Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Boris siku yake mbaya sana leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uholanzi wameanza kuandamana kwa matrektaKufuatia Ongezeko la gharama za Maisha nchini humo hususani Mafuta na Gas kitu kilichopelekea Bidhaa na Maisha Kwa ujumla Kupanda .
Kushindwa kwake kuongoza na kufanya maamuzi ya kiuongozi .
Hatimaye kufuatia Ongezeko la Mawaziri wake zaidi ya 50 kujiuzulu Toka juzi .
Jamaa kabwaga Manyanga !!!
Wale WAMAGHARIBI wa Yombo , Buza na Kwa mtogole !!
URUSI NI TAIFA KUBWA , KUJARIBU KULITENGA NA DUNIA HAIWEZEKANI, HAIWEZEKANI !!
Sasa kimbunga ndo kimeanza, Rais Macron kapoteza Bunge Kwa wapinzani , Ujeruman Kansela naye anaanza kupumulia mashine !!
Shida humu unaona kila mtu ni kama wewe, tunagawa muda kujifunza na kufatilia vitu mbalimbali. Ila mimi ningependa Priti Patel ndio awe next PM ngona tuoneembu ficha ujinga wako bana .
Au ni Leo baada ya hili ukaona nawee ujaribu kufatilia upate A,B,C ,D ?. Sasa tayari unazijua Siasa za Huko .
Wanajiskia uchungu sana miezi hii [emoji16][emoji16], wanapitia wakati mgumuEnyi WaUSA wa Tandika.
Mpaka tunafika mwezi wa 12, hakutakua na Nchi inaitwa UKRAINE !!!
Uholanzi taari kishanukaBado serikali ya Marekani, Ujerumani, Poland na viherehere wengine
Tulia dawa ikuingie vizuri, nadhani hamumjui Russia Federation nyinyi watoto wajuzi, lile ni taifa lililojaaliwa kila kitu, mlikua mkimezeshwa matango pori kuwa Marekani ndio anategemewa, sasa huko Ulaya wanalia na kusaga meno, Picha inajionyesha wazi nani Super Power kmmke, huu ni mwanzo tu.... hiyo ndio tofauti ya democratic leadership's as compared to dictatorships ambapo maamuzi yote huwa ya sadist mmoja anayehisi ni mungu wa taifa.
Shida humu unaona kila mtu ni kama wewe, tunagawa muda kujifunza na kufatilia vitu mbalimbali. Ila mimi ningependa Priti Patel ndio awe next PM ngona tuone
Atajiuzulu kwenye chama chake lakini atabaki kuwa Waziri Mkuu wa nchiBoris Johnson waziri mkuu wa Uingereza baada ya kukalia kuti kavu kwa masaa 24 yalopita hatimae leo mchana atatangaza kujiuzulu baada ya mawaziri 55 kujiuzulu nafasi zao na serikali kushindwa kujiendesha.
===
Serikali ya Waziri mkuu wa Uingereza amezama katika mzozo ambao athari zake hazijajulikana ambazo zimepelekea kujiuzulu kwa mawaziri na maafisa wengine wa ngazi ya juu waliodai kuwa wamekosa imani na uongozi wa nchi wa Johnson.
Msukosuko huo ulianza Jumanne wake, kufuatia kashfa ya unyanyasaji wa kingono inayomuhusisha Chris Pincher – mbunge wa Conservative ambaye yuko karibu na Johnson, akiwa Waziri wa uchumi , Rishi Sunak , na Waziri wa afya. Sajid Javid, viongozi wakuu katika serikali, walijiuzuru.
Sunak alidai kuwa raia wanaitarajia serikali iendeshwe kwa njia "inayofaa, uwezo na kwa umakini "; huku Javid akidai kuwa utawala wa Johnson "haufanyi kazi kwa maslahi ya taifa".
Tangu wakati ule, katika kipindi cha saa 24, zaidi ya maibu mawaziri 40 na maafisa wengine wa ngazi ya juu wamewasilisha barua zao za kujiuzuru.
Jumatano Michael Gove, mjumbe wa muda mrefu wa baraza la mawaziri, alimuomba Waziri mkuu ajiuzuru. Ombi hili baadaye liliungwa mkono naa maafisa kadhaa wa ngazi ya juu, akiwemo Waziri wa mambo ya ndani Priti Patel.
Mawaziri kadhaa muhimu wa nchi hiyo pia walihudhuria makao makuu ya serikali ya Uingereza katika ofisi ya Waziri mkuu 10 Downing Street, ambao waliidhinisha uungaji mkono wao wa kumtaka Jonson aendelee kuwa mamlakani. Hawa ni pamoja na Waziri wa utamaduni,Nadine Dorries, na Waziri wa fursa za Brexit Opportunities, Jacob Rees-Mogg.
Kwa upande wake, Boris Johnson anaonekana kupinga uwezekano wa kung’atuka madarakani na badala yake alimuondoa mamlakani Gove, mtu ambaye amekuwa muhimu katika chama cha Conservative Party kwa muongo uliopita.
''Boris Johnson wants tanataka kuendelea kupambamba .Anaamini ana watu wa kutosha wanaomzingira wanaoweza kumuwezesha kusonga mbele ,"Waziri Dorries salielezea kwa kifupi alipokuwa akiondoka katika makao makuu ya serikali Jumatano usiku.
Boris amekuwa ni kiongozi Uingereza ambaye amepokea barua za kujiuzuru nyingi zaidi tangu mwaka 1932, alikabiliwa na maswali ya wabunge Jumatano kuhusu utawala wake, ambako alieleza wazi utashi wake wa kuendelea kubakia mamlakani.
