Yule: Mwaka wa kwanza alifukuza wajinga wajinga ambao walikuwa wanafanya mazoea ya kijinga kazini, vyeti feki ambao unqualified for the positions na kufutaYule miaka mitano huyu ndio mwaka tu unatalka walingane!!!!!!................
Ccm mbere kwa mbereTusiwafanye watumishi kuwa mazuzu na vyama vya wafanyakazi wasiburuzwe kizembe!
Binafsi mkewangu aliye mwalimu kaongezwa 3.7% ya mshahara wake sasa waeleze ukweli sio blah blah za kisiasa kutafuta masifa yasiyo stahili. Nchi za wenzetu walitangaziwa percentage ya nyongeza na ikatimizwa bila makelele sisi wanasiasa wanawazuga watumishi nakuleta janjajanja na maneno meeengi kisa nini!!! Kwanini nchi hii inaujinga mwiiingi? WHY?
Serikali iwe open na ifanye kazi kisomi na kistaarabu bila hila.
Swali, mishahara imeongezwa kwa asilimia ngapi?
Kama viongozi serikalini nao hawajui waseme waache kudanganya wafanyakazi kama watoto!!
Kama kipindi marehemu anaumwa mtu huyu alijitokeza na kudanganya wananchi kuwa haumwi yuko kazini mpaka kifo kilipowaumbua atashindwa nini kudanganya wafanyakazi kuhusu mishahara??? Sijawahi kumuamini huyu katelephone!! Aende akadanganye watoto wake, wafanyakazi ni wasomi na welewa kuliko yeye...SHAME!! asifanye tumwite MR. BIG LIER
Huelewi hata miaka 5 ni sawa na miezi mingapi?Huyo mfanyakazi alipanda cheo chake cha mwisho 2016 akaahirishiwa akapewa 2017.Je,hiyo ni sawa na miezi 12?Kwa nini asishukuru ikiwa kapata nyongeza hiyo ndani ya miezi 12 tu tangu apandishwe madaraja?
Sent using Jamii Forums mobile app
PM ni zuzu....Mshahara mkubwa ndio Bei gani?
Mwinyi hakumuiga Nyerere..Yule: Mwaka wa kwanza alifukuza wajinga wajinga ambao walikuwa wanafanya mazoea ya kijinga kazini, vyeti feki ambao unqualified for the positions na kufuta
safari na posho za kulipana kimchongo.
Sasa aliekudanganya kuhusu mshahara humjui au unajitoa akili tu.
Fanya kazi acha kumtegemea mke apandishiwe mshahara ili ukakope kupitia mshahara wake.Ujanja ujanja tu
Wapi inalipwa hiyo?Hapa Tanzania?Kuanzia 716,000
Waziri Mkuu, Kasimu Majaliwa amesema wengi wanaolalamika kupata ongezeko dogo la mishahara ni wale ambao wana mishahara mikubwa. Ametolea mfano wa mawaziri kuwa wako baadhi ambao ongezeko lao ni 0.02%
Amewaomba watumishi kuwaamini viongozi wa vyama vya wafanyakazi. Amesema wengi waliopata ongezeko kubwa ni wale watumishi waliokuwa wanapata mishahara midogo.
Pia amesema wananchi wanapaswa kushukuru kwa ongezeko hilo ambalo miaka kadhaa iliyopita haikuwepo
Staili inaweza kuwa mbuzi kagoma na hapo ndio tatizo linakoanziaMwinyi hakumuiga Nyerere..
Mkapa hakumuiga Mwinyi..
Kikwetu hakumuiga Mkapa..
Magufuli hakumuiga Kikwete..
Samia hamuigi Magufuli..
KILA KIONGOZI NA STAILI YAKE..
Mbwembwe zote na kupongezwa Mama kuupiga mwingi ndiyo hiyo Tsh 90,000 kwa kima cha chini Tshs 270,000?.Nyongeza ya 23 % ililenga kima cha chini tu, hili ndilo halikueleweka na wengi.
Wewe ndio unachagua Rais? Nenda Kwa wananchi kawambie msichague ccm kwa sababu haijawaongezea watumishi salary uone utakachojibiwa.
Wewe ndio unachagua Rais? Nenda Kwa wananchi kawambie msichague ccm kwa sababu haijawaongezea watumishi salary uone utakachojibiwa.
Chadomo waongezeeni salary basi.
Ishaisha hivyo, wabongo tunalalamika kwa 110% ila vitendo hamna.Sasa je ndiyo imeisha au tuwasubiri Tucta?[emoji1787][emoji1787]
Sabaya ameendelea kushikiliwa kinyume cha sheria na mkwe wake Mbowe Tumaini Kweka.Vipi ndugu upo timam kweli? mada nyingine unajibu mengine
Wewe unata Rais afanye nini katika kuondoa mfumuko wa bei nchini ikiwa asimilia 50% ya vitu vinatoka nje ya nchi na wakati huo gharama ya usafirishaji wa mizingo kwa njia ya bahari imepanda kwa zaidi ya Mara 2?.
Ulitaka Rais afanyeje katika kushusha bei ya vyakula nchi ikiwa nchi ilikumbwa na ukame na kusababisha mazao kufia shambani?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitaka wawasaidie wakina nani?acha wailalamikie serikali yao hujjalalamikiwa ww unaekaa kwa shemejKuhusu walimu kulalama kuingezewa mishahara kwa kweli Sina huruma nao...hakuna watu wa hovyo Kama walimu..tumefika hapa kutokana na walimu kuwasaidia CCM kwenye chaguzi zao..