Unayeumbuka ni usiyeweza kuona hatua mbili upande wowote Toka ulipokaa,au simama🤔,hapo utataka tuamini yanayotokea hayahisiani na ubeberu waNato😂Wewe hata hujui kinachoendelea ndio shida ya kupuuza elimu dunia na kukalia makorokocho yasiyo weza kukusaidia ona sasa unavyoumbuka.
Anawandalia Mzee Trumpet ushindi wa mserereko uchaguzi ujao🏃🏃😃Safi Sana bado yule Babu wa USA
Watakwambia kwani watanzania wenye sifa wameisha ?
Kuna mawaziri 21 kisha kila wizara kuna manaibu waziri na mawaziri wengine wadogo au junior ministers.Mkuu ina maana baraza la mawaziri la UK lina mawaziri wangapi
ukiona mtu kafika level hizo ujue ameshakuwa muingereza kwenye damu.Kweli kabisa nguvu zao zipo kila mahali
Huyu Zahawi ni Mkurdi na mzaliwa wa Iraq
Imagine post yake na bado ni Chemical Engineer
Sasa Sisi hata police bila mbantu huwaoni natamani serikalini pia waanze kuwaondoa watu ubaguzi kwa kuwasajili na kuwapa kazi wazawa waarabu, Wasomali na hata kuwaalika Wahindi kwenye serikali zetu
Sioni tatizo lolote angalia kama wao wanafanya hivyo na ndio taifa kubwa na la zamani Kwanini sisi tushindwe
Huwa sioni mijadala kama hii inafanyika
Je ni jinsi tulivyokuzwa na kuiona serikali ikiwatenga?
Hao watu utawaona wana akili wakiwa nje ya siasa, sasa ngoja wajiunge na ccm halafu wapewe hivyo vyeo ndio nutashangaa kama ni wenyewe.Kweli kabisa nguvu zao zipo kila mahali
Huyu Zahawi ni Mkurdi na mzaliwa wa Iraq
Imagine post yake na bado ni Chemical Engineer
Sasa Sisi hata police bila mbantu huwaoni natamani serikalini pia waanze kuwaondoa watu ubaguzi kwa kuwasajili na kuwapa kazi wazawa waarabu, Wasomali na hata kuwaalika Wahindi kwenye serikali zetu
Sioni tatizo lolote angalia kama wao wanafanya hivyo na ndio taifa kubwa na la zamani Kwanini sisi tushindwe
Huwa sioni mijadala kama hii inafanyika
Je ni jinsi tulivyokuzwa na kuiona serikali ikiwatenga?
Hao watu utawaona wana akili wakiwa nje ya siasa, sasa ngoja wajiunge na ccm halafu wapewe hivyo vyeo ndio nutashangaa kama ni wenyewe.
Hapa kwetu ,tuna maviongozi manasiasa yanabwabwaja tu, akili kiduchuu .
Wee cheki Bungeni walivyo , wanapiga makofi kwenye mambo ya kijinga tu.
Na Hawa viti maalumu Ndo kabisaaa Vitunguu Maji .
Biden hawez jiuzulu hata kama approval yake itashuka mpaka 1%
Sema 2024, Trump anakuja.
2028 , USA inaongozwa na Rais wa Kwanza Mwanamke "Ivanka Trump".
Hata Nadhim Zahawi aliemchagua jana tu kamwambia jiuzuru
Hawa watu tofauti na sisi Hakuna walamba viatu huku
Wenzetu security na intelligence ziko vizuri, ukiona mtu kafika level hizo ujue ameshakuwa muingereza kwenye damu.
Nimeona Patel kwenye polls yuko mwishoni kabisa kama ulivyosema.
Nimeshangaa Sana Hawa watu Wana utofauti na uhuru wa ajabu
Unamchagua mtu Leo, alafu kesho nayeye anakuambia Jiuzulu
Hii impe alert na yule waziri aliyesema Jembe linachapa kazi wakati lipo frijini tayari! Hajaachaga uongo toka siku ile.
Kweli kabisa nguvu zao zipo kila mahali
Huyu Zahawi ni Mkurdi na mzaliwa wa Iraq
Imagine post yake na bado ni Chemical Engineer
Sasa Sisi hata police bila mbantu huwaoni natamani serikalini pia waanze kuwaondoa watu ubaguzi kwa kuwasajili na kuwapa kazi wazawa waarabu, Wasomali na hata kuwaalika Wahindi kwenye serikali zetu
Sioni tatizo lolote angalia kama wao wanafanya hivyo na ndio taifa kubwa na la zamani Kwanini sisi tushindwe
Huwa sioni mijadala kama hii inafanyika
Je ni jinsi tulivyokuzwa na kuiona serikali ikiwatenga?
Mimi likija suala la Russia ni Pro Russia haswa tena namuunga mkono Putin wala haihusiani lolote na Boris
Huu ni mjadala tofauti na ninajadili kinachoendelea
Usigeuze mada
Suala gani ni gani uko Pro Nato?
Sisi tunafuata mifumo kama ya Russia na China
Nimekuelewa sana mkuu.Wewe ndiye unatakiwa ujiongeze/toka hicho chumba cha giza uone nje. Hivi unafikiri kuna System ya nchi yoyote ya NATO itakubali kuitangazia Dunia kuwa Shida zao za ndani zimesababishwa na vita ya Ukraine.
Unataka watangaze ili Dunia iwadharau na Putin apate Credit.
Unajua ni kwanini juzi hapa Russia alisema ikitokea WW3 target yake ya kwanza ni Uingereza, jiulize kwanini hakuitaja Ufaransa au Ujerumani.
Boris amekuwa ndiye kiherehere mkubwa kutoa kauli dhidi ya Russia tena zisizohusiana na Matamko ya NATO, Amekuwa akitoa vitisho kama Uingereza na sio NATO, HALI HII IMESABABISHA RUSSIA imuone kama ni adui namba 1 kwake ktk Ulaya. kiusalama, Approach ya Johnson kwa Russia inaweza kuleta shida .
Kinachoendelea Uingereza ni Usanii tu kuihadaa dunia kuwa shinikizo la kujiuzulu ni kwa sababu ya Maadili/Ethics .
Tim nato kuna salam zenu kwa mwamba Putin leo[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Putin Strikes Back Again [emoji457]
Putin to West: You want to defeat Russia on the battlefield? Try it! But keep in mind that we haven’t even started anything serious yet.