavurumuka bonge la radi linaacha maelfu ya watu waliomzunguka huyo anayechoma Quran, linampiga huyo huyo mtu mmoja anayechoma Quran tu.

Nakuhakikishia Allah akifanya hivyo angalia kesho yake watu watakavyokimbikia misikitini.

Lakini Allah hawezi kufanya hivyo.

Kwa sababu hayupo.

Utaona Waislamu wanafanya fujo tu.

Kwa sababu Allah hayupo.
Hizo hoja zako ndizo zinazothibitisha kuwa yeye Allah yupo.Yeye miongoni mwa majina na sifa zake ni kuwa ni mwenye hekima,mwenye huruma na rehma ni mpole na muadilifu na kuendelea.
Iwapo yeye ndiye muumbaji wa kila unachokiona na hizo radi anao uwezo wa kufanya hivyo haja itakapotokea na hapangiwi cha kufanya na haathiriwi na lawama.
Mambo ya hasira na visasi visivyo na mpango ni maumbile ya binadamu.Kuna waliotutangulia walifanya kufru kama hizo na hawakuweza kumdhuru na wala hawakuweza kuathiri kuendelea kwa utajo na dini anayoiridhia.
Wako pia wale waliozidi kwenye kufru zao aliamua kuwaonjesha kidogo adhabu zao.Hawa wanaofanya hivyo wanapewa muda tu wa kujitafakari na wakati wakifanya hivyo ndio wanaitangaza Qur'an na kuutangaza uislamu ndani ya nchi zao.
Kwa upande mwengine kwa hekima zake kuna matukio ambayo Allah hayavumilii lakini pia hatoi adhabu za hasira za papo kwa papo.Haya matukio ya kuchoma Qur'an hakuna anayechoma Qur'an akaishi kama zamani.Ataishi maisha wa wasi wasi na hofu mpaka mwisho.Hiyo pekee ni adhabu.
Watu waliotamka maneno ya ufedhuli kwa Allah kam hayo kuwa hayupo na kama yupo afanye jambo fulani kama unayosema wewe hawakuanza leo na pia si lazima tusome kwenye historia,wako wengi tumewashuhudia hata hapo Tanzania.
Kama hasira za kibinadamu na visasi ingekuwa ni sifa zake basi watu wanaomuasi kinyume na mafundisho yake wasingepata pa kuishi.Anachokifanya kila siku anawapelekea karibu ujumbe wake ili watanabahi na kujirekebisha kabla ya siku kila mara anayoikumbushia ambapo ndipo hasira zake atakapozieonesha kweli na ambapo ameonyo huko hakutokuwa na kubadili kitu.
 
Wanataka kutawala dunia, mbona wanasema wazi tu.

Sasa wamekutana na vichaa hawataki ujinga huo, wanalialia.
Wana agenda za kufanya dunia yote iwe ni musilm tu,

Yaani watu wote tujue jua linazama kwenye matope
 
Kifo chako kitakuwa kibaya sana, na mbaya zaidi hautakuwa tena na muda wa kuomba msamaha kwa ujinga uliofanya.
Umejuaje hili?

Wewe unaweza kuona future kwasasa?

Ujinga upi kafanya huyo?

Kufa kifo kibaya ni uthibitisho kuwa Allah muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote hayupo.

Unaelewa hili?
 
Ngoja nikujibu kijinga kama ulivyo uliza kijinga.....

Hizo bendera ziwe za majeshi, raisi ama taifa husika si mavitambara tu? Vipi ukilichoma hadharani (say) tambara la Tanzania??

Ingekuwa Qur an ni makaratasi basi kuna viwanda vingi sana vya karatasi wangenunua karatasi wakachoma kama lengo lao ni kuchoma karatasi! Lengo lao ni devalue uislam!

Unajua kitu kinachowauma wamagharibi na they got nothing to do with it ni uislam kushamili au kuongezeka kwa kasi duniani na kuwa dini nambari moja ya ushawishi kwa sasa duniani!

Mwenyezi mungu mwenyewe kajaalia kila kitu kimezaliwa kikiwa ni kiislam what a dini!

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Hizo takwimu umezipata wapi kama siyo moja ya delusion uliyokuwa nayo tu.
Nani kakudanganya kuwa uislam unakuwa kwa kasi?
 
Huko kuchoma makaratasi ni radi ya kutosha.Hao wameshageuka vichaa,mwenye akili timaru,atahangaika na kuchoma makaratasi.Mbona waislamu haombi vibali vya kuchoma vitabu vya dini nyingine.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Huko huko Sweden juzi kati tu hapo waislam walifuata kibali cha kuchoma biblia na wakapewa kibali.

