Waziri mwenye kauli chafu na hata akiambiwa kitu na wananchi anapuuzia na ndo huyu kafanya Starlink wasifanye kazi Tanzania

We huyo ndo mshauri mkuu wa maza huko kusini🤣🤣mbadala wa majaliwa
Hiyo ndio think tank yao kusini🤣🤣
Kusini kucheleeee🤣🤣🤣
Tutafika tu
 
Hivi huyu ni waziri wa nini kwenye Serikali ya Samia Suluhu Hassan? 😳 😳 😳 😳
Waziri wa habari na teknolojia huyu waziri wa hovyo kabisa kuwahi kutokea ana fananisha bei ya mafuta na bando huyu ni hovyo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…