Jinsi ambavyo serikali hii na viongozi wake wanavyotutendea, ni kana kwamba wanatulipizia kisasi!
Huyu Nape huenda huwa anatuchukulia sisi kwamba ndo tulimshauri Hayati JPM amtumbue na yule jamaa amnyooshee bastola.
Maana naona wengi ni wanatufokea tu raia kuanzia wabunge hadi hawa mawaziri uchwara
Huyu Nape huenda huwa anatuchukulia sisi kwamba ndo tulimshauri Hayati JPM amtumbue na yule jamaa amnyooshee bastola.
Maana naona wengi ni wanatufokea tu raia kuanzia wabunge hadi hawa mawaziri uchwara