Je hukupata taarifa hii mkuu?
 
Hizo hoja zako ndizo zinazothibitisha kuwa yeye Allah yupo.Yeye miongoni mwa majina na sifa zake ni kuwa ni mwenye hekima,mwenye huruma na rehma ni mpole na muadilifu na kuendelea.
Iwapo yeye ndiye muumbaji wa kila unachokiona na hizo radi anao uwezo wa kufanya hivyo haja itakapotokea na hapangiwi cha kufanya na haathiriwi na lawama.
Mambo ya hasira na visasi visivyo na mpango ni maumbile ya binadamu.Kuna waliotutangulia walifanya kufru kama hizo na hawakuweza kumdhuru na wala hawakuweza kuathiri kuendelea kwa utajo na dini anayoiridhia.
Wako pia wale waliozidi kwenye kufru zao aliamua kuwaonjesha kidogo adhabu zao.Hawa wanaofanya hivyo wanapewa muda tu wa kujitafakari na wakati wakifanya hivyo ndio wanaitangaza Qur'an na kuutangaza uislamu ndani ya nchi zao.
Kwa upande mwengine kwa hekima zake kuna matukio ambayo Allah hayavumilii lakini pia hatoi adhabu za hasira za papo kwa papo.Haya matukio ya kuchoma Qur'an hakuna anayechoma Qur'an akaishi kama zamani.Ataishi maisha wa wasi wasi na hofu mpaka mwisho.Hiyo pekee ni adhabu.
Watu waliotamka maneno ya ufedhuli kwa Allah kam hayo kuwa hayupo na kama yupo afanye jambo fulani kama unayosema wewe hawakuanza leo na pia si lazima tusome kwenye historia,wako wengi tumewashuhudia hata hapo Tanzania.
Kama hasira za kibinadamu na visasi ingekuwa ni sifa zake basi watu wanaomuasi kinyume na mafundisho yake wasingepata pa kuishi.Anachokifanya kila siku anawapelekea karibu ujumbe wake ili watanabahi na kujirekebisha kabla ya siku kila mara anayoikumbushia ambapo ndipo hasira zake atakapozieonesha kweli na ambapo ameonyo huko hakutokuwa na kubadili kitu.
Hujathibitisha Allah yupo, unahubiri tu.
 