Miito inayomtaka ajiuzuru inakuja mwezi mmoja baada ya Waziri huyo mkuu kukabiliwa na hoja ya kutokuwa na imani naye ambapo 41% ya wabunge kutoka chama chake walipiga kura dhidi yake.
BBC Swahili
Wewe ndiye unatakiwa ujiongeze/toka hicho chumba cha giza uone nje. Hivi unafikiri kuna System ya nchi yoyote ya NATO itakubali kuitangazia Dunia kuwa Shida zao za ndani zimesababishwa na vita ya Ukraine.Wewe Jamaa muongo unadhani humu wote wajinga sio. Kwanza anajiuzulu uongozi wa Chama, Uwaziri Mkuu ataendelea nao kidogo mpaka chama kipatw kiongozi wa kusimama kwenye uchaguzi.
Kilichomuondoa ni suala la ethics waingereza maadili wameyaweke mbele kabisa, hata kura ya kutokuwa na imani naye ni kwa sababu ya maadili. kawadanganye vijiweni
Sasa sa100 anangoja nini kujiuzuluBoris Johnson waziri mkuu wa Uingereza baada ya kukalia kuti kavu kwa masaa 24 yalopita hatimae leo mchana atatangaza kujiuzulu baada ya mawaziri 55 kujiuzulu nafasi zao na serikali kushindwa kujiendesha.
===
Serikali ya Waziri mkuu wa Uingereza amezama katika mzozo ambao athari zake hazijajulikana ambazo zimepelekea kujiuzulu kwa mawaziri na maafisa wengine wa ngazi ya juu waliodai kuwa wamekosa imani na uongozi wa nchi wa Johnson.
Msukosuko huo ulianza Jumanne wake, kufuatia kashfa ya unyanyasaji wa kingono inayomuhusisha Chris Pincher – mbunge wa Conservative ambaye yuko karibu na Johnson, akiwa Waziri wa uchumi , Rishi Sunak , na Waziri wa afya. Sajid Javid, viongozi wakuu katika serikali, walijiuzuru.
Sunak alidai kuwa raia wanaitarajia serikali iendeshwe kwa njia "inayofaa, uwezo na kwa umakini "; huku Javid akidai kuwa utawala wa Johnson "haufanyi kazi kwa maslahi ya taifa".
Tangu wakati ule, katika kipindi cha saa 24, zaidi ya maibu mawaziri 40 na maafisa wengine wa ngazi ya juu wamewasilisha barua zao za kujiuzuru.
Jumatano Michael Gove, mjumbe wa muda mrefu wa baraza la mawaziri, alimuomba Waziri mkuu ajiuzuru. Ombi hili baadaye liliungwa mkono naa maafisa kadhaa wa ngazi ya juu, akiwemo Waziri wa mambo ya ndani Priti Patel.
Mawaziri kadhaa muhimu wa nchi hiyo pia walihudhuria makao makuu ya serikali ya Uingereza katika ofisi ya Waziri mkuu 10 Downing Street, ambao waliidhinisha uungaji mkono wao wa kumtaka Jonson aendelee kuwa mamlakani. Hawa ni pamoja na Waziri wa utamaduni,Nadine Dorries, na Waziri wa fursa za Brexit Opportunities, Jacob Rees-Mogg.
Kwa upande wake, Boris Johnson anaonekana kupinga uwezekano wa kung’atuka madarakani na badala yake alimuondoa mamlakani Gove, mtu ambaye amekuwa muhimu katika chama cha Conservative Party kwa muongo uliopita.
''Boris Johnson wants tanataka kuendelea kupambamba .Anaamini ana watu wa kutosha wanaomzingira wanaoweza kumuwezesha kusonga mbele ,"Waziri Dorries salielezea kwa kifupi alipokuwa akiondoka katika makao makuu ya serikali Jumatano usiku.
Boris amekuwa ni kiongozi Uingereza ambaye amepokea barua za kujiuzuru nyingi zaidi tangu mwaka 1932, alikabiliwa na maswali ya wabunge Jumatano kuhusu utawala wake, ambako alieleza wazi utashi wake wa kuendelea kubakia mamlakani.
Miito inayomtaka ajiuzuru inakuja mwezi mmoja baada ya Waziri huyo mkuu kukabiliwa na hoja ya kutokuwa na imani naye ambapo 41% ya wabunge kutoka chama chake walipiga kura dhidi yake.
BBC Swahili
... umaenza kushabikia mataifa ya kikafiri nowadays?Tulia dawa ikuingie vizuri, nadhani hamumjui Russia Federation nyinyi watoto wajuzi, lile ni taifa lililojaaliwa kila kitu, mlikua mkimezeshwa matango pori kuwa Marekani ndio anategemewa, sasa huko Ulaya wanalia na kusaga meno, Picha inajionyesha wazi nani Super Power kmmke, huu ni mwanzo tu
Umasikini ndio unaosababisha sisi Bongo tusifike huko. Tena hapa simzungumzii level ya PM nk. Nazungumzia levels za mawaziri, wabunge kushuka chini ambapo wengi kupata nafasi hizo wanasema EHUUUUU! Mungu kaniona niondokane na umasikini huu.Bongo tukifikia kuwa kama hawa jamaa,tutakuwa mbali sana
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Huyu mpumbavu SA100 alitakiwa ajiuzuru mapema sanaHapa kwetu ,tuna maviongozi manasiasa yanabwabwaja tu, akili kiduchuu .
Wee cheki Bungeni walivyo , wanapiga makofi kwenye mambo ya kijinga tu.
Na Hawa viti maalumu Ndo kabisaaa Vitunguu Maji .