Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Yule: Mwaka wa kwanza alifukuza wajinga wajinga ambao walikuwa wanafanya mazoea ya kijinga kazini, vyeti feki ambao unqualified for the positions na kufutaYule miaka mitano huyu ndio mwaka tu unatalka walingane!!!!!!................
safari na posho za kulipana kimchongo.
Huyu: Mwaka wa kwanza kukopa trillion kila mwezi na hela yeyote ya msaada. Kurudisha mafisadi wote kwenye nafasi za juu za
serikalini. Kuruhusu utaratibu wa kulipana posho kimchongo.