Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson kutangaza kujiuzulu mchana huu

Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson kutangaza kujiuzulu mchana huu

Wewe hata hujui kinachoendelea ndio shida ya kupuuza elimu dunia na kukalia makorokocho yasiyo weza kukusaidia ona sasa unavyoumbuka.
Unayeumbuka ni usiyeweza kuona hatua mbili upande wowote Toka ulipokaa,au simama🤔,hapo utataka tuamini yanayotokea hayahisiani na ubeberu waNato😂
 
Watakwambia kwani watanzania wenye sifa wameisha ?

We acha tu
Kama Nyerere asingeishia kwa Amir Jamal nafikiri tungekuwa na mchanganyiko wenye tija kabisa

Hivi hatujiulizi mbona tuko nyuma hivi
Kwanini tunajiona wabora wakati hatuna lolote la kujivunia zaidi ya wanyama?
 
Mkuu ina maana baraza la mawaziri la UK lina mawaziri wangapi
Kuna mawaziri 21 kisha kila wizara kuna manaibu waziri na mawaziri wengine wadogo au junior ministers.

Kwa mfano wizara ya elimu ina waziri, kisha kuna mawaziri wadogo wa shule, wa vyuo vikuu, watoto wadogo na idara zingine.
 
Kweli kabisa nguvu zao zipo kila mahali

Huyu Zahawi ni Mkurdi na mzaliwa wa Iraq
Imagine post yake na bado ni Chemical Engineer
Sasa Sisi hata police bila mbantu huwaoni natamani serikalini pia waanze kuwaondoa watu ubaguzi kwa kuwasajili na kuwapa kazi wazawa waarabu, Wasomali na hata kuwaalika Wahindi kwenye serikali zetu

Sioni tatizo lolote angalia kama wao wanafanya hivyo na ndio taifa kubwa na la zamani Kwanini sisi tushindwe

Huwa sioni mijadala kama hii inafanyika
Je ni jinsi tulivyokuzwa na kuiona serikali ikiwatenga?
ukiona mtu kafika level hizo ujue ameshakuwa muingereza kwenye damu.

Nimeona Patel kwenye polls yuko mwishoni kabisa kama ulivyosema.
 
Kweli kabisa nguvu zao zipo kila mahali

Huyu Zahawi ni Mkurdi na mzaliwa wa Iraq
Imagine post yake na bado ni Chemical Engineer
Sasa Sisi hata police bila mbantu huwaoni natamani serikalini pia waanze kuwaondoa watu ubaguzi kwa kuwasajili na kuwapa kazi wazawa waarabu, Wasomali na hata kuwaalika Wahindi kwenye serikali zetu

Sioni tatizo lolote angalia kama wao wanafanya hivyo na ndio taifa kubwa na la zamani Kwanini sisi tushindwe

Huwa sioni mijadala kama hii inafanyika
Je ni jinsi tulivyokuzwa na kuiona serikali ikiwatenga?
Hao watu utawaona wana akili wakiwa nje ya siasa, sasa ngoja wajiunge na ccm halafu wapewe hivyo vyeo ndio nutashangaa kama ni wenyewe.
 
Hao watu utawaona wana akili wakiwa nje ya siasa, sasa ngoja wajiunge na ccm halafu wapewe hivyo vyeo ndio nutashangaa kama ni wenyewe.

Utafikiri huwa wanarogwa na kupewa chanjo mwili mzima wawe matahira wa kufanya mabaya tu kama kuwaibia wanyonge
 
Hapa kwetu wanatawala kama Russia.
Hupendi?
Hapa kwetu ,tuna maviongozi manasiasa yanabwabwaja tu, akili kiduchuu .

Wee cheki Bungeni walivyo , wanapiga makofi kwenye mambo ya kijinga tu.

Na Hawa viti maalumu Ndo kabisaaa Vitunguu Maji .
 
Wenzetu security na intelligence ziko vizuri, ukiona mtu kafika level hizo ujue ameshakuwa muingereza kwenye damu.

Nimeona Patel kwenye polls yuko mwishoni kabisa kama ulivyosema.

Watapewa kazi zote ila Jeshi tu ndio ngumu
Niliomba kazi ya ukalimani jeshi la hapa
Nikapewa namba nipige MI6 nikaongea na Captain mmoja
Swali la kwanza Uraia
La pili akaniuliza umezaliwa hapa?
Niliposema hapana nikawa nimekosa sifa na kazi nikakosa

Sasa angalia mawaziri watatu hawajazaliwa hapa ila wamepewa uwaziri wa fedha mara 3

Patel ataondoka sio mbali
 
Sisi tunafuata mifumo kama ya Russia na China
Kweli kabisa nguvu zao zipo kila mahali

Huyu Zahawi ni Mkurdi na mzaliwa wa Iraq
Imagine post yake na bado ni Chemical Engineer
Sasa Sisi hata police bila mbantu huwaoni natamani serikalini pia waanze kuwaondoa watu ubaguzi kwa kuwasajili na kuwapa kazi wazawa waarabu, Wasomali na hata kuwaalika Wahindi kwenye serikali zetu

Sioni tatizo lolote angalia kama wao wanafanya hivyo na ndio taifa kubwa na la zamani Kwanini sisi tushindwe

Huwa sioni mijadala kama hii inafanyika
Je ni jinsi tulivyokuzwa na kuiona serikali ikiwatenga?
 
Suala gani ni gani uko Pro Nato?

Ni kawaida mtu kuwa na upande wowote hata hapo kuna wanaoichukia nchi yao na wapo wanaoipenda
Kuna tatizo kuwa na mitazamo tofauti ?
Maana unaniuliza maswali kila ninapochangia hoja any problem
 
Wewe ndiye unatakiwa ujiongeze/toka hicho chumba cha giza uone nje. Hivi unafikiri kuna System ya nchi yoyote ya NATO itakubali kuitangazia Dunia kuwa Shida zao za ndani zimesababishwa na vita ya Ukraine.
Unataka watangaze ili Dunia iwadharau na Putin apate Credit.

Unajua ni kwanini juzi hapa Russia alisema ikitokea WW3 target yake ya kwanza ni Uingereza, jiulize kwanini hakuitaja Ufaransa au Ujerumani.

Boris amekuwa ndiye kiherehere mkubwa kutoa kauli dhidi ya Russia tena zisizohusiana na Matamko ya NATO, Amekuwa akitoa vitisho kama Uingereza na sio NATO, HALI HII IMESABABISHA RUSSIA imuone kama ni adui namba 1 kwake ktk Ulaya. kiusalama, Approach ya Johnson kwa Russia inaweza kuleta shida .

Kinachoendelea Uingereza ni Usanii tu kuihadaa dunia kuwa shinikizo la kujiuzulu ni kwa sababu ya Maadili/Ethics .
Nimekuelewa sana mkuu.
 
Tim nato kuna salam zenu kwa mwamba Putin leo[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Putin Strikes Back Again [emoji457]

Putin to West: You want to defeat Russia on the battlefield? Try it! But keep in mind that we haven’t even started anything serious yet.
 
Tim nato kuna salam zenu kwa mwamba Putin leo[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Putin Strikes Back Again [emoji457]

Putin to West: You want to defeat Russia on the battlefield? Try it! But keep in mind that we haven’t even started anything serious yet.

Hahaha mwamba anaunguruma
 
Back
Top Bottom