Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson kutangaza kujiuzulu mchana huu

Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson kutangaza kujiuzulu mchana huu

Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson ameamua kujiuzulu nafasi hiyo baada kupata shinikizo kubwa kutoka kwa mawaziri wake na wabunge wa chama chake

Bwana Johnson kutangaza uamuzi wake huo muda sio mrefu kutoka sasa

Chanzo: BBC
Bye bye Borris..
 
Wewe ndiye unatakiwa ujiongeze/toka hicho chumba cha giza uone nje. Hivi unafikiri kuna System ya nchi yoyote ya NATO itakubali kuitangazia Dunia kuwa Shida zao za ndani zimesababishwa na vita ya Ukraine.
Unataka watangaze ili Dunia iwadharau na Putin apate Credit.

Unajua ni kwanini juzi hapa Russia alisema ikitokea WW3 target yake ya kwanza ni Uingereza, jiulize kwanini hakuitaja Ufaransa au Ujerumani.

Boris amekuwa ndiye kiherehere mkubwa kutoa kauli dhidi ya Russia tena zisizohusiana na Matamko ya NATO, Amekuwa akitoa vitisho kama Uingereza na sio NATO, HALI HII IMESABABISHA RUSSIA imuone kama ni adui namba 1 kwake ktk Ulaya. kiusalama, Approach ya Johnson kwa Russia inaweza kuleta shida .

Kinachoendelea Uingereza ni Usanii tu kuihadaa dunia kuwa shinikizo la kujiuzulu ni kwa sababu ya Maadili/Ethics .
Wewe ndio mgeni kabisa wa siasa za Duniani, hivi wewe unadhani Boris ni mawazo na mipango yake binafsi kupamba na Urusi?

Kwa mawazo hayo wewe sina haja kuendelea kujibizana na wewe
 
Wazungu ni washenzi hawana tofauti na manyumbu
 
Russia effects si mlisema Putin anatangulia?Sasa mbona nyie mnatangulia huu ni mwanzo Tu huko marekani Hali Pia ni mbaya

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
... kwa hiyo nnajisifu Russia imeangusha serikali au sio? Na mnaenda kuangusha kigogo kingine Marekani? Issue ya kujuuzulu Boris haina uhusiani wowote na mzozo wa Ukraine; hiyo ndio fact.
 
Ila BoJo alishikilua sana bango issue ya vikwazo kwa Russia.. Alikuwa mstari wa mbele.. Mpaka wakampora Abramovich Chelsea yake.... Hahahahaaa...
 
Jewish comminity ina lobbying Power ya nguvu sana UK. Ingekuwa mwingime hiyo kashfa tu angeachia ngazi, si unaona Boris ni kashfa tu. Lakini ngoja tuone

Boris amedanganya kuhusu Pincher na aligoma mwanzo kuachia
 
Hivi huku mbowe,anajiuzuru lini!!?? au naye mpaka aandikiwe barua !!
 
Jewish comminity ina lobbying Power ya nguvu sana UK. Ingekuwa mwingime hiyo kashfa tu angeachia ngazi, si unaona Boris ni kashfa tu. Lakini ngoja tuone

Sio kihivyo Mkuu
Angalia post za hapa mpaka mayor mpakistan, Priti Patel muhindi
Hiyo ilikuwa zamani
Jews wana nguvu kwenye biashara zaidi not politics anymore
 
Sio kihivyo Mkuu
Angalia post za hapa mpaka mayor mpakistan, Priti Patel muhindi
Hiyo ilikuwa zamani
Jews wana nguvu kwenye biashara zaidi not politics anymore
Ninavyoelewa nguvu ya lobbying inatokana na nguvu ya kiuchumi. Yes hata London yenyewe jewish community kubwa lakini Mayor ni Muslim na aliungwa mkono jewish comminity na kama sikosei alimshinda mwenye Jew.

Lobbying wanaweza hata kukuweka mwenye asili ya Mwafrika ilimradi mambi yao ya smingi yafanikiwe

Pia katika kuonesha diverisity na kuwakilisha minority, vyama vimawachagua au kuwapa watu nafasi au fursa katika uwakilishi au uongozi wa wananchi. Kuna Mzaliwa wa Iraq juzi tu aliteuliwa kuwa Waziri, wakina Sunak na wengine

Kutokea kwenye historia, Taifa la Uingereza limechangia kwa kiasi kikubwa ustawi wa taifa la Israel, wakina Rotschild wamechangia sana 'maendeleo ya kijamii' na kusapoti serikali tangu enzi na enzi. Tukumbuke pia ndio waliowapatia Taifa la Israel baada ya kuwapa huru
 
Boris alikuwa Hana tofauti na tinga tinga n don't care huwa anaenda tu bila tahadhari n kiongoz mzuri ila waingereza maadili ndokila kitu
 
Back
Top Bottom