Waziri Mwigulu: Makato ya Miamala ya Simu tunatunisha mfuko, ni 'Solidarity Fund'

Kama golini yupo mwana wa kalidayo unategemea nini,kikubwa hapo maombi tu.
 

kipindi cha makufuli kilikuwa kizuri sana tutamkumbuka
 
Kwa jinsi nilivyokuwa namkubali huyu Sina la kusema naona aibu,shikamooni wote tuliowaita Sukuma gang
Katangaza Corona sasa hivi watalii wote wamesitsha kuja Zanzibar wafanyakaz wa hotel wanaenda kupoteza Ajira, hotel zitafungwa, uchumi unaenda kusimama Zanzibar.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
AAache kuongeza kodi ila afwatilie zile pesa walozopiga watu
JPM alikuwa anafanya hivi alionekana MKUDA ila alijua walioiba lazima zirudi sio kuwakaba watu wa hali ya chini hata mlo wao SHIDA.
 
We taga unasumbuliwa chuki binafsi tu!

Huna hoja yoyote ya maana. Bajeti hii,ilikuwa imeandakiwa na mwendazake. Je kama mwendazake angekuwepo ungeporomosha hayo matusi yako?

Kila mtanzania lazima alipe kodi ili kugharimia miradi ya maendeleo. Hakuna njia ya mkato.
 
yupo bize nje huko, ukiona unashauriwa na watu wa pwani ujue unaingizwa chaka situka...hatariii
 
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji106][emoji106][emoji106]
 
tozo ya shilingi mia kwa kila lita ya mafuta haina athari yeyote kiuhalisia kaka.

kule kwny migodi ya madini msijisahaulishe,
mlisema serikali imekurupuka na kwamba itashitakiwa, kipindi kile serikali ilipokaa mezani na wawekezaji
 
tozo ya shilingi mia kwa kila lita ya mafuta haina athari yeyote kiuhalisia kaka.

kule kwny migodi ya madini msijisahaulishe,
mlisema serikali imekurupuka na kwamba itashitakiwa, kipindi kile serikali ilipokaa mezani na wawekezaji
Wamesahau
 
Ya kulipa deni la ipitieli itatoka humu humu au yenyewe itakuwa na solidaliti nyingine.
Na ya ma BX yale ma baiskeli makubwa solidaliti yake nayo humo humo au nayo ina kodi yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…