Waziri Mwigulu: Makato ya Miamala ya Simu tunatunisha mfuko, ni 'Solidarity Fund'

Waziri Mwigulu: Makato ya Miamala ya Simu tunatunisha mfuko, ni 'Solidarity Fund'

Kama nchi tulipita kipindi kigumu sana. Biashara zilifungwa, watu walifilisiwa, kodi nyingi za haramu zilibambikwa kwa wafanyabiashara. Aliyejaribu kufungua mdomo wake kulalamikia hayo labda asijulikane. Vinginevyo angetekwa kisha ama akapotea kabisa au akabambikiwa kesi itakayomuweka mahabusu muda mrefu au angehujumiwa kwa namna yoyote

Inashangaza kuona Wabongo ni wasahaulifu kiasi hiki. Angalau sasa kuna japo kauhuru ka kulalamikia hayo hadharani na usiwe na hofu ya kupotezwa. Au labda wanaotoa maneno makli dhidi ya awamu ya sita ni wale wachache sanasana waliokua wafaidika wa utawala ule!


Kodi hizi za miamala ni mbaya lakini haiondoi ukweli kwamba awamu iliyopita ilikua ya kidhalimu sana. Lakini kutamani eti ile hali ya mambo ya awamu ya tano irudie tena kwa Watanzania ni roho mbaya na utovu wa shukrani kwa Mungu wetu. Angalau Mama na serikali yake hamkamati mtu kwa kupinga sheria mbaya.

Mimi naamini ni suala la muda tu kodi kandamizi zitafutwa kutokanana na usikivu wa awamu ya sita. Lakini kutamani kurudi tulipotoka HAPANA
Kodi zipi haramu, kodi zote zilikuwa halali! Finance Acts tunazisoma wote, hizo kandamizi zitaje ulizotozwa wewe au ndg yako
 
dat's untouchable macrituration level. to de high standard. Trust
It's better you use Swahili language to write your nonsense but understandable than using Overseas language confusedly
 
It's better you use Swahili language to write your nonsense but understandable than using Overseas language confusedly
Am not such kind of baboon! Just like de wsy u'r
 
u'll never know till de end of your life!! In de forest!!
What shit from the insane can't understand.

Now you become a big headed thinking I don't understand your nonsense ! Lol

You look Stupid for sure[emoji202]
 
Binafsi Bado naona ni mapema Sana kumjudge......wacha nimpe kidogo
 
What shit from the insane can't understand.

Now you become a big headed thinking I don't understand your nonsense ! Lol

You look Stupid for sure[emoji202]
U' too c' u d'nt know en u'll never kn'w
 
U' too c' u d'nt know en u'll never kn'w
Hello Dear !

You look forcing American Slang while you're too shallow onto!

Keep learning and spend time watching Black American podcasts to become a good American Slang Speaker and writter, You'll otherwise confuse your listeners and readers.

Go Get it!
 
Hello Dear !

You look forcing American Slang while you're too shallow onto!

Keep learning and spend time watching Black American podcasts to become a good American Slang Speaker and writter, You'll otherwise confuse your listeners and readers.

Go Get it!
Am not here! For such! gel! Ma drift? By de way waj'dat B'A English to me?
 
Back
Top Bottom