Waziri Mkuu: Wanaolalama kupata ongezeko la 20,000 ni wale wenye mishahara mikubwa

Mambo yanazidi kuwa "zig zag" kwa hiyo 78% ya watumishi walikuwa wanakula 300000 ( kima cha chini) maana ndo waliopewa 23%
Hapo umeelewa vyema mama anataka kuwainua wenye mishahara midogo na sio wenye mishahara ya mil5
 
Utaratibu wa kuinua watu wanaopata mishahara midogo sio kwa kuwapa nyongeza ya mwaka bali kubadilisha miundo yao ya utumishi. Nyongeza ya mwaka msingi wake ni motisha kwa wafanyakazi wote ili kuwasaidia kukabiliana na hali ya maisha inayobadilika kila wakati.
Hapo umeelewa vyema mama anataka kuwainua wenye mishahara midogo na sio wenye mishahara ya mil5
 
Dah! Aisee
 
Namwamini sana his excellence the prime minister, alichokisema Yuko sahihi, Mimi kwangu nimekuta pesa nzuri tu, lakini pia Mimi nilishajijengea Khali ya kushukuru kwa kila kitu


So pongezi kwa serikali yetu tukufu
 
Sijaskia nchi nyingine ndani ya EAC iliyoongeza mshahara watumishi wake kwa 3% au 5% huku wamenyimwa increment na promotion for 6 years!!
Tunaongozwa na wenye uwezo mdogo sana wa uongozi lkn mkubwa wa maneno.
Ingefaa tungeleta administration ya serikali toka nje huko maana hata kampuni nyingi zinazofanya vizuri administration ni ya wageni!!
Wanasiasa wetu wengi wangazi zajuu wanaakili za kimanara-manara hivi...
 
Isije ikawa wamekwisha malizana na tucta kwa sababu kauli ya mara ya mwisho kutoka serikalini walisema tucta wameenda kujadiliana... Sasa tucta kabla hawajasema tena kitu leo waziri mkuu amezungumza

Baheti ilishapitishwa, hata mkipiga kelele namna gani ni kazi bure! Chapeni kazi!
 

Mjinga wewe inaonekana hata scale ya midhahara ya walimu huijui kabisa unapopoma tu! Nenda kaangalie TGTS zao halafu linganisha na upupu unaolipwa wewe!
 

Endelea kuota ndoto za alinacha kama hutakuja kukimbia wewe na mke aako na watoto wako!
 
Rais ndiyo alisema hivyo kweli? Sifa za kijinga
 
Kuna kitu sielewi, hii mishahara ya serikali ndio inayotumika sekta binafsi au? na vipi serikali inapanga mishahara ya sekta binafsi au uhusiano uko vipi kati ya serikali na mishahara ya sekta binafsi

Wewe ukitaka mwenye baa apangiwe mshahara wa wafanyakazi wake na serikali?
 
Mjinga wewe inaonekana hata scale ya midhahara ya walimu huijui kabisa unapopoma tu! Nenda kaangalie TGTS zao halafu linganisha na upupu unaolipwa wewe!
Mpumbafu wewe scale zawalimu nazijua vyema wengi wameangukia nyongeza ya 5% kushuka chini...
Akili kisoda huwezi elewa utabaki kusifu na kuabudu viongozi wako... walimu serikalini wanahali ngumu wanashindwa hata kujinunulia chakula kazini wanaibia chakula cha wanafunzi.
Mtaani wenyemaduka tunawadai mmmno wengi ifikapo kwenye tar. za 17 hivi hadi vibiriti wanakopa
 

Kila kitu ni bajeti, kama bajeti imegota hauwezi kupewa! Swali kuu hapa ni, Je, mnafanya kazi kwa bidii kweli humo maofisini? Au mnadhinda mnachat tu na simu na kuzururazutura mitaani?
 

Subirini lile jambo letu bado kidogo, linaenda aste aste!
 
Wewe ndio unachagua Rais? Nenda Kwa wananchi kawambie msichague ccm kwa sababu haijawaongezea watumishi salary uone utakachojibiwa.

Ataliwa kichwa mzima mzima huyu! Anadhani ushindi wa rais au waziri mkuu utatokana eti na watumishi!
 
Sawa ni kidogo sana ila naomba tukumbushane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…