Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson kutangaza kujiuzulu mchana huu

Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson kutangaza kujiuzulu mchana huu

Mkuu, Bosi Johnson hajaamua kujiuzulu mwenyewe alikuwa akikataa kuhusu jambo hilo. Taarifa zasema asubuhi hii amepelekewa barua na mawaziri wengi na maofisa wengine waandamizi wa serikali na kuambiwa asaini na aisome mwenyewe baadae leo...

Unajua Mkuu wanataka tena kupiga kura ya kutokuwa na imani nae kama walivyofanya mwanzo akapita ila safari hii wamemwambia tunapiga kura na hutoboi na utaondoka kwa Aibu kubwa na kukiaibisha chama

Sasa chagua kuondoka kwa heshima yako au tukuondoe kwa aibu
Jamaa muongo muongo huyu
 
.... hiyo ndio tofauti ya democratic leadership's as compared to dictatorships ambapo maamuzi yote huwa ya sadist mmoja anayehisi ni mungu wa taifa.
Kama huyu wwa Tz sio
 
Duuh tatizo ni nini hasa hadi mawaziri wote hao wajiuzuru na yeye kutakiwa kujiuzuru?

Mwanzo walimpigia kura kuwa wana imani nae ila akashindwa kutimiza aliyoahidi na pia hamsikilizi Sunak

Fikiria kamchagua huyu mwenye asili ya Iraq na bado nae kamuambia jiuzuru bwana [emoji23]
Kweli UK sihami
 
.... hiyo ndio tofauti ya democratic leadership's as compared to dictatorships ambapo maamuzi yote huwa ya sadist mmoja anayehisi ni mungu wa taifa.
Russia effects si mlisema Putin anatangulia?Sasa mbona nyie mnatangulia huu ni mwanzo Tu huko marekani Hali Pia ni mbaya

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Nimeshangaa Sana Hawa watu Wana utofauti na uhuru wa ajabu

Unamchagua mtu Leo, alafu kesho nayeye anakuambia Jiuzulu

Aisee hata siku haijapita
Hawa watu wanaangalia maslahi ya nchi kwa ujumla na kulinda heshima ya chama

Imagine marehemu wangemgomea na wote wakajiuzuru ( ambapo kwa njaa zao wasingeweza)

Yaani nawaza tu ingekuwaje? Angewauwa wote ? Au angeachia ngazi zote mbili?

Kweli sihami hapa
 
Mbowe anasubiri nini? Chama kometoka wabunge 200 hadi kubaki mmoja!
 
Sex allegations za Pincher ndio zimemuharibia kabisa Johnson kwa kudanganya wakati alikuwa anaujua ukweli

Jamaa kuondoka kwake ni uongo
 
Back
Top Bottom