Uliuona huo mkataba, CAG aliomba akanyimwa , kumbe haukuwepo yalikuwa tu majadiliano ya awali yanaendelea.. Hayati akatoka hadharani kuudanganya Umma. La msingi tusubilie majadiliano yatakavyoanza sio kuongopea wananchiSasa mkataba unasema kudhoofisha bandari zinginezo kwa kipindi yenyewe ikianza kazi! Unategemea nini kama meli zote kubwa zitapitia Bagamoyo port!?
Hayo majadiliano pia mtapigwa kamba vile vile! Kwani yale majadiliano ya kishika uchumba yalikuwaje?Uliuona huo mkataba, CAG aliomba akanyimwa , kumbe haukuwepo yalikuwa tu majadiliano ya awali yanaendelea.. Hayati akatoka hadharani kuudanganya Umma. La msingi tusubilie majadiliano yatakavyoanza sio kuongopea wananchi
Sasa mwendazake yale maneno aliokuwa anadanganya Umma wa Watanzania aliyatoa wapi , kwa maelezo haya ya Mwambe naamini kwa asilimia mia 100 yule mzee hakuwa na nia ya dhati kutusaidia watanzania... Halafu anasema msema kweli mpenzi wa mungu... hakika tutaendelea kumshukuru mungu.
Hili Jambo kunamtu litakuja kumtoa uhai huko mbele, nawaza tu kwa kuandika....Waziri wa uwekezaji Mr Mwambe amesema hakuna mkataba wowote uliosainiwa hapo awali kuhusu bandari ya Bagamoyo zaidi ya minutes tu za vikao.
Mwambe amesema serikali itaanza rasmi mazungumzo na Oman na China ikiwa na maagizo ya Rais Samia baada ya kuwa amezipitia nyaraka zote.
Chanzo: ITV habari
Aliekuwa anatupiga kamba ameshaondoka, maana alikuwa anatudanganya miradi kibao anajenga kwa fedha za ndani... ndio maana bado unawenge la kudanganywa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hayo majadiliano pia mtapigwa kamba vile vile! Kwani yale majadiliano ya kishika uchumba yalikuwaje?
Sawa wacha tuone hawa mafisadi papa watakuwa na lipi jema! Maana aliekuwa walau ana unafuu ameshadanchiAliekuwa anatupiga kamba ameshaondoka, maana alikuwa anatudanganya miradi kibao anajenga kwa fedha za ndani... ndio maana bado unawenge la kudanganywa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe ndio sio mzima, unadhania mimi niliamini yale maneno ya Hayati.. Mtu ambaye katiba tu ya nchi aliikanyaga, atashindwa kudangaya..We Mzima Kweli. Kwanini unapenda kuishi kindoto. Huyo mwenda zake alianza na uwaziri na then akawa Rais. Amefanya mengi sana ambayo huwezi tilia mashaka uzalendo Wake. Wewe umefanya nini hata kwa jirani yako.
Unahitaji mkataba kujua mtu wa nchi nyingine anataka nini anpotaka kufanya biashara nawe. Toa mfano mmoja tu ambao katika miaka hii Mchina anaonekana kupenda wengine zaidi yake. Wenzako wanafikri sana. Nenda Zambia. Soma historia.
Siyo mazuzu tu mazwazwa, yaan kunawatu wanatia hasira mpka unajiuliza au si wtz?? Ni watu wamekodiwa kutoka mataifa mengine?? Wanachofanya Ni kuuwa raia kwa kisingizio Cha maendeleo, hyo bandari hyo sijui... Kunakitu Kiko nyuma ya pazia, isije kuwa yalikuwa makubaliano baada ya zile tuhuma za China, akapewa... Ila kunasiku kitanuka tu!! Hata kitamu huchachaSasa bado najiuliza hivi ilikuwaje kwa Rais Kikwete tarehe 16/10/2015 pale bagamoyo aliweka jiwe la msingi la kuanza kujengwa bandari hiyo ya Bagamoyo ikiwa mkataba ulikuwa bado haujasainiwa?