Contradictions in the Qur’an​

by Matt Slick | Dec 12, 2008 | Islam, World Religions
The Qur’an states that it is a perfect book preserved on tablets in heaven (Surah 85:21-22). If the Qur’an is a perfect book from Allah, then there shouldn’t be any contradictions in it. Of course, the Muslims will deny that any contradictions exist in the Qur’an, but they do. Some of the contradictions below could be debated, but some of them are clearly contradictions.
A contradiction occurs when one statement on a subject excludes the possibility of another. The first one here is a good example. In Surah 19:67, it states that man was created out of nothing. In 15:26, man is created from clay. Since clay is something, we have a contradiction since “nothing” excludes the possibility of “clay.” Both cannot be true.
All quotes from the Qur’an, unless otherwise specified, are from Yusuf Ali and can be found at the Qur’an online.
  1. What was man created from: blood, clay, dust, or nothing?
    1. “Created man, out of a (mere) clot of congealed blood,” (96:2).
    2. “We created man from sounding clay, from mud moulded into shape, (15:26).
    3. “The similitude of Jesus before Allah is as that of Adam; He created him from dust, then said to him: “Be”. And he was,” (3:59).
    4. “But does not man call to mind that We created him before out of nothing?” (19:67, Yusuf Ali). Also, 52:35).
    5. “He has created man from a sperm-drop; and behold this same (man) becomes an open disputer! (16:4).
  2. Is there or is there not compulsion in religion according to the Qur’an?
    1. “Let there be no compulsion in religion: Truth stands out clear from Error: whoever rejects evil and believes in Allah hath grasped the most trustworthy hand-hold, that never breaks. And Allah heareth and knoweth all things,” (2:256).
    2. “And an announcement from Allah and His Messenger, to the people (assembled) on the day of the Great Pilgrimage, – that Allah and His Messenger dissolve (treaty) obligations with the Pagans. If then, ye repent, it were best for you; but if ye turn away, know ye that ye cannot frustrate Allah. And proclaim a grievous penalty to those who reject Faith,” (9:3).
    3. “But when the forbidden months are past, then fight and slay the Pagans wherever ye find them, and seize them, beleaguer them, and lie in wait for them in every stratagem (of war); but if they repent, and establish regular prayers and practice regular charity, then open the way for them: for Allah is Oft-forgiving, Most Merciful,” (9:5).
    4. Fight those who believe not in Allah nor the Last Day, nor hold that forbidden which hath been forbidden by Allah and His Messenger, nor acknowledge the religion of Truth, (even if they are) of the People of the Book, until they pay the Jizya with willing submission, and feel themselves subdued,” (9:29).
  3. The first Muslim was Muhammad? Abraham? Jacob? Moses?
    1. “And I [Muhammad] am commanded to be the first of those who bow to Allah in Islam,” (39:12).
    2. “When Moses came to the place appointed by Us, and his Lord addressed him, He said: “O my Lord! show (Thyself) to me, that I may look upon thee.” Allah said: “By no means canst thou see Me (direct); But look upon the mount; if it abide in its place, then shalt thou see Me.” When his Lord manifested His glory on the Mount, He made it as dust. And Moses fell down in a swoon. When he recovered his senses he said: “Glory be to Thee! to Thee I turn in repentance, and I am the first to believe.” (7:143).
    3. “And this was the legacy that Abraham left to his sons, and so did Jacob; “Oh my sons! Allah hath chosen the Faith for you; then die not except in the Faith of Islam,” (2:132).
  4. Does Allah forgive or not forgive those who worship false gods?
    1. Allah forgiveth not that partners should be set up with Him; but He forgiveth anything else, to whom He pleaseth; to set up partners with Allah is to devise a sin Most heinous indeed,” (4:48). Also 4:116
    2. The people of the Book ask thee to cause a book to descend to them from heaven: Indeed they asked Moses for an even greater (miracle), for they said: “Show us Allah in public,” but they were dazed for their presumption, with thunder and lightning. Yet they worshipped the calf even after clear signs had come to them; even so we forgave them; and gave Moses manifest proofs of authority,” (4:153).
  5. Are Allah’s decrees changed or not?
    1. “Rejected were the messengers before thee: with patience and constancy they bore their rejection and their wrongs until Our aid did reach them: there is none that can alter the words (and decrees) of Allah. Already hast thou received some account of those messengers,” (6:34).
    2. “The word of thy Lord doth find its fulfillment in truth and in justice: None can change His words: for He is the one who heareth and knoweth all, (6:115).
    3. None of Our revelations do We abrogate or cause to be forgotten, but We substitute something better or similar: Knowest thou not that Allah Hath power over all things?” (2:106).
    4. When We substitute one revelation for another,- and Allah knows best what He reveals (in stages),- they say, “Thou art but a forger”: but most of them understand not,” (16:101).
  6. Was Pharaoh killed or not killed by drowning?
    1. “We took the Children of Israel across the sea: Pharaoh and his hosts followed them in insolence and spite. At length, when overwhelmed with the flood, he said: “I believe that there is no god except Him Whom the Children of Israel believe in: I am of those who submit (to Allah in Islam). (It was said to him): “Ah now!- But a little while before, wast thou in rebellion!- and thou didst mischief (and violence)! This day shall We save thee in the body, that thou mayest be a sign to those who come after thee! but verily, many among mankind are heedless of Our Signs!” (10:90-92).
    2. Moses said, “Thou knowest well that these things have been sent down by none but the Lord of the heavens and the earth as eye-opening evidence: and I consider thee indeed, O Pharaoh, to be one doomed to destruction!” So he resolved to remove them from the face of the earth: but We did drown him and all who were with him,” (17:102-103).
  7. Is wine consumption good or bad?
    1. O ye who believe! Intoxicants and gambling, (dedication of) stones, and (divination by) arrows, are an abomination,–of Satan’s handwork: eschew such (abomination), that ye may prosper,” (5:90).
    2. (Here is) a Parable of the Garden which the righteous are promised: in it are rivers of water incorruptible; rivers of milk of which the taste never changes; rivers of wine, a joy to those who drink; and rivers of honey pure and clear. In it there are for them all kinds of fruits; and Grace from their Lord. (Can those in such Bliss) be compared to such as shall dwell forever in the Fire, and be given, to drink, boiling water, so that it cuts up their bowels (to pieces)?” (47:15).
    3. Truly the Righteous will be in Bliss: On Thrones (of Dignity) will they command a sight (of all things): Thou wilt recognize in their faces the beaming brightness of Bliss. Their thirst will be slaked with Pure Wine sealed,” (83:22-25).
 
Back
Top Bottom