Iko hivi:
Ili waende kufaudu mabikra 72 wasiomaliza ubikra na kufakamia pombe kutoka katika mito ya pombe isiyokauka huko Akhera, ni lazima matendo yao yamdhihirishe Allah. Na hakuna heshima na utukufu kama kumpambania huyo Allah hata kama ni mpaka kupoteza maisha yako kwa kujiripua mabomu au kuua watu wengine wasio na hatia wakiwemo wanawake na watoto. Yaani ukifa ukimpigania Allah, Uislamu, Mudi au Korani basi wewe ni moja kwa moja kwenye high table siti ya mbele kabisa karibu na huyo Allah huku umezungukwa na pisi kali ajabu tena zilizo sealed na mipombe ya kila aina.
Hakuna kifo cha heshima kwa mvaa kobazi kama cha kufa akimpigania Allah na makandokando yake [emoji16][emoji16][emoji16][emoji706]
Tafuta clips za mzee wa mizigo Sheikh Kipozeo akifafanua hizi raha za akhera. Unaweza ukasilimu usipojikaza [emoji16][emoji16][emoji16]