Hawa jamaa wanatufanya sisi mazuzu.
Y bagamoyo?? What is the huge issue in bagamoyo? Something hidden agenda..At last, dalili za mradi wa Bandari ha Bagamoyo sasa zimeanza kuonekana.
Taarifa ya Habari ITV, saa mbili ya jioni hii Waziri wa Biashara na Uwekezaji , Ndg Mwambe, ametamka kuwa maongezi karibu yataanza juu ya utkelezaji wa agizo la Rais Samia kupitia mambo yote yaliyoongelewa katika hatua za awali na kama kulikuwepo na mkataba.
Waziri Mwambe amesema HAKUNA mkataba wowote uliokuwepo kati ya serikali na wawekezaji toka China, na mawasiliano yataendelea ili mradi huo ufikie hatua za utekelezaji.
MY TAKE
Tumerudi nyuma sana katika miaka hii sita iliyopita, tugange yajayo, yaani uchumi endelevu, yaliyipita si ndwele.
Kwa mswahili uliye Bagamoyo, tunza arhi yako kama mboni ya jicho,” Kurasini” ya pili yaja.
Ndiyo maana ata jiwe la msingi likawekwa eti kulikuwa na mazungumzo ya awali?Uliuona huo mkataba, CAG aliomba akanyimwa , kumbe haukuwepo yalikuwa tu majadiliano ya awali yanaendelea.. Hayati akatoka hadharani kuudanganya Umma. La msingi tusubilie majadiliano yatakavyoanza sio kuongopea wananchi
Huwezi kuhalalisha kosa kwa kufanya kosa mkuu..Yule alijenga kiwanja cha kimataifa kule bush Gbadolite.
Sasa kinatumika vizuri na wakulima kuanikia nafaka na nguo.
Kuna watu vichwa bado vya bush, hawaelewi kuwa Bandari Bagamoyo is good business hata kwa mtu aliye katika perimeter ya 50km.
Ujinga mmeonyesha nyinyi maccm kwa kuwapa Kinga za kutokushitakiwa ndio maana wanawafanyia ujinga mwingi wa matozo. Katiba mpya ndio utakuwa mwisho wa haya maujingaUnazidi kuonyesha ujinga wako, tozo wanalipa CCM tu!?,wachina wakianza kurudisha gharama zao kwa miaka 99 watakuwa wanalipa CCM tu!?, chadema anayeishi nanjilinji na ikwiriri mkulima katiba mpya inamsaidia nini!?,endeleeni na upumbavu wenu mliolishwa na wanasiasa.
Kijana huyu analihenyesha taifa,heri wangemfanya Kama wanavyofanya wengine.Kipindi fulani kwenye issue za negosition kama hizo unakuta timu kama wakina Dr. Chamuriho ambae aliongoza timu ya negosition mradi wa SGR, Ununuzi wa ndege pamoja Bwawa la Mwalimu Nyerere ila kwasasa anaonekana hafanyi kazi vizuri chini ya Rais Samia, pembeni ungemkuta Marehemu Mfugale, wingi ya kulia ungemkuta Engineer Kakoko then unakuta watu wa Tanroads, watu sheria, etc na ao wote walikuepo kwenye ile team ya mwendazaje iliyosema kwa masharti haya hapana kama vipi yakwetu ni haya hamtaki rudini mkajipange tena.
Lakini safari hii tarajia kukutana na wanasiasa na wanadriplomasia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Si yalielezwa na 'jiwe' peke yake, au kuna mwingine?!!Madhara ya mkataba yalishaelezwa, amahuo nimwingine tofauti na wa mwanzo? Chekecha ubongowako kidogo.
duh umechelewa sana kujua hiliNimemsikia huyo waziri vizuri na ndio nimejua kabisa hii serikali inaenda against na serikali iliyopita